Baada ya kutaka EAC kuwa Nairobi, sasa lake Victoria kuwa bila mipaka

Baada ya kutaka EAC kuwa Nairobi, sasa lake Victoria kuwa bila mipaka

Kama kungekuwa na utawala wa sheria Afrika, basi sioni kwanini kungangania shirikisho badala ya kuunganisha nchi zote za maziwa makuu kuwa nchi moja. Lakini kwa kuwa watu wameshindwa kujiona kwanza wao kama Wanyaruanda, Wanganda Wakenya, wanajiona kuwa Watusi, Wabaganda, Wajuluo n.k, Inaonyesha hatuwezi kwenda mbele kwa kujiachia tu watu watembee kama Mijusi.

Tujenge utawala wa sheria unaoheshimu demokrasia na haki za binadamu, isiyokuwa na tabaka la watawala na watawaliwa, basi mengine tunaweza! Lakini hii tabia ya kusema kuwa nifanye hivi kumpiku yule ina matitizo makubwa. CCM imeshindwa tu kuwapa haki sawa CUF katika utawala wa nchi yao (Zanzibar) sasa huko tuendako? Tanganyika inaonekana inainyonya Zanzibar, huko tuendako?

Inabidi tufanye homework yetu kabla ya kuvamia haya mambo, wakati Mkapa anabinafsisha kila kitu hakuona haja ya kwenda kwa awamu na kufanya tathmini, sasa analalamika! tusije tukafikia huko, bado tuna nafasi. Tushirikishwe na tushiriki kikamilifu.
 
hilo halina ubishi aisee, watanzania hawajalala, hawatakubali. kama walivyosema wengine, tanzania ya leo haiendeshwi na viongozi wachache, inaongozwa na wananchi, ndio maana siku hizi tunaweza hata kuandamana mtu kama lowasa na wengine wakajiuzuru. na viongozi wetu siku hizi wanawaogopa wananchi kama simba, wakifanya kosa tu kuna hatihati ya kulazimika kujiuzuru. sidhani kama kuna kiongozi yoyote anayeweza kufanya kosa hilo, kwasababu akifanya tu , tutalileta hapa tulijadili ili tumwajibishe na turejeze mali zetu mikonomi mwa watz. safi ubungoubungo, ndio uzalendo huo.
 
asante kwa sapoti mkuu. tupambane kulinda maslahi ya nchi yetu jamani.
 
The height of illiteracy, if you dont know that Kenyan coffee is the best in the world, compared only to i think Brazil, then unalala darasani. Our coffee is used to blend the rest of the worlds coffee..(The coffee that you drink-if you drink any, was blended using our coffee) We are a product of our own, unmatched by any other Ea country-though we have less land and 'no' minerals.

Uswahili hautawapeleka kokote, work hard mates. maybe the minerals are not in anyway helping you as a country, you just sell the stones to brokers who make a kill else where. Thats the power of capitalism.


History will tell, will tell the days when you seriously despised us, pretending to be the best of the best in Everything,Now things have chenged,we are really doing good, almost in every corner, Cultural we have no bounds our interactions are second to none in East Africa,Tribalism has no place any more.Politicaly STRONG democracy is booming,I think you know this,During the Kenya's Election Chaos we were there helping you.The former President Mkapa,The Current President Kikwete even we Tanzanians sheltered you.
Economically, There is Plenty of Gas , and Crude oil will soon drilled .
in five years to come we gonna be somewhere.
Long Live Tanzania.
 
History will tell, will tell the days when you seriously despised us, pretending to be the best of the best in Everything,Now things have chenged,we are really doing good, almost in every corner, Cultural we have no bounds our interactions are second to none in East Africa,Tribalism has no place any more.Politicaly STRONG democracy is booming,I think you know this,During the Kenya's Election Chaos we were there helping you.The former President Mkapa,The Current President Kikwete even we Tanzanians sheltered you.
Economically, There is Plenty of Gas , and Crude oil will soon drilled .
in five years to come we gonna be somewhere.
Long Live Tanzania.

