Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kukosana kwenye maisha kupo hasa kwenye mahusiano ,kama kajirudi msamehe tuu!Tena kajirudi wakati wewe una matatizo,fikiria mara2!Habari za uzima, niliachana na girlfriend wangu niliye dumu nae kwenye mahusianomiaka mingi, yapata miezi kadhaa nyuma kutoka leo tangu niachane nae (yeye ndio aliniacha), kuna matatizo yalinitokea week iliyopita (matatizo ya kifamilia) wakati nipo kwenye pilika pilika za hapa na pale za kusolve maana ilinibidi nisafiri kwenda mkoani kuyasove, ghfla bin vuu naona sms inaingia kwenye simu yangu,
kuangalia nakutana na uyo X-Girlfriend wangu kunisalimia na kwenda moja kwa moja kwenye dhumuni la kunitafuta (alidai ni kunijulia hali na kunipa pole kwa ayo matatizo), nilikuja kujibu mawasiliano yake baada ya masaa 8 mbele. kwa kumuambia nashukuru
Kesho yake alinitafuta tena kujua nimefikia wapi, na ayo matatizo nilimueleza (tuliongea vizuri tu kwa njia ya voice), Na amekuwa akifanya ivyo ila dhumuni lake la kunitafuta likiwa ni kujua nimefikia wapi na ayo matatizo nilio pata, kwa jinsi alivyo nikosea sikudhani kama anaweza kuja kunitafuta bila kukiri ni jinsi gani alinikosea, akinitafuta tunaongea as if hakuna kilicho tokeaga katikati yetu (ila simpi nafasi ya kuongea sana na nini)
Now akinitafuta kujua nilipo fikia namjibu, asipo nitafuta simtafut ata kidogo (na sijawai kumtafuta mimi tangu ameanza kunitafuta),
Uyu binti naitaji msaada mmoja ndugu zangu: Nataka nimrudishe kwenye angle yangu niendelee kula mzigo kama kawaida, lakini sitaki anione kuwa namuwinda (hapa najitahidi sana kutokumtafuta kabisaa, mpaka anitafute yeye)
Sijui maisha yake ya sasa, maana sijawai kumfatilia sijui kama ameshapata mtu ndani ya iyo miezi 3 tulio kaa bila mawasilino yeyote yale (na sijawai kumuuliza kwenye mambo yake tangu aanze kunitafuta).
Nataka msaada wenu mmoja tu... njia gani nitamvuta au nitumie kuendelea kula Tunda bila shida yeyote, nataka nitumie njia ambayo haita fanya thamani yangu kushuka (sitaki kumuonyesha kama namuwinda any more)
Note: Ndiye binti niliotokea kumpenda sana enzi tulipokuwa pamoja, ndiye binti aliye umiza moyo wangu mpaka tukaachana.
Karibuni wakuu.
Nashauri utupe summary alikukoseaje? Itachochea ushauri wenye manufaa, ingefaa pia ikikupendeza tukajua aina ya matatizo au tatizo ili tuone muktadha wa akufaae kwa dhiki na faraja. Ni ombi tu nawasilishaHabari za uzima, niliachana na girlfriend wangu niliye dumu nae kwenye mahusianomiaka mingi, yapata miezi kadhaa nyuma kutoka leo tangu niachane nae (yeye ndio aliniacha), kuna matatizo yalinitokea week iliyopita (matatizo ya kifamilia) wakati nipo kwenye pilika pilika za hapa na pale za kusolve maana ilinibidi nisafiri kwenda mkoani kuyasove, ghfla bin vuu naona sms inaingia kwenye simu yangu,
kuangalia nakutana na uyo X-Girlfriend wangu kunisalimia na kwenda moja kwa moja kwenye dhumuni la kunitafuta (alidai ni kunijulia hali na kunipa pole kwa ayo matatizo), nilikuja kujibu mawasiliano yake baada ya masaa 8 mbele. kwa kumuambia nashukuru
Kesho yake alinitafuta tena kujua nimefikia wapi, na ayo matatizo nilimueleza (tuliongea vizuri tu kwa njia ya voice), Na amekuwa akifanya ivyo ila dhumuni lake la kunitafuta likiwa ni kujua nimefikia wapi na ayo matatizo nilio pata, kwa jinsi alivyo nikosea sikudhani kama anaweza kuja kunitafuta bila kukiri ni jinsi gani alinikosea, akinitafuta tunaongea as if hakuna kilicho tokeaga katikati yetu (ila simpi nafasi ya kuongea sana na nini)
Now akinitafuta kujua nilipo fikia namjibu, asipo nitafuta simtafut ata kidogo (na sijawai kumtafuta mimi tangu ameanza kunitafuta),
Uyu binti naitaji msaada mmoja ndugu zangu: Nataka nimrudishe kwenye angle yangu niendelee kula mzigo kama kawaida, lakini sitaki anione kuwa namuwinda (hapa najitahidi sana kutokumtafuta kabisaa, mpaka anitafute yeye)
Sijui maisha yake ya sasa, maana sijawai kumfatilia sijui kama ameshapata mtu ndani ya iyo miezi 3 tulio kaa bila mawasilino yeyote yale (na sijawai kumuuliza kwenye mambo yake tangu aanze kunitafuta).
