outsider man
Member
- Jan 3, 2025
- 16
- 11
yaani sasa wewe ndio umekaa ngara vilivyo na unawafaham wahangaza kuliko mwenye uzi wake apa !
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ntafika huku kwa kagameNauli kutoka daslam mpaka ngara kiasi gani, lodge nzuri sh ngapi kwa siku, nataka nifike nifanye utalii wa ndani..
Apo unatoboa chap😂Ntafika huku kwa kagame
Mkuu hawa n wife material hasa kuna jamaa huku kwetu msabato kaoa kama mke wa pili maana wa kwanza waliachana,aise to be honest wazee na ndoa zao wanamwonea jamaa wivu,na cha ajabu mwamba kanitonya alikuta 0km sikuamini hadi nilipokutana na huu uzi nikaunganisha doti.Ajitokeze muhangaza wa kuniconnect na dada ama ndugu yake. N.B niko serious
Ndio natafuta hiyo connection. Nataka niukimbie ukaperaMkuu hawa n wife material hasa kuna jamaa huku kwetu msabato kaoa kama mke wa pili maana wa kwanza waliachana,aise to be honest wazee na ndoa zao wanamwonea jamaa wivu,na cha ajabu mwamba kanitonya alikuta 0km sikuamini hadi nilipokutana na huu uzi nikaunganisha doti.
shida ya huku watu wanakula wenyewe hawataki kushare,ila nikifanikiwa ntakupa mrejesho ila mwakani ndio nampango wa kwenda huko inshallah...Ndio natafuta hiyo connection. Nataka niukimbie ukapera
Hahaa.. Hakuna mkuu, sikufuatilia kabisa.Watu kimya hata kuleta mrejesho hamna makaveli10 et al vizuri mnajilia wenyewe.
Oya ukipata konektion ya huko tustuane, tuchukue totoz huko😁Ndio natafuta hiyo connection. Nataka niukimbie ukapera
Tustuane kaka, konektion muhimushida ya huku watu wanakula wenyewe hawataki kushare,ila nikifanikiwa ntakupa mrejesho ila mwakani ndio nampango wa kwenda huko inshallah...
Anzia K Zero,Kabanga, Benaco mpaka Ngara Mjini.
ngara