Isanga family
JF-Expert Member
- Feb 25, 2015
- 17,080
- 33,076
Watekaji inabidi wachapwe masasi hao hawatarudia tena huo ujinga wa kuonea watu..
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe ni mshenzi mno. Kama kuna tukio kafanya si angekamatwa alivyoenda polisi?Lakini kuna kitu huyu Deo kakifanya.
Si bure, either ni muhalifu sugu au kapiga tukio.
ukweli utajulikanq
Wale tiss wanajulikana....Police wanawajua wako kazini .....wana maelekezo....pia sheria mpya tiss 2023 inawalinda tutatekwa milele sheria haiwagusiiiiiiii hata wakiiua makusudi haulizwi wala kushitakiwa.......hao wabunge walisema ndioooo wasubiri zamu yao.....Yule dogo white anaonekana vizuri sana.
Je na hawa tuwaite wasiojulikana?
Vipi Kamanda wa Kanda Maalum alishatoa Taarifa yoyote?
Kwani vyombo vya usalama hawana haki ya kumshika mtuhumiwa yeyote, mahali na wakati wowote?Lakini kuna kitu huyu Deo kakifanya.
Si bure, either ni muhalifu sugu au kapiga tukio.
ukweli utajulikanq
Hawa vijana akili zao shetani alishaziiba.Umeandika kama mpumbavu. Si waende wakamshtaki Police. Ni rahisi tu. Yaani apige tukio Police washindwe mkamata kwa utaratibu?
https://jamii.app/JFUserGuide u..son of bitch...Lakini kuna kitu huyu Deo kakifanya.
Si bure, either ni muhalifu sugu au kapiga tukio.
ukweli utajulikanq
Aachie hizo video tuwaoneWakuu,
Naona hii kesi ya mfanyabiashara aliyekuwa almanusura atekwe na "watu wasiojulikana" (Deo Bonge) huko Kiluvya imeanza kuchukua sura mpya.
Akiwa na vyombo vya habari hivi karibuni mmiliki wa hoteli ambayo Deo alikuwa anajaribu kutekwa amesema kuwa watekaji hao walirudi tena usiku kwa ajili ya kumtafuta bwana Deo .
Mmiliki wa hoteli hiyo aliongeza kwa kusema kuwa hata hivyo camera za CCTV ziliwanasa wakiwa wanaingia.
View attachment 3151634
Hivi unafahamu kuna watu wanaenjoy ukatili? (Saddism), hawa hata wakiambiwa wafanye bure wanafanya, maans hii kwao ni burudani tosha!Watu wanautafuta ugali Kwa njia ngumu Sana , unaua ,unapiga watu na kutesa ndo hela inaingia.
Watakuja wafe kiboya sanaAiseee
Mbinu za kurudi eneo la tukio ni za kizamani sana
Ndio ukamataji wa namna Ile wa kishamba? "Primitive arrest"? Sidhani kama unafikiria Kwa angle sahihi! Na kwanini hujiulizi Jeshi la polisi limewakana hao wakamataji! ?!Lakini kuna kitu huyu Deo kakifanya.
Si bure, either ni muhalifu sugu au kapiga tukio.
ukweli utajulikanq
Mzee Minje anakwambia yupo vizuri "VYUMA" vingelia 😀 😀 😀.Wakuu,
Naona hii kesi ya mfanyabiashara aliyekuwa almanusura atekwe na "watu wasiojulikana" (Deo Bonge) huko Kiluvya imeanza kuchukua sura mpya.
Akiwa na vyombo vya habari hivi karibuni mmiliki wa hoteli ambayo Deo alikuwa anajaribu kutekwa amesema kuwa watekaji hao walirudi tena usiku kwa ajili ya kumtafuta bwana Deo .
Mmiliki wa hoteli hiyo aliongeza kwa kusema kuwa hata hivyo camera za CCTV ziliwanasa wakiwa wanaingia.
View attachment 3151634
Lazima warudi wanajua watanzania ni mapoyoyo tu.Kumbe bado wamedhamiria kama walivyosema tutakurudia, wanajiamini sana.
Kama ndio tiss wenu hao hapo Hamna kitu kabisa empty yaani utumwe mission halafu unarudi ofisini Kwa mkuu unajibu tutarudi tenaWale tiss wanajulikana....Police wanawajua wako kazini .....wana maelekezo....pia sheria mpya tiss 2023 inawalinda tutatekwa milele sheria haiwagusiiiiiiii hata wakiiua makusudi haulizwi wala kushitakiwa.......hao wabunge walisema ndioooo wasubiri zamu yao.....
Wananchi gani hao unaowasema kiongozi?Hao dawa yao wananchi wawadake wachakazwe. Iwe fundisho
Kwa wale jamaa wangeingia anga za jibaba kama Boni yai nina uhakika mmoja wao angeondoka maiti pale.Watekaji inabidi wachapwe masasi hao hawatarudia tena huo ujinga wa kuonea watu..
Angekuwa mhalifu angeenda POLISI? Hata Pingu walimwachia nayo mkono mmoja imetolewa Kituoni.Hata kama kapiga tukio kwanini wa take kumteka badala ya kumkamata na defender inayokuwa na polisi wenye uniform?
Khaaaa huko mimi simooo utajuana wenyeweKama ndio tiss wenu hao hapo Hamna kitu kabisa empty yaani utumwe mission halafu unarudi ofisini Kwa mkuu unajibu tutarudi tena
Kumbe walikuwa Polisi? Kwa hiyo ndio watekaji?Angekuwa mhalifu angeenda POLISI? Hata Pingu walimwachia nayo mkono mmoja imetolewa Kituoni.