Baada ya kushindwa kumteka Deo Bonge mchana, watekaji walirudi kumtafuta tena usiku

Baada ya kushindwa kumteka Deo Bonge mchana, watekaji walirudi kumtafuta tena usiku

Wenye hotel wana maswali mengi ya kujibu juu ya mfumo wao wa security otherwise hiyo hotel iñakwenda kujifia natural death, siwezi kwenda hotel kama hiyo.
Yawezekana ni among the team of the Abduction Squad.

Haiwezekani hata kidogo Mteja wao anafanyiwa vile mchana kweupe halafu wao wasichukue Hukumu lolote lile la kiusalama dhidi tukio hilo. There must be something that is hiding behind.
 
Nyumbu wewe. Yaani nina muda mrefu Sana nasoma thread bila ku log in. Ila nime log in kwa sababu yako.

1. Kama walikuwa wakamataji halali ni lazima polisi wangesema kwenye press release Yao. Polisi nao wanawatafuta watekaji!!!!!!??

2. Ni Kwa nini watekaji wakimbie tena waache Pingu wakati walitakiwa waifungue waondoke nayo? Baada ya kuona wananchi watakusanyika kwa wingi maana shughuli ilikuwa mzito. Bravo Deo.

3. Unapomkamata mhalifu unamuonyesha kitambulisho na RB ya kumkamata. Hizi nyaraka ni muhimu mno. Na NIWAAMBIE na wengine kuwa kama ametokea mtu anakuambia ni askari amekuja kukukamata mwambie akupe RB na inakuwa na kosa lako limeandikwa kwa herufi kubwa. Na ukishaiona ni haki yako kujulisha ndugu, mwanasheria kama unaye ili unapotakiwa maelezo au kuhojiwa mwanasheria wako anakuwepo. Pia kama Una namba ya kiongozi wa serikali ya Mtaa una Uhuru wa kumjulisha kabla ya kuongozana na wakamataji kwenda kituo cha polisi.

4. Kama umekamatiwa nyumbani ni lazima wakamataji wapite ofisi ya serikali ya Mtaa wako waongozane na kiongozi wako waje nyumbani kukukamata au kukupekua na kuondoka na wewe.

Sasa wewe darasa 0 unataka kutuambia nini sisi great thinkers? Kajipange upya. Nafikiri wewe ni ndugu, rafiki wa mkamataji mojawapo au ni mmoja wenu mmnekuja kutest zali hapa.

Mmetumia utekaji wa hovyo na hivyo itawagharimu. Aliyewatuma atawaruka kimanga.

Nenda ukojoe na kutoa kimba cha ugali maharage ulale maana yanakusababishia utoe huu ushuzi.
Shame on you.
Log out mnyamwezi umemaliza
 
Lakini kuna kitu huyu Deo kakifanya.
Si bure, either ni muhalifu sugu au kapiga tukio.
ukweli utajulikanq
Wasenge nchi hii hamuwezi kuisha kwa KUWA mabasha zenu bado wapo. Kama amepiga tukio na tayari wameshamfikia kwa nini hawakutoa vitambulisho na kumjulisha kosa lake? Ok hiyo haitoshi basi ameenda na pingu mpaka kituoni kwa nini polisi wasimshiikilie make tayari wameshampata kajipeleka kituoni. Nchi imekuwa na wasenge kiasi mpaka inakereka.
 
Wenye hotel wana maswali mengi ya kujibu juu ya mfumo wao wa security otherwise hiyo hotel iñakwenda kujifia natural death, siwezi kwenda hotel kama hiyo.
Wengine tushazoea kuishi maisha ya Kaburu hao jamaa sijui ingetokea nini mpaka leo yaani watu wanataka kukuua harafu niwe busy na mahakama hapana aisee..
 
Hivi hawajamaa hawakamatwa tu? hivi bado wameonekana wazi na hawajakamatwa kama ndio lingetokea tu bila kupigwa picha si shida? IGP kama jahazi limekushinda aachia ngazi. Hawa jamaa wasipokamatwa rasmi nitaamini kuna genge la polisi ndani ya polisi.
 

View: https://x.com/gery_Teacher/status/1856875835971481776?t=8rpQGG3twu-H1lEukn8pyg&s=09
Wakuu,

Naona hii kesi ya mfanyabiashara aliyekuwa almanusura atekwe na "watu wasiojulikana" (Deo Bonge) huko Kiluvya imeanza kuchukua sura mpya.

Akiwa na vyombo vya habari hivi karibuni mmiliki wa hoteli ambayo Deo alikuwa anajaribu kutekwa amesema kuwa watekaji hao walirudi tena usiku kwa ajili ya kumtafuta bwana Deo .

Mmiliki wa hoteli hiyo aliongeza kwa kusema kuwa hata hivyo camera za CCTV ziliwanasa wakiwa wanaingia.

 
Aiseee.... Ukiwa Bonge sometimes kumbe inasaidia sana.... Jamaa mwili wake umempa sapoti sana....

Inasikitisha kwamba alikosa msaada wa majirani na Eneo hilo.... Wale Wamama wangepiga hata ukunga ili kuomba msaada...
Tembea na machete
 
Mbona huyu deo hatuambii nini walichogombana nae kuna stori anaficha sio kweli kuwa wanamuonea na tujue je ni mambo ya siasa au dili za mjini .usikute wote wahalifu.
Akizungumza wanakwambia anaharibu uchunguzi au wewe hujui?.
 
Hii nchi saivi kila mtu kambale. Imagine hawakuhofia chochote wakarudi siku hiyohiyo eneo la tukio. Hii inathibitisha kuwa tukio limefanywa na chombo cha dola.... Hakuna mtekaji anaweza rudi eneo la tukio siku hiyohiyo baada ya tukio lake la kwanza kufail huku akijua fika vyombo vya dola tayari vina taarifa zake
Kweli
 
Aiseee.... Ukiwa Bonge sometimes kumbe inasaidia sana.... Jamaa mwili wake umempa sapoti sana....

Inasikitisha kwamba alikosa msaada wa majirani na Eneo hilo.... Wale Wamama wangepiga hata ukunga ili kuomba msaada...
Ni ngumu wale walikuwa ni polisi 100%
 
Back
Top Bottom