Tetesi: Baada ya kutalikiana Mr and Mrs Raqey Muhammed, mume ataka kumrudia mkewe baada ya kugundulika ana cancer

Tetesi: Baada ya kutalikiana Mr and Mrs Raqey Muhammed, mume ataka kumrudia mkewe baada ya kugundulika ana cancer

Wanaume mlivyo wabinafsi mnamtetea mwanaume mwenzenu ila mkiambiwa muwe mnatulia na wake zenu hamtaki! Mnadhani wanawake hawana mioyo ya kuumia?

Mjifunze kwamba mkiumiza wake zenu muwe mnajiandaa na matokeo pia kwamba wataondoka tu! Na mnatakaga wawasamehe kama ni lazima vile.
 
Wanaume mlivyo wabinafsi mnamtetea mwanaume mwenzenu ila mkiambiwa muwe mnatulia na wake zenu hamtaki! Mnadhani wanawake hawana mioyo ya kuumia?

Mjifunze kwamba mkiumiza wake zenu muwe mnajiandaa na matokeo pia kwamba wataondoka tu! Na mnatakaga wawasamehe kama ni lazima vile.
Wanandoa ugomvi wao ni siri wewe acha kujifanya unachukua upande

Vipi wakirudiana utaficha wapi sura yako?
 
Wengi wetu wahenga tunaijua hii couple

Raqey ni mtu mwenye historia ya kusisimua katika kujitafuta kwake mpaka kujipata (zero to hero)

Sarah pia ni mwanamke mrembo na mpambanaji sana, kajipata kwenye biashara ya chakula

Kwa pamoja historia yao ya mapenzi mpaka ndoa ilikua ni nzuri sana, wamepitia mengi na wamesaidiana sana katika hustle zao mpaka kuwa wa juu... na pamoja wana watoto wanne vijana wawili na mabinti wawili

Mwaka 2023 kulikua na tetesi kwamba mume ni msaliti na picha zilivuja yupo na K mnato ya kiasia (mchina). Lakini wote wakaja front na kusema kwamba wameachana kwa amani na kila mtu ana mishe zake wanalea watoto kwa pamoja

Lakini currently tetesi zimevuja baba wa familia amegundulika na cancer anatakiwa kuanza matibabu na kubwa kuliko ANAMUOMBA MKEWE AMRUDIE

my take:
1. Binafsi nisingemrudia sababu iko wazi anahitaji tu msaada wa mtu wa kumuuguza na sio kwamba mapenzi yamerudi kwa mtalaka wake
2. Binadamu ni social beings, utu uzima huwa unakua mtamu kama ukiwa na mwenza mliyeshibana whether unaumwa au huumwi

Hivyo basi ukiwa unamtaliki mwenzio, hakikisha una mbadala wa kueleweka

Hii tabia ya kuzagaa halafu yakikukumbuka unarudi kwa mkeo anakupokea ilikua wanawake wa zamani, wa siku hizi wana roho ngumu kwelikweli
 
Wengi wetu wahenga tunaijua hii couple

Raqey ni mtu mwenye historia ya kusisimua katika kujitafuta kwake mpaka kujipata (zero to hero)

Sarah pia ni mwanamke mrembo na mpambanaji sana, kajipata kwenye biashara ya chakula

Kwa pamoja historia yao ya mapenzi mpaka ndoa ilikua ni nzuri sana, wamepitia mengi na wamesaidiana sana katika hustle zao mpaka kuwa wa juu... na pamoja wana watoto wanne vijana wawili na mabinti wawili

Mwaka 2023 kulikua na tetesi kwamba mume ni msaliti na picha zilivuja yupo na K mnato ya kiasia (mchina). Lakini wote wakaja front na kusema kwamba wameachana kwa amani na kila mtu ana mishe zake wanalea watoto kwa pamoja

Lakini currently tetesi zimevuja baba wa familia amegundulika na cancer anatakiwa kuanza matibabu na kubwa kuliko ANAMUOMBA MKEWE AMRUDIE

my take:
1. Binafsi nisingemrudia sababu iko wazi anahitaji tu msaada wa mtu wa kumuuguza na sio kwamba mapenzi yamerudi kwa mtalaka wake
2. Binadamu ni social beings, utu uzima huwa unakua mtamu kama ukiwa na mwenza mliyeshibana whether unaumwa au huumwi

Hivyo basi ukiwa unamtaliki mwenzio, hakikisha una mbadala wa kueleweka

Hii tabia ya kuzagaa halafu yakikukumbuka unarudi kwa mkeo anakupokea ilikua wanawake wa zamani, wa siku hizi wana roho ngumu kwelikweli
Kwani Da Mange kasemaje?
 
Unawaza pafupi sana,huyo mwanaume anataka kurudiana na mkewe ili mali zote za urithi zibaki kwa huyo mke wake na watoto,jiongeze!
Hana haja ya kurudiana ili iwe hivyo.....
Aandike wosia, kwa vile hajaoa tena bado watapata tu.
Halafu hatujui cancer yake ipo stage gani, yawezekana ni stage za mwanzo so akipata tiba nzuri atapona tu though kwa kuteseka sanaaaaa na hapo kwenye kuteseka wakati wa matibabu ndo kunahitaji uwe na mtu wa maana sana wa kukupa support nje ya doctors and nurses
 
Huwezi kunirudia wakati unaumwa wakati uliondoka kwangu mzima.

Ana ndugu na jamaa wamuuguze hao sababu mpaka anakuja kwangu its clear hana mpenzi wa kueleweka kumpitisha kwenywe hicho kipindi
Na mchina wake hapo ukute ashakula kona. Kwa kweli akauguzwe na nduguzwe.
 
Hawa ni akina nani tena?
Jamaa ni professional photographer wa mwanzo mwanzo bongo.....
Jamaa ni kati ya watu walioipa heshima taaluma ya photography na sahizi anapiga kazi ikulu ya zanzibar kitengo cha mawasiliano

Mkewe ni mpishi mkubwa wa mashughuli mjini Daslam na pia ana restaurants mbili GSM mall na Dar free market

Enzi hizo za kusoma magazines na blogs walikua wanawika, dada alikua sista duu wa enzi hizo
 
Back
Top Bottom