Vikosi kaziAiseee
Mbinu za kurudi eneo la tukio ni za kizamani sana
alitakiwa ajiandae vizuri kukabiliana nao.Wakuu,
Naona hii kesi ya mfanyabiashara aliyekuwa almanusura atekwe na "watu wasiojulikana" (Deo Bonge) huko Kiluvya imeanza kuchukua sura mpya.
Akiwa na vyombo vya habari hivi karibuni mmiliki wa hoteli ambayo Deo alikuwa anajaribu kutekwa amesema kuwa watekaji hao walirudi tena usiku kwa ajili ya kumtafuta bwana Deo .
Mmiliki wa hoteli hiyo aliongeza kwa kusema kuwa hata hivyo camera za CCTV ziliwanasa wakiwa wanaingia.
View attachment 3151634
wanajiamini kwa sababu wameshauwa sana mashetani hao, wameshaona watu wengi wakikata roho mbele yao na mioyo yao imeota sugu. ila yupo Mungu mbabe wa wote.Kumbe bado wamedhamiria kama walivyosema tutakurudia, wanajiamini sana.
Mwamba ilikuwa lazima akomae, maana alikuwa anajua wanaenda kumuuaMwamba alikomaa nao sana.
Yule jamaa nimemkubali sana na Mungu ni mwema sana.
Sasa muhalifu sugu ndo akamatwe kwa njia ya kutekwa?Lakini kuna kitu huyu Deo kakifanya.
Si bure, either ni muhalifu sugu au kapiga tukio.
ukweli utajulikanq
Hao watu wanapenda kazi yao, wanafurahia kuifanya.Watu wanautafuta ugali Kwa njia ngumu Sana , unaua ,unapiga watu na kutesa ndo hela inaingia.
We jamaa ni zero brain na mpuuzi wa mwsho kabisa...kama ni muhalifu huo ndio utaratibu wa kuwashugulikia wahalifu..Lakini kuna kitu huyu Deo kakifanya.
Si bure, either ni muhalifu sugu au kapiga tukio.
ukweli utajulikanq
Umeandika kama mpumbavu. Si waende wakamshtaki Police. Ni rahisi tu. Yaani apige tukio Police washindwe mkamata kwa utaratibu?Lakini kuna kitu huyu Deo kakifanya.
Si bure, either ni muhalifu sugu au kapiga tukio.
ukweli utajulikanq