Nataka msaada wenu mmoja tu... njia gani nitamvuta au nitumie kuendelea kula Tunda bila shida yeyote, nataka nitumie njia ambayo haita fanya thamani yangu kushuka (sitaki kumuonyesha kama namuwinda any more)
Note: Ndiye binti niliotokea kumpenda sana enzi tulipokuwa pamoja, ndiye binti aliye umiza moyo wangu mpaka tukaachana.
Karibuni wakuu.
Mkuu huna hajaa ya kuumiza kichwa we nenda nae taratibu jifaanye kama huna time naee hata kidogo, atakuja mwenyewe nahisi huko aliko kuwa ameenda ameona hamna mwelekeooHabari za uzima, niliachana na girlfriend wangu niliye dumu nae kwenye mahusianomiaka mingi, yapata miezi kadhaa nyuma kutoka leo tangu niachane nae (yeye ndio aliniacha), kuna matatizo yalinitokea week iliyopita (matatizo ya kifamilia) wakati nipo kwenye pilika pilika za hapa na pale za kusolve maana ilinibidi nisafiri kwenda mkoani kuyasove, ghfla bin vuu naona sms inaingia kwenye simu yangu,
kuangalia nakutana na uyo X-Girlfriend wangu kunisalimia na kwenda moja kwa moja kwenye dhumuni la kunitafuta (alidai ni kunijulia hali na kunipa pole kwa ayo matatizo), nilikuja kujibu mawasiliano yake baada ya masaa 8 mbele. kwa kumuambia nashukuru
Kesho yake alinitafuta tena kujua nimefikia wapi, na ayo matatizo nilimueleza (tuliongea vizuri tu kwa njia ya voice), Na amekuwa akifanya ivyo ila dhumuni lake la kunitafuta likiwa ni kujua nimefikia wapi na ayo matatizo nilio pata, kwa jinsi alivyo nikosea sikudhani kama anaweza kuja kunitafuta bila kukiri ni jinsi gani alinikosea, akinitafuta tunaongea as if hakuna kilicho tokeaga katikati yetu (ila simpi nafasi ya kuongea sana na nini)
Now akinitafuta kujua nilipo fikia namjibu, asipo nitafuta simtafut ata kidogo (na sijawai kumtafuta mimi tangu ameanza kunitafuta),
Uyu binti naitaji msaada mmoja ndugu zangu: Nataka nimrudishe kwenye angle yangu niendelee kula mzigo kama kawaida, lakini sitaki anione kuwa namuwinda (hapa najitahidi sana kutokumtafuta kabisaa, mpaka anitafute yeye)
Sijui maisha yake ya sasa, maana sijawai kumfatilia sijui kama ameshapata mtu ndani ya iyo miezi 3 tulio kaa bila mawasilino yeyote yale (na sijawai kumuuliza kwenye mambo yake tangu aanze kunitafuta).
Nataka msaada wenu mmoja tu... njia gani nitamvuta au nitumie kuendelea kula Tunda bila shida yeyote, nataka nitumie njia ambayo haita fanya thamani yangu kushuka (sitaki kumuonyesha kama namuwinda any more)
Note: Ndiye binti niliotokea kumpenda sana enzi tulipokuwa pamoja, ndiye binti aliye umiza moyo wangu mpaka tukaachana.
Karibuni wakuu.
