Baada ya kusikia vitu kama mchanga unamwaga batini usiku wa manane nimetoka nje kuangalia ila sioni kitu, nini tatizo?

Baada ya kusikia vitu kama mchanga unamwaga batini usiku wa manane nimetoka nje kuangalia ila sioni kitu, nini tatizo?

Nipo mkoani kikazi kuna ki apartment nimelipia mimi na mwenzangu mwezi japo kazi ni ya wiki 2 tu,

tumeishi wiki moja bila tatizo ila kuanzia usiku wa juzi kulikuwa na shida, ni kama kuna ndoo iliyojazwa mchanga inamwagwa juu ya bati.

Siku ya juzi nilidhani labda ni ndege au mnyama sikuzingatia sana japo mwenzangu alikuwa anaweweseka sana kusema ni wachawi, mi wala sikujali.

Siku ya jana hali ilikuwa kawaida tu ila mwenzangu alianza kulala bila kuzima taa, nikabaki namshangaa.

Sasa na leo hali imejirudia kama ya juzi nilitoka nje kuangalia batini ila sikuona chochote, nikapotezea nikarudi kuchapa usingizi huku mwenzangu akiwa amepaniki usingizi wake umekata, ghafla tena hali ikajirudia nilitoka nje kama mshale nikiwa nimebeba kurunzi kumulika batini lakini sikuona chochote

Naombeni ushauri maana sielewi, mwenzangu ndio yupo hoi kabisa nahisi tanesco wakikata umeme atazimia.
Wachawi hao na hiyo ndio ishara yao,kuisikia mchanga unachururizika au muda mwingine vishindo kabisa juu ya dari.
 
ndrungu zango,

apo apartment si kuna mti apo ambao matawi yake yanakaribia kugusa bati?🐒

maana yake kukiwa na upepo hayo matawi yananesa hadi kugusa bati ndio mnaskia kama kumwagwa mchanga means ayo matawi yanakua kama yanafagia bati 🐒

kwahivyo msiogope wala kua na Imani potofu 🐒

By the way,
mchawi mwenyewe muoga kichizi ndio maana anafanya kazi zake usiku gizani🐒
Wajuaji hamkosekani.
 
Nipo mkoani kikazi kuna ki apartment nimelipia mimi na mwenzangu mwezi japo kazi ni ya wiki 2 tu,

tumeishi wiki moja bila tatizo ila kuanzia usiku wa juzi kulikuwa na shida, ni kama kuna ndoo iliyojazwa mchanga inamwagwa juu ya bati.

Siku ya juzi nilidhani labda ni ndege au mnyama sikuzingatia sana japo mwenzangu alikuwa anaweweseka sana kusema ni wachawi, mi wala sikujali.

Siku ya jana hali ilikuwa kawaida tu ila mwenzangu alianza kulala bila kuzima taa, nikabaki namshangaa.

Sasa na leo hali imejirudia kama ya juzi nilitoka nje kuangalia batini ila sikuona chochote, nikapotezea nikarudi kuchapa usingizi huku mwenzangu akiwa amepaniki usingizi wake umekata, ghafla tena hali ikajirudia nilitoka nje kama mshale nikiwa nimebeba kurunzi kumulika batini lakini sikuona chochote

Naombeni ushauri maana sielewi, mwenzangu ndio yupo hoi kabisa nahisi tanesco wakikata umeme atazimia.
Kama ingekuwa ni nyumbani kwako ningekushauri ufanye zindiko.

Watu huwa hawahamii kwenye nyumba walizozijenga bila kuzizindika.
 
Umenikumbusha jamaa yangu mmoja w kilundi aliniadisiaga stori. Kuna nyumba walipanga. Kukawa na kawaida mara nyingi usiku kusikia kishindo kikubw juu ya bati.

Wapangaji sametimes akikaa huulizana kama wanasikia hicho kishindo, wakasema wanasikia na itakuwa wachawi

Basi jamaa mmojawao akatengeneza shoti ya umeme, akaunganisha kwenya bati na akaweka plag standby. Basi siku moja usiku kikasikika kishindo kwenya bati basi jamaa faster aka place plag kikasikika kitu kama kinabiringika kikasiika kitu kimaanguka chini puuu!. Keshe yake wanasikia baba mwenye nyumba anaumwa kapata ajari sura yote imevimba
 
Sina maana mbaya.. lakini wenzetu Kuna namna huwa mpo karibu na Majini.. Jini kwenu sio adui kama ilivyokwetu ndo maana waislamu wengi wanamajini kuliko wakristo ni kitu ambacho nimekifamu kutokana na mazingira tofauti niliyokulia

Sina maana ya kuleta udini hapa mkuu.. lakini hivyo ndivyo ilivyo
Sema tu usichanganye majini na malaika waliyoasi ni viumbe aina mbili tofauti mkuu, majini ndio hawa wenye kushiriki mapenzi,kuzaa na hadi kufariki kitu ambacho ni tofauti na asili ya malaika waovu.
 
Nipo mkoani kikazi kuna ki apartment nimelipia mimi na mwenzangu mwezi japo kazi ni ya wiki 2 tu,

tumeishi wiki moja bila tatizo ila kuanzia usiku wa juzi kulikuwa na shida, ni kama kuna ndoo iliyojazwa mchanga inamwagwa juu ya bati.

