Baada ya kushindwa kumteka Deo Bonge mchana, watekaji walirudi kumtafuta tena usiku

Baada ya kushindwa kumteka Deo Bonge mchana, watekaji walirudi kumtafuta tena usiku

Deo Mungu akulinde kaka Soma Zab 109 mara 3 kwa siku 21 mpakq waliowatuma watasambaratika kwa siku saba naona wanagongwq na gari .Save hii post

Albadiri hiyo.
Tena akiwa amefunga bila kula inaitika haraka sana.
 
Jamaa inabd akodi pistol , awawashie moto tuu 🔥
 
Wakuu,

Naona hii kesi ya mfanyabiashara aliyekuwa almanusura atekwe na "watu wasiojulikana" (Deo Bonge) huko Kiluvya imeanza kuchukua sura mpya.

Akiwa na vyombo vya habari hivi karibuni mmiliki wa hoteli ambayo Deo alikuwa anajaribu kutekwa amesema kuwa watekaji hao walirudi tena usiku kwa ajili ya kumtafuta bwana Deo .

Mmiliki wa hoteli hiyo aliongeza kwa kusema kuwa hata hivyo camera za CCTV ziliwanasa wakiwa wanaingia.

Ccm regime mad dogs, thugs, at their best, yaani kama hawa ndio TISS wetu, wanashindwa kuteka raia wa kawaida, sasa wataweza kumteka jasusi aliyebobea ndani ya nchi nyingine?
Rejea wale waliotumwa kumteka zakaria, wakaishia kula shaba
 
Jamaa kwa ule urefu na zile nguvu angezihamishia kwa kile kijamaa kilichokosa lishe kile cheupe, angekiua, wanaume watatu wakazidiwa na jamaa mmoja, kumbe hawa watekaji ni wachovu tu...
 
Jinsi mnavyozidi kusema uovu huu ,Ni siku ya pili nina munkari Kali ya mazoezi na kula ili niwe na mwili mkubwa ila mbio niwe nazo na ngumi mkononi isikome ili wakitokea ni kuwatembezea kichapo wakinizidi basi ni mbio tu 🏃
 
Kumbe bado wamedhamiria kama walivyosema tutakurudia, wanajiamini sana.
Yani dawa ilikuwa ni wananchi wakati ule wapige gari mawe walichome moto nao wapigwe wachomwe moto. Kuanzia siku hiyo matukio ya kuwateka watu hadharani yangekoma
 
Back
Top Bottom