Yeah Somewhere you will be......Exactly where you are now mark timing as usual.
Kenya moving forward we are not the best but we are better so just chill exploit what you already have and then after that start talking of these impossibilities....
 
siwezi kubishana na mkenya kwa jambo hili, kwasababu chochote kile kilichopo kenya, mnafikiri ni bora kuliko vyote. si ajabu hata kibera mkasema ni slum bora kuliko zote duniani. si ajabu hata mombasa mkasema ni port bora kuliko zote duniani, because you are blessed kwa hili, kuringa/bring proud of nothing. kama ndio hivyo, hongera.

lakini for the issue of uswahili which you are talking about, sisi sio waswahili. that's why you are afraid of us, and you are jerousy of us. zamani tulikuwa waswahili, tulikuwa wajamaa na wavivu, lakini siku hizi maisha magumu na matatizo yametuletea challenge, we are no longer those people of the past brother. you may talk till night but that is the truth that will remain.

ni kweli hamuna madini, ndio maana mnatuonea wivu sisi wabongo tulio na madini. you've got to learn to live with that emptiness brother, mkituangalia sisi wabongo ambao tunakuja juu sana kiuchumi, our people now go to school, na si muda tutakuwa hata zaidi yenu. ardhi yetututazikdi kuilinda, hamtakuja muiguse, mtalowesha ardhi kwa udenda tu. poleni. if uswahili hautusaidii sisi, then bring proud does not and will never help you kenyans forever.

skiza boss, kila tyme unasema ati tunawaonea uwivu, to tell you the truth, of all the countries we can envy, sidhani Tz inaeza kuwa kwa list. The only thing is that the borders that we currently have are a hindrance to trade, labda nyie hamuoni umuhimu wa hizo borders kutolewa coz you as a country are a market for other countries, when you start exporting goods to your neighbouring countries, thats when you will know the disadvantages of embrasing primitive borders.
Na story ya minerals aisee, inanifurahisha.. let me just ask you a simple question, how much does the minerals(madini) industry remit to your government every year? You will be surprised on your finding my brother
 
Yeah Somewhere you will be......Exactly where you are now mark timing as usual.
Kenya moving forward we are not the best but we are better so just chill exploit what you already have and then after that start talking of these impossibilities....

Wakati sisi tunasonga mbele wewe unaona Tuna-mark time,that is bad and selfishness.Any way hilo ndilo tatizo mlilonalo.Wakati wa sasa ni wa kupambana ,na si kwa maneno bali kwa vitendo.Na ndiyo maana tunapambana na ufisadi,kila aina ya uovu ili tuweze kwenda mbele.Mwenye macho aambiwi tazama.
 
hivi tanzania hakuna hata kiwanda kimoja? mbona hawa jamaa huwa wanaona kama sisi hatuexport hata tone la kitu vile....hii inachekesha. nafikir, kuna siku mambo yote haya yatakuwa bayana, tz is growing nakwambia. very soon you will be our colony. just wait and see.
 
Hivi jamani kwani tukiachana na Kenya na Uganda tukaongeza nguvu kwenye SADC kuna nini mbona naona kama watu hawapendi akini bado tunaelekea huko. Au tukasubiri tukajiunga tukitaka. Mbona sio lazima.

Unajua, nchi yetu ilikuwa katika ujamaa kwa muda mrefu, nao hatukuuelewa lakina ulituachia kovu kubwa sana: watu hawachangamkii biashara na shughuli za maendeleo na pia tuna viongozi wetu wazee, wachovu, wajinga, wanafiki na hawafanyi maamuzi mara moja na kuyasimamia. Wakenya wanataka kutuwahi kabla hatujaamka kwenye usingizi huo! Tuwe makini.
 
hivi tanzania hakuna hata kiwanda kimoja? mbona hawa jamaa huwa wanaona kama sisi hatuexport hata tone la kitu vile....hii inachekesha. nafikir, kuna siku mambo yote haya yatakuwa bayana, tz is growing nakwambia. very soon you will be our colony. just wait and see.

We are not trying to deny the fact that you have industries, my only question is, how much do you export? how much of your industries have crossed the border and opened branches in other EA countries? Dont take it as an offence, be open minded.

To tell you the truth the only product I have consumed from your country is White dent, ngetwa and Konyagi.. truth be told.
 
We are not trying to deny the fact that you have industries, my only question is, how much do you export? how much of your industries have crossed the border and opened branches in other EA countries? Dont take it as an offence, be open minded.

