Baada ya kushindwa kumteka Deo Bonge mchana, watekaji walirudi kumtafuta tena usiku

Baada ya kushindwa kumteka Deo Bonge mchana, watekaji walirudi kumtafuta tena usiku

Huyu Bonge kuna clip moja anaonekana akimchana sheikh mmoja kwa kuongea pumba tupu.
Ukiisikiliza Kwa 100% inaaminisha kabisa na pasipo shaka wale jamaa ni "waajiriwa"
 
Aiseee

Mbinu za kurudi eneo la tukio ni za kizamani sana
Hiyo hotel ipo wazi kama kwuma ya malaya. Wahuni wanajiingilia tu watakavyo. Ni hotel gani inakosa geti la kuingilia ndani ya hotel? Baa za kawaida tu zina mageti na gate keepers. Iweje hotel kubwa iwe wazi kama mkwunduwa mse.nge? Hapa kuna tatizo sio bure.
 
Huyu Bonge kuna clip moja anaonekana akimchana sheikh mmoja kwa kuongea pumba tupu.
Ukiisikiliza Kwa 100% inaaminisha kabisa na pasipo shaka wale jamaa ni "waajiriwa"
Tuletee hiyo clip tujiridhishe mkuu.
 
Hao dawa yao wananchi wawadake wachakazwe. Iwe fundisho
Wana Nini? Wale wanaopiga picha huku wamejishika Nikon ndo wafanye Nini? Watanzania sahivi wamegeuka wadudu wa hovyo hata msaada Kwa mwenzao wanaona usumbufu lakini yakiwafika wao wanaomba kusaidiwa
 
Wale sio askari polisi.
Wale ni wahuni japo ni machawa wa watu fulani.

Polisi matukio mengi wanalazimishwa ili kulinda taswira ya wale wanaowatuma .

Ukitaka ujue mwenye mbwa mpige.

Wananchi walitakiwa washambulizi lile gari kwa mawe na kufunga barabara kwa mawe na magogo kisha walitie moto . Hapo ungejulikana nani mwenye mbwa.

Siku hizi kuna machawa wapumbavu sana wanaofanya uhuni wa kijinga kwa kutegemea kulindwa.

Lakini pia yule jamaa anaonekana hana maelewano na watu wa mtaa ule kama hakuna chuki za kikabila na kidini maana nazo zmeanza chinichini kutokana na utawala dhaifu uanopenyeza uhalifu dhidi ya binadamu.

Mitano tena haikubaliki Taifa hili ni muhimu kuliko mtu yeyote
Siwezi kukubali au kukataa kuwa wale ni askari. Ila najiuliza tu, mtu anapataje uhalali wakumkamata mtu ikiwa yeye si askari tena mchana kweupe namna ile?

Yaani iwe ni askari ama lah ila kama hawajatumia taratibu sahihi mwamba angekuwa fiti angepaswa kuvua hata mkanda awatandike sana. Shida ya wananchi wa sasa hovyo sana mkuu. Na wangechoma gari moto wangeweza kuishia kwenye msala.

Shida ya kurekodi rekodi hii mkuu.
 
Back
Top Bottom