Baada ya kushindwa kumteka Deo Bonge mchana, watekaji walirudi kumtafuta tena usiku

Baada ya kushindwa kumteka Deo Bonge mchana, watekaji walirudi kumtafuta tena usiku

Hii nchi ilipofikia inatia kichefuchefu.

Alafu serikali ya sisiem hawajisikii aibu kabisa kwa huu ushetani unaoendelea Tz.

Jamaa alipotaja kituo cha polisi gogoni mijamaa ndiyo ikashtuka na kukimbia. Hawa hwastahili hata kuwa hai.
 
Lakini kuna kitu huyu Deo kakifanya.
Si bure, either ni muhalifu sugu au kapiga tukio.
ukweli utajulikanq
Kama ni criminal case kuna utaratibu wa kisheria wa kukamata mtu unaojulikana.

Na kama ni Polisi kwa nini hawakufuata protocal ya ukamataji?

Kuja kwa njia hiyo kunahesabika kama ni utekaji na ni utekaji halisi.
 
Deo Mungu akulinde kaka Soma Zab 109 mara 3 kwa siku 21 mpakq waliowatuma watasambaratika kwa siku saba naona wanagongwq na gari .Save hii post
Aisee jamaa wanajiamini sana. Inaonekana Nyuma yao kuna mtu mkubww sana.

Eti tutakurudia baadae.....na kweli wakarudi
 
Wakuu,

Naona hii kesi ya mfanyabiashara aliyekuwa almanusura atekwe na "watu wasiojulikana" (Deo Bonge) huko Kiluvya imeanza kuchukua sura mpya.

Akiwa na vyombo vya habari hivi karibuni mmiliki wa hoteli ambayo Deo alikuwa anajaribu kutekwa amesema kuwa watekaji hao walirudi tena usiku kwa ajili ya kumtafuta bwana Deo .

Mmiliki wa hoteli hiyo aliongeza kwa kusema kuwa hata hivyo camera za CCTV ziliwanasa wakiwa wanaingia.

View attachment 3151634
Mbona waliahidi kurudi
 
Back
Top Bottom