Siku ya juzi nilidhani labda ni ndege au mnyama sikuzingatia sana japo mwenzangu alikuwa anaweweseka sana kusema ni wachawi, mi wala sikujali.

Siku ya jana hali ilikuwa kawaida tu ila mwenzangu alianza kulala bila kuzima taa, nikabaki namshangaa.

Sasa na leo hali imejirudia kama ya juzi nilitoka nje kuangalia batini ila sikuona chochote, nikapotezea nikarudi kuchapa usingizi huku mwenzangu akiwa amepaniki usingizi wake umekata, ghafla tena hali ikajirudia nilitoka nje kama mshale nikiwa nimebeba kurunzi kumulika batini lakini sikuona chochote

Naombeni ushauri maana sielewi, mwenzangu ndio yupo hoi kabisa nahisi tanesco wakikata umeme atazimia.
Hao wanga ndo wanatua hivyo! Pole sana.... kama unaweza kachukue maji ya Baraka kwenye kanisa lolote katolic mwaga juu ya hilo paa- na chumbani.... usije wakakuchanja chale za Matako😂😂
 
Kama ingekuwa ni nyumbani kwako ningekushauri ufanye zindiko.

Watu huwa hawahamii kwenye nyumba walizozijenga bila kuzizindika.
Mpaka sasa nimeishi kwenye nyumba mbili za kujenga mimi,sijawahi kufanya zindiko,kwenye nyumba niliyopo nina kama mwaka sasa,sijawahi kuona kelele,shida yoyote wala nini,sikatai uwepo wa nguvu za giza ,ila siamini katika kufanya zindiko kwenye mji wangu
 
Mpaka sasa nimeishi kwenye nyumba mbili za kujenga mimi,sijawahi kufanya zindiko,kwenye nyumba niliyopo nina kama mwaka sasa,sijawahi kuona kelele,shida yoyote wala nini,sikatai uwepo wa nguvu za giza ,ila siamini katika kufanya zindiko kwenye mji wangu
Hapo inategemea na maeneo unayoishi , circle ya watu ulionao maana siku zote mbaya hatoki mbali.
 
Hapo inategemea na maeneo unayoishi , circle ya watu ulionao maana siku zote mbaya hatoki mbali.
Hakuna kitu kama hicho,nyumba yangu ya kwanza wakati najenga kila mtu alishangaa,maana nilijenga karibu na mbibi ambaye anaogopeka sana pale kijijini ,but nimeishi kwa nyumba hiyo 9years bila shida
 
Nipo mkoani kikazi kuna ki apartment nimelipia mimi na mwenzangu mwezi japo kazi ni ya wiki 2 tu,

tumeishi wiki moja bila tatizo ila kuanzia usiku wa juzi kulikuwa na shida, ni kama kuna ndoo iliyojazwa mchanga inamwagwa juu ya bati.

Siku ya juzi nilidhani labda ni ndege au mnyama sikuzingatia sana japo mwenzangu alikuwa anaweweseka sana kusema ni wachawi, mi wala sikujali.

Siku ya jana hali ilikuwa kawaida tu ila mwenzangu alianza kulala bila kuzima taa, nikabaki namshangaa.

Sasa na leo hali imejirudia kama ya juzi nilitoka nje kuangalia batini ila sikuona chochote, nikapotezea nikarudi kuchapa usingizi huku mwenzangu akiwa amepaniki usingizi wake umekata, ghafla tena hali ikajirudia nilitoka nje kama mshale nikiwa nimebeba kurunzi kumulika batini lakini sikuona chochote

Naombeni ushauri maana sielewi, mwenzangu ndio yupo hoi kabisa nahisi tanesco wakikata umeme atazimia.
unafahamu mti wa mbaazi
 
Nipo mkoani kikazi kuna ki apartment nimelipia mimi na mwenzangu mwezi japo kazi ni ya wiki 2 tu,

tumeishi wiki moja bila tatizo ila kuanzia usiku wa juzi kulikuwa na shida, ni kama kuna ndoo iliyojazwa mchanga inamwagwa juu ya bati.

Siku ya juzi nilidhani labda ni ndege au mnyama sikuzingatia sana japo mwenzangu alikuwa anaweweseka sana kusema ni wachawi, mi wala sikujali.

Siku ya jana hali ilikuwa kawaida tu ila mwenzangu alianza kulala bila kuzima taa, nikabaki namshangaa.

Sasa na leo hali imejirudia kama ya juzi nilitoka nje kuangalia batini ila sikuona chochote, nikapotezea nikarudi kuchapa usingizi huku mwenzangu akiwa amepaniki usingizi wake umekata, ghafla tena hali ikajirudia nilitoka nje kama mshale nikiwa nimebeba kurunzi kumulika batini lakini sikuona chochote

Naombeni ushauri maana sielewi, mwenzangu ndio yupo hoi kabisa nahisi tanesco wakikata umeme atazimia.
ujue nyumba yako inachezewa na wachawi yaani dalili sio hizo tu ziko nyingi tu mfano: mapaka kulia usiku nyumbani kwko au dirishani kuota unachunguliwa dirishani watoto kulia sana usiku kwako nk.. Mkuu kama bado unyo hayo matatizo nitafute ili nipate kukutibia na kuondosha hayo matatizo.
 
Wenzake walipokuwa wanasoma habari za Contraction na expansion ulikuwa unasema tutatumia wapi huu ujinga. Leo bati linalia wakati wa contraction unasema wachawi!!!
 
Back
Top Bottom