Kuficha mapenzi yako ni kama kuficha ushuzi wakati tumbo limejaa gesi, jiachie mkuu jamba kwa nafasi maana inapunguza gesi tumboni. Wala kumuonyesha kwamba unampenda au kumhitaji sio kujishushia hadhi yako.Habari za uzima, niliachana na girlfriend wangu niliye dumu nae kwenye mahusianomiaka mingi, yapata miezi kadhaa nyuma kutoka leo tangu niachane nae (yeye ndio aliniacha), kuna matatizo yalinitokea week iliyopita (matatizo ya kifamilia) wakati nipo kwenye pilika pilika za hapa na pale za kusolve maana ilinibidi nisafiri kwenda mkoani kuyasove, ghfla bin vuu naona sms inaingia kwenye simu yangu,
kuangalia nakutana na uyo X-Girlfriend wangu kunisalimia na kwenda moja kwa moja kwenye dhumuni la kunitafuta (alidai ni kunijulia hali na kunipa pole kwa ayo matatizo), nilikuja kujibu mawasiliano yake baada ya masaa 8 mbele. kwa kumuambia nashukuru
Kesho yake alinitafuta tena kujua nimefikia wapi, na ayo matatizo nilimueleza (tuliongea vizuri tu kwa njia ya voice), Na amekuwa akifanya ivyo ila dhumuni lake la kunitafuta likiwa ni kujua nimefikia wapi na ayo matatizo nilio pata, kwa jinsi alivyo nikosea sikudhani kama anaweza kuja kunitafuta bila kukiri ni jinsi gani alinikosea, akinitafuta tunaongea as if hakuna kilicho tokeaga katikati yetu (ila simpi nafasi ya kuongea sana na nini)
Now akinitafuta kujua nilipo fikia namjibu, asipo nitafuta simtafut ata kidogo (na sijawai kumtafuta mimi tangu ameanza kunitafuta),
Uyu binti naitaji msaada mmoja ndugu zangu: Nataka nimrudishe kwenye angle yangu niendelee kula mzigo kama kawaida, lakini sitaki anione kuwa namuwinda (hapa najitahidi sana kutokumtafuta kabisaa, mpaka anitafute yeye)
Sijui maisha yake ya sasa, maana sijawai kumfatilia sijui kama ameshapata mtu ndani ya iyo miezi 3 tulio kaa bila mawasilino yeyote yale (na sijawai kumuuliza kwenye mambo yake tangu aanze kunitafuta).
Nataka msaada wenu mmoja tu... njia gani nitamvuta au nitumie kuendelea kula Tunda bila shida yeyote, nataka nitumie njia ambayo haita fanya thamani yangu kushuka (sitaki kumuonyesha kama namuwinda any more)
Note: Ndiye binti niliotokea kumpenda sana enzi tulipokuwa pamoja, ndiye binti aliye umiza moyo wangu mpaka tukaachana.
Karibuni wakuu.
nakuelewa mkuu, sina ndoto aje kuwa mke wangu, ila nahitaji awe mtu ambaye nitakuwa nakidhi aja zangu tuu basi.Huenda alipata mwanaume mwingine aliyempemda na kumjali zaidi yako akaona akuache,leo hii huenda hawana mahusiano/maelewano mazuri na pia aliyotarajia kuyapata kwake hakuyapata hivyo akaona bora ajirudi kwako.Anyway wewe ndo mwenye kuamua ila kabla ya kufikia maaumuz ya kurudiana nae utafakari kwa kina sana.Then baada ya tafakari yako ya kina na ukaona uendelee kua nae basi hakikishen mnapima afya zenu bila kusahau kumpima na ujauzito.WAPO WENGI WALIOSINGIZIWA WATOTO NA KUAMBUKIZWA MAGONJWA KWA STAILI HIZI HIZI.
mkuu mimi ninacho taka ni njia gani ntamvuta kabisa aingie kwangu, niendelee kumla, ila sina malengo..Mkuu, kwenye mapenzi, usitake kutafuta LAWAMA kwetu; wewe fata moyo wako unacho kwambia. Wanawake wachache sana hasa kama mliachana anaweza kukutafuta kwenye matatizo, wengi wao wangefurahi kukuona mzee unaadhirika (hi hata kwetu wanaume ni hivyo hivyo tu) but huyu kama kakufuata/kukutafuta wakati una matatizo, huyu ni.......! utajaza mwenyewe.
asante kwa ushauri wako.Hizo ni nyege tu mkuu.....ungekua chaputa ungeshampuuza kitambo....mwanaume kurudia matapish ni dalili ya mwanamke kukutawala...kama ulimfumania ana cheat..hyo dhambi huwa haisamehew...acha udhaifu kijana.mademu ni weng had tunawakimbia