Webabu
JF-Expert Member
- Apr 29, 2010
- 8,870
- 14,258
Jumuiya ya nchi za kiislamu OIC hapo juzi ilipitisha mpango wa kuijenga upya Gaza uliasisiwa na mawaziri wa nchi za kiarabu wiki mbilli zilizopita, Katika mpango huo jumla ya dola za Marekani bilioni 53 zitatumika kufanya ujenzi huo awamu kwa awamu.
Miongoni mwa miradi ya ujenzi huo ni pamoja na ujenzi wa uwanja mpya wa ndege ambapo sasa wapalestina chini ya mamlaka yao watakuwa huru kuingia na kutoka nchini mwao.
Mpango huo tayari umepelekwa kwa raisi Trump kupitia mjumbe wake wa mambo ya nje. Alipoulizwa kuhusiana na mpango huo ambao unapingana na kitisho chake chake cha awali cha kuifanya kivutio cha utalii,Trump amesema hakuna ambaye ana nia ya kuwahamisha watu wa Gaza.
Miongoni mwa miradi ya ujenzi huo ni pamoja na ujenzi wa uwanja mpya wa ndege ambapo sasa wapalestina chini ya mamlaka yao watakuwa huru kuingia na kutoka nchini mwao.
Mpango huo tayari umepelekwa kwa raisi Trump kupitia mjumbe wake wa mambo ya nje. Alipoulizwa kuhusiana na mpango huo ambao unapingana na kitisho chake chake cha awali cha kuifanya kivutio cha utalii,Trump amesema hakuna ambaye ana nia ya kuwahamisha watu wa Gaza.