To tell you the truth the only product I have consumed from your country is White dent, ngetwa and Konyagi.. truth be told.

ahahahaha...sasa jirani unanifurahisha...kumbe mnatumia hata bidhaa zetu ila mnajisahau na kujiamini kuwa you are everything in east africa?....anyway huu sio muda mzuri kubishana nani ana nini...ni muda mzuri wa kutatua matatizo ya kila taifa ili sote kwa pamoja tutoke huku tuliko...3rd world countries....tuende basi hata 2nd world countries...AU JIRANI UNASEMAJE?? we are all sick and no doctors around...lets help ourselves with our ngetwa and your blue band may be we'll get better...hakuna taifa la viwanda east africa...sie wote ni masoko ya whites...au jirani nimekosea??...kwako kunakiwanda gani ambacho owner wake ni mluo au mkikuyu na sio a branch ya europeans or indians tycoons?....
 
skiza boss, kila tyme unasema ati tunawaonea uwivu, to tell you the truth, of all the countries we can envy, sidhani Tz inaeza kuwa kwa list. The only thing is that the borders that we currently have are a hindrance to trade, labda nyie hamuoni umuhimu wa hizo borders kutolewa coz you as a country are a market for other countries, when you start exporting goods to your neighbouring countries, thats when you will know the disadvantages of embrasing primitive borders.
Na story ya minerals aisee, inanifurahisha.. let me just ask you a simple question, how much does the minerals(madini) industry remit to your government every year? You will be surprised on your finding my brother

...is this what you call simple question??
simple answer ni kwamba KENYA wanabenefit sana na hii madini than Tanzania... you want to know why? kwasababu ya WIZI MTUPU.
 
This is very serious issue. How come for Kenyan to fish in our water in lake victoria? Welcoming Kenyans is like welcoming colonialists (hash words), they can start demanding ownership for the whole lake.

Another irritating issue, is the on-going debate on Migingo Island between Kenya and Uganda. Guys visit BidiiAfrica which is typical website for kenyans, there you will see the exchange of war words betweenr kenyans and ugandans each side trying to explain how advanced its military is, and that the military of kenya or uganda is capable of destroying its enermy within a second, shame!!. Watz, I think we need to be extra careful with EAC. If such small Island is driving a country to plan a war in the name of defending her territory, what will happen if Tz will denied these folks accessed to our land? I'm totally shocked with the high ambition they have over Tz resources. We have to think twice x 2 hahahhahaaa!
 
hiyo proposal ya kuondoa mipaka ni rubbish. Mipaka isiondolewe. Chakufanya sisi tanzania tuendelee kuvua samaki na kama kuna ziada tuwauzie wakenya.

Lazima tulinde maslahi ya nchi yetu at all costs, eac notwithstanding.
hawa jamaa wajifunze kuheshimiana wenyewe kwa wenyewe kwanza. Watu kwao tu wenyewe wanabaguana leo ndio kutakuwa na mtz na mkenya kuwa kitu kimoja. Halafu wana dharau za kifala sana hao jamaa. Wao kuongea kiingereza chenye lafudhi ya kijaluo ndio wanaona wanaakili saaaaana mnaongea kiingereza kama vile mmejaza kizeri mdomoni. Hatutaki kuungana na nyani sisi.
 
hawa jamaa wajifunze kuheshimiana wenyewe kwa wenyewe kwanza. Watu kwao tu wenyewe wanabaguana leo ndio kutakuwa na mtz na mkenya kuwa kitu kimoja. Halafu wana dharau za kifala sana hao jamaa. Wao kuongea kiingereza chenye lafudhi ya kijaluo ndio wanaona wanaakili saaaaana mnaongea kiingereza kama vile mmejaza kizeri mdomoni. Hatutaki kuungana na nyani sisi.

ahahahahaha...duuuuuu...ebwanaeeeeeeee...mkuu BACTERIA naona unatema cheche...anyway hawa jamaa zetu mie napenda kuwaita jirani zetu...sasa wanajisahau wanatoka kwenye ujirani tulikuwanao wanaanza kujiingiza kwenye utawala...wao wana nyumba nzuri na ya kisasa ila hawana ardhi ya kulima na kupunga upepo kibarazani...wanataka kutumia nyumba yao ya bati kujiona ni bora kuliko sie wenye kibanda cha nyasi..na dharau yao inapitiliza mipaka sasa wanawadharau hata hao jirani zao wa kiganda....chuki na dharau na hasira zao zooote juu yetu sijui zimetoka wapi...au ni kwavile hatutaki kuwapatia ardhi yetu kwa kigezo cha eat africa ndio wanatuchukia na kututusi kila mara..mara watuambie hatuna elimu mara hatujui kingereza mara sie sio aggressive na mengineyo mengi....wanasahau kuwa walishawahi kuutaka mlima kilimanjaro nyerere akawaambia poa ila sie tuchukue bandari ya mombasa ...hapo ndipo huwa tunawapiga bao kila mara..sasa wanataka ardhi yetu ila hawataki tuwe na sarafu moja ya east africa wakidai uchumi wao uko juu....kwanini jirani unataka ardhi yetu ila wewe kutoa uchumi wako ndo hutaki?....wanataka tuchangie ziwa victoria kibiashara ila hawataki tupeleke bia ya safari na bidhaa zingine kwao eti hazina ubora...jirani zetu hawa wamezidiwa na ubinafsi....HILO NDIO TATIZO LAO KUBWA...cha msingi ni kuwaombea kwa mungu wasamehewe..hawajui walitendalo...ILA WAKATI TUNAWAOMBEA...FASTA TUJITOE HATA KWENYE HAYA MAMBO YA USHURU WA FORODHA WA SOKO LA PAMOJA.....tuwaache wapigane na mpenda ukubwa M7 wa uganda na mdogo wake KAGAME...mbaya zaidi wote tumewalea na kuwakuza ki-staarabu hapa kwetu..ila nasikitika kagame naye anatu-diss kuwa sie tupo slow kuingia east africa....NATAMANI KUANDIKA MATUSI MAZITO ila ustaarabu wa kitanzania unanibana...HATUKO KAMA WAO....inshalllah inatosha
 
