Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 95,871
- 116,627
Wahusika ni polisi hao haoUmeandika kama mpumbavu. Si waende wakamshtaki Police. Ni rahisi tu. Yaani apige tukio Police washindwe mkamata kwa utaratibu?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wahusika ni polisi hao haoUmeandika kama mpumbavu. Si waende wakamshtaki Police. Ni rahisi tu. Yaani apige tukio Police washindwe mkamata kwa utaratibu?
Wale walikuwa ni polisiHata kama wale ni vyombo vya usalama, labda kama Kuna Sheria inaruhusu watu Baki kua na Pingu.
Wewe ni mpumbavu,kwa nini lakini???Lakini kuna kitu huyu Deo kakifanya.
Si bure, either ni muhalifu sugu au kapiga tukio.
ukweli utajulikanq
Bonge atakuwa Mrombo wa Usseri huyuNdiyo ujue watekaji wa CCM hawana akili
Ndo maana tunamuomba mama samia tuu atufanyie full uhakika ili tukimsema tukitekwa tuwe na amani hahusiki yeyoteAkizungumza wanakwambia anaharibu uchunguzi au wewe hujui?.
Jinga wewe, Usseri hakuna mabongeBonge atakuwa Mrombo wa Usseri huyu
Labda Mamsera.Bonge atakuwa Mrombo wa Usseri huyu
Somo la vitombi wazee wa nyama kwa nyama.Napiga picha Prof Janabi na somo lake.
Jamaa kitambi kimemuokoa. Angemsikilza Janabi ingekuwa historia kwa sasaSomo la vitombi wazee wa nyama kwa nyama.
Ina maana hujui ni kwa nini watu wanalalamika? Shida siyo kukamatwa. Shida ni namna alivyokamatwa kwa kutekwa. Polisi inatakiwa kufuata sheria wakati wa kukamata mshukiwa na kuna sababu nzuri tu za kuweka utaratibu.Lakini kuna kitu huyu Deo kakifanya.
Si bure, either ni muhalifu sugu au kapiga tukio.
ukweli utajulikanq
Wale sio askari polisi.Sema naendelea kuamini kuwa askari wengi ni dhahifu na wengi wanaongezewa kujiamini pindi wakiwa na silaha na baada ya kuwa wamemkamata mtu wanaemtaka.
Kwa namna ya video ile ni wazi wale jamaa wangetua mikononi mwa mtu anaeweza kupinga ngumi kwa ustadi wangetepeta sana. Na muhalifu angeweza akawageuza askari kuwa wahalifu kwa kipigo cha mbwa koko.
Ni kweli kabisa.... Wananchi wakionaga Polisi, ni ngumu hata kusogeaNi ngumu wale walikuwa ni polisi 100%
Huyo Deo ni mkazi wa Kibaha, tukio limetokea Kiluvya, siyo mitaa yake.Wale sio askari polisi.
Wale ni wahuni japo ni machawa wa watu fulani.
Polisi matukio mengi wanalazimishwa ili kulinda taswira ya wale wanaowatuma .
Ukitaka ujue mwenye mbwa mpige.
Wananchi walitakiwa washambulizi lile gari kwa mawe na kufunga barabara kwa mawe na magogo kisha walitie moto . Hapo ungejulikana nani mwenye mbwa.
Siku hizi kuna machawa wapumbavu sana wanaofanya uhuni wa kijinga kwa kutegemea kulindwa.
Lakini pia yule jamaa anaonekana hana maelewano na watu wa mtaa ule kama hakuna chuki za kikabila na kidini maana nazo zmeanza chinichini kutokana na utawala dhaifu uanopenyeza uhalifu dhidi ya binadamu.
Mitano tena haikubaliki Taifa hili ni muhimu kuliko mtu yeyote
Tena yenye makali kotekote.....Tembea na machete
Jamaa kapaki ndinga yake freshi.... Jamaa wanamuibukia na kumteka.... Inatosha.... Angekuwa bonge kama jamaa pale kidogo ingekuwa kashikashi...
Ukiona hivyo hao siyo professional kwenye utekaji. Huenda polisi alikuwepo kweli kati yao.Aiseee
Mbinu za kurudi eneo la tukio ni za kizamani sana
Halafu wewe, ingekuwa wewe😄
Bro unayasema hayo kwa sababu hakuna ndugu yako alie wahi kuuawa kwa kuonewaLakini kuna kitu huyu Deo kakifanya.
Si bure, either ni muhalifu sugu au kapiga tukio.
ukweli utajulikanq