Makwizi Band
JF-Expert Member
- Aug 19, 2024
- 1,535
- 2,565
U
UONGO broWakati wanagoma katikati ya mapigano huko Gaza ulikua na umri gani?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
UONGO broWakati wanagoma katikati ya mapigano huko Gaza ulikua na umri gani?
Israel hii ndo vita ndefu amepigana serious kwa muda mrefu maana wao wanapend kuwaonea majirani zake kwa kuwa hawana ndege air defence na hawataki waww nazo akishambulia mara moja anaondokaKuhusu za askari waliokufa na kujeruhiwa hilo sina hakika BUT kwamba askari wa Israel hawataki mbungi iendelee, hili nadhani sio la kweli, uongo
We jamaa ni muongo kama baba yako shetwani askari 75000 Hamas na ndugu zao Hezbollah si wangekuwa sasaivi Tell aviv na Haifa wakipiga takbirrrrr. Siku nyingine andika ukisha futuruAskari 75000 wa israel waliuawa au kujeruhiwa vita vya Gaza,na nusu ya reserve hawataki kwenda kuhudumu jeshini(yedioth ahronoth,hareetz)..hakuna anayetamani mbungi iendelee
This time Israel 🇮🇱 kapigana sio tu na Hamas, kapigana na nchi ya Lebanoni kwa Hezbollah, Iran, Syria, Yemeni so ni kweli kapigana muda mrefu lakini pia kwa majeshi kadhaa yenye nguvu middle east.Israel hii ndo vita ndefu amepigana serious kwa muda mrefu maana wao wanapend kuwaonea majirani zake kwa kuwa hawana ndege air defence na hawataki waww nazo akishambulia mara moja anaondoka
kapigana tu kichwa ngumu lakini ushindi hajaupataThis time Israel 🇮🇱 kapigana sio tu na Hamas, kapigana na nchi ya Lebanoni kwa Hezbollah, Iran, Syria, Yemeni so ni kweli kapigana muda mrefu lakini pia kwa majeshi kadhaa yenye nguvu middle east.
We jamaa ni muongo kama baba yako shetwani askari 75000 Hamas na ndugu zao Hezbollah si wangekuwa sasaivi Tell aviv na Haifa wakipiga takbirrrrr. Siku nyingine andika ukisha futuru
U
UONGO bro
Kuhusu za askari waliokufa na kujeruhiwa hilo sina hakika BUT kwamba askari wa Israel hawataki mbungi iendelee, hili nadhani sio la kweli, uongo
Kama askari wa Israel wangekuwa wamegoma katikati ya mapigano huko Gaza basi Gaza isingekuwa vifusi mtupu!!Wakati wanagoma katikati ya mapigano huko Gaza ulikua na umri gani?
Vifusi ni ndege mostly,na si kwamba waligoma wote,lakini leo 50% ya reserve hawataki kuhudumu jeshiniKama askari wa Israel wangekuwa wamegoma katikati ya mapigano huko Gaza basi Gaza isingekuwa vifusi mtupu!!
Ni askari wa kuruka angani hao kwa kujua Hamas hawana ndege wala makombora ya kutungulia ndege kama hizo.Ama kwa upande wa bunduki kwa bunduki na mtaa na shimo kwa shimo askari wa Israel hawataki hiyo vita.Kama askari wa Israel wangekuwa wamegoma katikati ya mapigano huko Gaza basi Gaza isingekuwa vifusi mtupu!!
Tumia akili yako vizuri hakuna majeshi yeyote anaweza kukubali ujinga huo hizo ni Propaganda za waarabu Toka vita vianze waarabu wanapigwa vizuri tu hatujaona mapungufu yoyote Hamas wamepigwa,Hezbollah nao wamepigwa vizuri sana mpaka uongozi wao wa juu wote waliuwawa akiwemo Gaidi namba moja Hassan Nasrallah Houthi nao walikipata cha moto bandari yao ya Hodeidar iliangamizwa na Bwana wao Iran naye anajua kielichom kuta na ndiyo maana sasa hivi amebaki Kubwabwaja tu kama mtoto.Vifusi ni ndege mostly,na si kwamba waligoma wote,lakini leo 50% ya reserve hawataki kuhudumu jeshini
Nani alikudanyanya hivyo au ndiyo mnayoiita ninyi TAQIYYAH? Mnasema uongo kwa ajili Mnyazi-mungu wenu?. Kwa taarifa yako tu Israel waarabu bado sana sana tu. Wameshindwa kuiweza Israel kwa kipindi hiki sasa Basi inabidi wasubiri sana tu.Ni askari wa kuruka angani hao kwa kujua Hamas hawana ndege wala makombora ya kutungulia ndege kama hizo.Ama kwa upande wa bunduki kwa bunduki na mtaa na shimo kwa shimo askari wa Israel hawataki hiyo vita.
Nimeishia kusoma kichwa cha habari tu, "some Israel soldiers" hadi hapo nimejiridhisha kwamba wewe sio mtu makini. Wapi duniani watu wote huaga wanakubaliana kwa jambo lolote? Some lazima wabishe, kuwe na upinzani, ndio dunia ilivo. Libya ya Gadafi walikua wanaishi maisha ya bure but ni raia wake na some soldiers ndio walimsariti hadi kupelekea KIFO chake, hao some soldiers wapo everywhere in the world ambao huaga hawakubaliani na viongozi wao, wapo Iran, Saudia, Israel, USA hata Tanzania as well, ukiona watu wote wanakubaliana na wewe kwa 💯 then ujue unaongoza wanyama, sio watu, some must protest![]()
Some Israeli soldiers refuse to keep fighting in Gaza
A growing number of Israeli soldiers are speaking out against the Israel-Hamas war. They say they did or saw things that crossed ethical lines.apnews.com
Jumuiya ya nchi za kiislamu OIC hapo juzi ilipitisha mpango wa kuijenga upya Gaza uliasisiwa na mawaziri wa nchi za kiarabu wiki mbilli zilizopita,
Katika mpango huo jumla ya dola za Marekani bilioni 53 zitatumika kufanya ujenzi huo awamu kwa awamu.
Miongoni mwa miradi ya ujenzi huo ni pamoja na ujenzi wa uwanja mpya wa ndege ambapo sasa wapalestina chini ya mamlaka yao watakuwa huru kuingia na kutoka nchini mwao.
Mpango huo tayari umepelekwa kwa raisi Trump kupitia mjumbe wake wa mambo ya nje.Alipoulizwa kuhusiana na mpango huo ambao unapingana na kitisho chake chake cha awali cha kuifanya kivutio cha utalii,Trump amesema hakuna ambaye ana nia ya kuwahamisha watu wa Gaza.
View attachment 3268791