kama ziwa victoria litakuwa halina mipaka hata bahari ya hindi kwa kenya na tz itakuwa haina haja ya kuwa na mpaka.
na kwanini iishie kwenye maji tu? basi hata nchi kavu kutakuwa haina haja ya kuwa na mpaka. kwahiyo ile mipaka yetu kati ya tz, kny na ug haina haja ya kuwepo yote. ndo tunavyotaka?
 
majirani njaa ya ardhi na naweza kusema resources kiujumla inawasumbua. tukuwakaribisha tuuuuuuuuuu, maumivu mtindo mmojaaaa..........
wataenda nunua ardhi vijijin kwetu na kuanza kuendeleza nyondo kama kawa yao. vurugu hizoooooooooooooo. we must be very careful with this godamn it

bora hata kuwe na share kati ya muuzaj mtz na hao wenye ziki na ardhi. ardhi ikifanyiwa kazi kinachopatikana pasu kwa pasu na mtz mwenye ardhi. na wao wakodishiwe ardhi. hakuna kumiliki mamoja. na anakodishiwa pale tu anapokuwa yuko tayari kuifanyia kazi au anapoifanyia kaz. wao. hamna umiliki wa moja kwa moja

mara ingine si busara sana kuwa na ardhi kubwaaaaaa na safi lakin huifanyii kazi. wats that man
 
Hao wakenya wenyewe wanashindwa kushirikiana, hiyo serikali ya mseto inawashinda kila siku malumbano. Sasa huo ushirikiano na TZ ndo watauweza. Tatizo jamaa zetu hao ni ma-selfish sana, mkiwapa kidole watahitaji na mkono wote. Walichopewa ndicho chao, hata kama ingekuwa ni 1% kinawatosha, watumie kwa akili sio kwa uvuvi haramu then wanaingia TZ kuvua kwa haramu vile vile.

Naomba kuwakilisha hoja
 
hawa jamaa wajifunze kuheshimiana wenyewe kwa wenyewe kwanza. Watu kwao tu wenyewe wanabaguana leo ndio kutakuwa na mtz na mkenya kuwa kitu kimoja. Halafu wana dharau za kifala sana hao jamaa. Wao kuongea kiingereza chenye lafudhi ya kijaluo ndio wanaona wanaakili saaaaana mnaongea kiingereza kama vile mmejaza kizeri mdomoni. Hatutaki kuungana na nyani sisi.

It aint about English nor your land, its about the hate that you habour against us, period. What you term as dharau to me is just a form of communication, you can either take it positively or negatively, which ever will make you sleep at night.Have you met with a Kenyan in person akakuonyesha dharau, personally i have never, and I have met Tz with madharau, guess its Human.

When you say that we speak improper english, you suprise me, kiswahili chenyu chenyewe kime affectiwa na mother tongue yenyu that you can even pronounce aome terms the right way.

Stop hurling insults, nani nyani mkuu? Who is taking this EAC thing personally, guess ni nyinyi tu, mpaka Paul Kagame has noticed that you are laggards and your dragging the EAC community.. wacheni uswahili na mfanye kazi, labda hapo mtaendelea.

LIKE NAS SAID, PEOPLE FEAR WHAT THEY CANT UNDERSTAND, HATE WHAT THEY CANT CONQUER..
 
Back
Top Bottom