Shadow7
JF-Expert Member
- Sep 28, 2020
- 24,606
- 39,289
Wananchi gani? Labda wa Tarime tuHao dawa yao wananchi wawadake wachakazwe. Iwe fundisho
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wananchi gani? Labda wa Tarime tuHao dawa yao wananchi wawadake wachakazwe. Iwe fundisho
Lakini kuna kitu huyu Deo kakifanya.
Si bure, either ni muhalifu sugu au kapiga tukio.
ukweli utajulikanq
Mpumbavu sana wewe jamaa.Lakini kuna kitu huyu Deo kakifanya.
Si bure, either ni muhalifu sugu au kapiga tukio.
ukweli utajulikanq
Kama ni criminal case kuna utaratibu wa kisheria wa kukamata mtu unaojulikana.Lakini kuna kitu huyu Deo kakifanya.
Si bure, either ni muhalifu sugu au kapiga tukio.
ukweli utajulikanq
Hiyo inaitwa unfinish business watu walishalipwa chao mapemaKumbe bado wamedhamiria kama walivyosema tutakurudia, wanajiamini sana.
Hii ndio nchi pekee waharifu wanawatetezi ngoja akamatwe ndugu yakoLakini kuna kitu huyu Deo kakifanya.
Si bure, either ni muhalifu sugu au kapiga tukio.
ukweli utajulikanq
WahuniAiseee
Mbinu za kurudi eneo la tukio ni za kizamani sana
Aisee jamaa wanajiamini sana. Inaonekana Nyuma yao kuna mtu mkubww sana.Deo Mungu akulinde kaka Soma Zab 109 mara 3 kwa siku 21 mpakq waliowatuma watasambaratika kwa siku saba naona wanagongwq na gari .Save hii post
Yule dogo white anaonekana vizuri sana.albadili mbaya sana kutoka kuvizia mpaka kweupe peee
This confidence hata shetani anaogopa.Itakuwa kuna mtu mzito nyuma yao,maana jamaa inaonekana wanajiamini sana
Mbona waliahidi kurudiWakuu,
Naona hii kesi ya mfanyabiashara aliyekuwa almanusura atekwe na "watu wasiojulikana" (Deo Bonge) huko Kiluvya imeanza kuchukua sura mpya.
Akiwa na vyombo vya habari hivi karibuni mmiliki wa hoteli ambayo Deo alikuwa anajaribu kutekwa amesema kuwa watekaji hao walirudi tena usiku kwa ajili ya kumtafuta bwana Deo .
Mmiliki wa hoteli hiyo aliongeza kwa kusema kuwa hata hivyo camera za CCTV ziliwanasa wakiwa wanaingia.
View attachment 3151634
Sasa kama ni hivyo mbona wamemuacha??Lakini kuna kitu huyu Deo kakifanya.
Si bure, either ni muhalifu sugu au kapiga tukio.
ukweli utajulikanq
Ni hatariThis confidence hata shetani anaogopa.