Baada ya kushindwa kumteka Deo Bonge mchana, watekaji walirudi kumtafuta tena usiku

Baada ya kushindwa kumteka Deo Bonge mchana, watekaji walirudi kumtafuta tena usiku

Wakuu,

Naona hii kesi ya mfanyabiashara aliyekuwa almanusura atekwe na "watu wasiojulikana" (Deo Bonge) huko Kiluvya imeanza kuchukua sura mpya.

Akiwa na vyombo vya habari hivi karibuni mmiliki wa hoteli ambayo Deo alikuwa anajaribu kutekwa amesema kuwa watekaji hao walirudi tena usiku kwa ajili ya kumtafuta bwana Deo .

Mmiliki wa hoteli hiyo aliongeza kwa kusema kuwa hata hivyo camera za CCTV ziliwanasa wakiwa wanaingia.

View attachment 3151634
No. Logic haikubaii. Nadhani walirud kupima upepo or most likely kuona kama waliyambuliwa(cctv) Huwezi Rudi pale ulipooota hela ukitegemea alodondosha atarudi kudondosja tena. Nakama ndivyo basi hao ni watu wapunavu kuwahi kutokea yaàni form four failure zero walioajiriwa polisi
 
Sasa muhalifu sugu ndo akamatwe kwa njia ya kutekwa?

Kwamba polisi wangeenda na uniform, defender na warranty wasingeweza kumkamata?

Hata wewe mwenyewe ukiangalia hiyo video hapo juu, hivyo ndivyo polisi wanatakiwa kukamata muhalifu?
Unaweza kuthibitisha kua hao ni maaskari?
 
No. Logic haikubaii. Nadhani walirud kupima upepo or most likely kuona kama waliyambuliwa(cctv) Huwezi Rudi pale ulipooota hela ukitegemea alodondosha atarudi kudondosja tena. Nakama ndivyo basi hao ni watu wapunavu kuwahi kutokea yaàni form four failure zero walioajiriwa polisi
Point. Walikuja kuangalia upepo. Kinachonishangaza Bonge alienda Hadi policcm na Pingu yake na inawezekana ndio walimfungua lakini hakukuwa na ripoti yoyote mpaka pale raia walipoachia Ile video. Natamani hata Kwa Mzee Kibao ingekuwa hivi labda Mzee wetu angeweza kuokolewa. Na Kwa Mkuu WA Nchi alisema ' Kifo ni Kifo tu' MUNGU atalipa tena very soon😔😔😔
 
Huwezi kuingilia kati matukio kama haya ni hatari mara mbili sasa imagine kumbe wale ni polisi na wakuwa na smg au silaha yyte ukaingilia kati wakakufyetulia risasi na wakasema ulikuwa unazua wao kufanya kazi yao unadhani nani ataaminika zaidi hapo..

Njia sahihi ni kuchukua visibitisho kama hao watu wa hotelini walivyofanya hiyo inatosha kabisa.
Shida hatuna umoja hata ukijitosa peke yako utaambulia kuchapwa shaba tu na wenzio wakakaa pembeni

Yaani ndiyo unaona hivyo watu wanakaa pembeni tu
 
Mbona huyu deo hatuambii nini walichogombana nae kuna stori anaficha sio kweli kuwa wanamuonea na tujue je ni mambo ya siasa au dili za mjini .usikute wote wahalifu.
Hapo mi Nina wasiwasi..afu jamaa ni mchaga kumbuka..na kwenye kutafuta pesa wamechangamka haswa
 
Umeandika kama mpumbavu. Si waende wakamshtaki Police. Ni rahisi tu. Yaani apige tukio Police washindwe mkamata kwa utaratibu?
Yaani wwe ndiyo mpumbavu, Yaani utuzulumu Skanka yetu alafu eti tukakushitaki police! Kwani umezulumu Aridhi!!? Kuna issue zingine siyo za kipolisi, ni za kimafya na tunamalizana kimafya!!
 
Huwezi kuingilia kati matukio kama haya ni hatari mara mbili sasa imagine kumbe wale ni polisi na wakuwa na smg au silaha yyte ukaingilia kati wakakufyetulia risasi na wakasema ulikuwa unazua wao kufanya kazi yao unadhani nani ataaminika zaidi hapo..

Njia sahihi ni kuchukua visibitisho kama hao watu wa hotelini walivyofanya hiyo inatosha kabisa.
Unafikiri hivyo visibitisho kama ulivyoandika vingrweza kuokoa uhai wa mzee kibao?
 
Back
Top Bottom