Baada ya kutembea mikoa kadhaa Tanzania, nimegundua wanawake wa Kihangaza ni wife material

Baada ya kutembea mikoa kadhaa Tanzania, nimegundua wanawake wa Kihangaza ni wife material

Wachaga shapeless
Wanawake wa kichaga wengi wana miguu myembamba shepu kubwa juu sababu ya kubeba mizigo vichwani ya kuanzia mikungu ya ndizi,majani ya ng'ombe ,mbolea nk miguu inazidiwa hadi inakonda

Ukiona mwanamke wa kichaga ana miguu myembamba chini kama spoke za baiskeli jua huyo mwanamke ni mchapa kazi hasa

Kwa wale watafuta wanawake wachapa kazi wa kichaga angalieni miguu.yake juu kibonge chini miguu.myembamba ukisikia mandonga mtu kazi ndio hao sio kuwa huzaluwa hivyo wanaume zao wana miguu ya kawaida tu na miili.ya kawaida
 
Wanawake wa kichaga wengi wana miguu myembamba shepu kubwa juu sababu ya kubeba mizigo vichwani ya kuanzia mikungu ya ndizi,majani ya ng'ombe ,mbolea nk miguu inazidiwa hadi inakonda

Ukiona mwanamke wa kichaga ana miguu myembamba chini kama spoke za baiskeli jua huyo mwanamke ni mchapa kazi hasa

Kwa wale watafuta wanawake wachapa kazi wa kichaga angalieni miguu.yake juu kibonge chini miguu.myembamba ukisikia mandonga mtu kazi ndio hao sio kuwa huzaluwa hivyo wanaume zao wana miguu ya kawaida tu na miili.ya kawaida
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Nimeona kutoka hapa kasulu hadi Ngara ni kama 250km panaendeka.

Nipe muongozo nifike wapi ambao kutakuwa na nyumba za wageni na mapambo ya kihangaza ya kutosha. Weekend hii nataka niende
Anzia K Zero,Kabanga, Benaco mpaka Ngara Mjini.
 
Waangaza na Wasubi huwa nawaona na tabia za wanawake wa Burundi
Kuna banyankole pia,
Kuna tumusiime niliwai kuwa nae muda tu.
Uzuri na shepu ilikua sio jambo la kuuliza,
toto laini mkate wa boflo ukasome
ila alikua anagawa sana kwa mabazazi yenye hela zao maana hawakuwa wengi kipindi hicho.
Nikaachia gari njiani.
Badae tukakutana nikakuta yuko vizuri sana na life tukaanza kupasha viporo,
Sikua na moyo tena kuwa nae,
Niliambiwa alikufa.
 
Je? Mkiwa chumbani Wana yale Mambo yetu ya kulowesha kitanda na zile chrr chrrrr pwah chrrrrr
 
Back
Top Bottom