Bush Dokta
JF-Expert Member
- Apr 11, 2023
- 24,831
- 45,154
CopiedSasa kwa Tanzania ni wazi kuwa hawa watekaji ni kundi lililohalalisha uovu wao na kuna watu nyuma yao wenye nguvu kubwa ya kisiasa na kifedha.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
CopiedSasa kwa Tanzania ni wazi kuwa hawa watekaji ni kundi lililohalalisha uovu wao na kuna watu nyuma yao wenye nguvu kubwa ya kisiasa na kifedha.
Kwa heri mwalimuHapa nafikiria kama bonge angekuwa mwanafunzi mwaminifu wa Prof Janabi..
Deo Mungu akulinde kaka Soma Zab 109 mara 3 kwa siku 21 mpakq waliowatuma watasambaratika kwa siku saba naona wanagongwq na gari .Save hii post
Kumbe umemind!Sichoki ila kama umeichoka nitupie ignore list hautaiona hio comment
Iko waziVikosi kazi
100% ✓Huu utekaji ni dhahiri unafanywa na TISS ndio maana hakuna uchunguzi unaoendelea mpaka sasa kuwanasa hawo "watu wasiojulikana".
Watanzania washazoea kuonewa, wanaamini ndivyo wanavyotakiwa kutreatiwa.Sasa muhalifu sugu ndo akamatwe kwa njia ya kutekwa?
Kwamba polisi wangeenda na uniform, defender na warranty wasingeweza kumkamata?
Hata wewe mwenyewe ukiangalia hiyo video hapo juu, hivyo ndivyo polisi wanatakiwa kukamata muhalifu?
Hata askari wanaweza kupiga deal za nje ya kazi pamoja na uaskari wao!!Kumbukeni waliokuwa wanamkamata ni maaskari wanaojulikana hadi kwa majina!
😂😂😂😂 Haswaaaa
,
Kumbe umemind!
Hao hao....!Hawa wanaouza mayai vingunguti
Ccm regime mad dogs, thugs, at their best, yaani kama hawa ndio TISS wetu, wanashindwa kuteka raia wa kawaida, sasa wataweza kumteka jasusi aliyebobea ndani ya nchi nyingine?Wakuu,
Naona hii kesi ya mfanyabiashara aliyekuwa almanusura atekwe na "watu wasiojulikana" (Deo Bonge) huko Kiluvya imeanza kuchukua sura mpya.
Akiwa na vyombo vya habari hivi karibuni mmiliki wa hoteli ambayo Deo alikuwa anajaribu kutekwa amesema kuwa watekaji hao walirudi tena usiku kwa ajili ya kumtafuta bwana Deo .
Mmiliki wa hoteli hiyo aliongeza kwa kusema kuwa hata hivyo camera za CCTV ziliwanasa wakiwa wanaingia.
Mjibu duh aisee..Vibaya mno
Duu aiseeeVibaya mno
Yani dawa ilikuwa ni wananchi wakati ule wapige gari mawe walichome moto nao wapigwe wachomwe moto. Kuanzia siku hiyo matukio ya kuwateka watu hadharani yangekomaKumbe bado wamedhamiria kama walivyosema tutakurudia, wanajiamini sana.
Wahuni sana wale nilichoshangaa jamaa ajapata sapoti yeyote ni yeye mwenyewe anajipigania tu..Kwa wale jamaa wangeingia anga za jibaba kama Boni yai nina uhakika mmoja wao angeondoka maiti pale.
Watu legelege kama wale hawawezi kuniteka mimi lazima niwakalishe.
Wenye hotel wana maswali mengi ya kujibu juu ya mfumo wao wa security otherwise hiyo hotel iñakwenda kujifia natural death, siwezi kwenda hotel kama hiyo.Wahuni sana wale nilichoshangaa jamaa ajapata sapoti yeyote ni yeye mwenyewe anajipigania tu..