cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 96,456
- 156,324
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kataa ndoa mmepokonywa points 10
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kataa ndoa mmepokonywa points 10
Sasa si apige za kansa yake tuione kwanza ama!Jamaa ni professional photographer wa mwanzo mwanzo bongo.....
Jamaa ni kati ya watu walioipa heshima taaluma ya photography na sahizi anapiga kazi ikulu ya zanzibar kitengo cha mawasiliano
Mkewe ni mpishi mkubwa wa mashughuli mjini Daslam na pia ana restaurants mbili GSM mall na Dar free market
Enzi hizo za kusoma magazines na blogs walikua wanawika, dada alikua sista duu wa enzi hizo
Huna akiliSasa si apige za kansa yake tuione kwanza ama!
Na wewe unayenikwoti hapa unaweza ukawa huna hizo unazoziita akili kuliko mimi. Akiwa anakula maisha yake kala mwenyewe wakati wa matatizo ndo tumpe sympathy I give none of it.Huna akili
Hata siwajuiJamaa kumbe aliipiga chini hii chuma ya kisomali duh hatari sana
Haahaaaaaa Tayana-wog warrrraaaaap 😊Hata siwajui
OyooooHaahaaaaaa Tayana-wog warrrraaaaap 😊
Kwema 😄Oyoooo
Kwema?
🙏🙏Tupo rfk anguKwema 😄
Super humbled 🙏🙏🙏Tupo rfk angu
Hivi Kuna nnSuper humbled 🙏
Kama kawaida nadhani unajua 😄Hivi Kuna nn
Mbona nao lamomy kala ban 🤷
Ht Uzi wetu pendwa sioni, kulikoni
Makubwa kumbe mambo yaliendelea🙌Kama kawaida nadhani unajua 😄
Kama kawaida 😄Makubwa kumbe mambo yaliendelea🙌
Duh
Duh nimekosa 🤣Kama kawaida 😄
Nina uhakika sababu tayari alikua ana mahusiano ya wazi na mtu mwingineUna uhakika gani kama cancer ndo imemsababisha aombe kurudiana na mtaliki wake, labda imetokea coincidence tu.
Wacha wakae chini wayamalize kiutu uzima kama walivyoachana kiutu uzima.
Wao ndio wenye kujuana vyema, we chukua jembe ukalime. Usiwe mchambuzi wa mapenzi ya watu.
Ukiwaacha wewe inatosha.......waliachana wao, wanarudiana wao, waachwe na maisha yao.