SMARTER GHOST
JF-Expert Member
- May 22, 2021
- 298
- 1,258
Nipe maelekezo kabisa, nikija kusaka baby mama niweke wapi kambi?Karibu sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nipe maelekezo kabisa, nikija kusaka baby mama niweke wapi kambi?Karibu sana
Uko sahihi kabisaNgara ina sehemu mbili, kaskazini ambako majority ni wahangaza(Bugufi) kieneo inapakana zaidi na Rwanda naongelea kuanzia maeneo kama Buhororo hadi Rusumo na kusini(Bushubi) huko wapo washubi na eneo lake kubwa linapakana na Burundi, maeneo kama Kabanga, Rulenge hadi chini huko mpakani na Kigoma. Ni ngumu sana kutofautisha Muhangaza, Mshubi, Mnyarwanda na Mburundi(Hutu, Tutsi and Twa)
Kwani kuwa nyuma kimaendeleo kunaondoa uhalali wa nilichokiandika?Uliyoaandika hayana ukweli hata kidogo Ngara ni wilaya iliyonyuma sana kimaendeleo Kwa sababu ya watu wake kuwa wavivu sana, wilaya hii inaogopeka Kwa uchawi na wanawake wengi ni wachawi balaa ww nenda kaoe mhangaza kama hujalogwa utaniambia
Tatizo wakiolewa kwenu, inferiority complex yao ina turn into superiority complex! Hii inazaa ubabe, kutojiamini kunakoleta kwenda kwa waganda (wachawi) na kudhani kila siku kuwa wanaonewa! Hivyo inaonekane wanawake wa kihangaza ni wasumbufu. Halafu nao wanaacha kufanyakazi kwa bidii, mwisho wa yote wanaonekana wavivu. Hivyo BUSH BIN LADEN msamehe bureSasa ww umekaa huko mwaka mmoja tu, Mimi natokea karagwe ndio NYUMBANI nilikozaliwa nawajua Hawa watu kuliko ulivyoandika
Anawajua maana wengi wao wanaume wa Karagwe huenda Ngara kuoa wahangaza ila chamoto huwa wanakipata!Mkaragwe unawajua wahangaza?
Karagwe wanaishi watu wa kabila gani? Nilidhani ni wahangaza wapo hadi huko Karagwe!Anawajua maana wengi wao wanaume wa Karagwe huenda Ngara kuoa wahangaza ila chamoto huwa wanakipata!
Uliyoaandika hayana ukweli hata kidogo Ngara ni wilaya iliyonyuma sana kimaendeleo Kwa sababu ya watu wake kuwa wavivu sana, wilaya hii inaogopeka Kwa uchawi na wanawake wengi ni wachawi balaa ww nenda kaoe mhangaza kama hujalogwa utaniambia
Comment ya huyo jamaa ndio ya kwanza kuwazungumzia hawa watu in a negative way!Hiii comment imenikata moto aisee
Hata mimiComment ya huyo jamaa ndio ya kwanza kuwazungumzia hawa watu in a negative way!
Karagwe wapo Wanyambo naona ni kama wahaya maana lugha zao zinaingiliana nadhani kwa 95%Karagwe wanaishi watu wa kabila gani? Nilidhani ni wahangaza wapo hadi huko Karagwe!
Siwaongelei Kwa negative way ndio uhalisia ulivyo !Comment ya huyo jamaa ndio ya kwanza kuwazungumzia hawa watu in a negative way!
Kadiri mwanamke anavyopanda ngazi kieleimu ndivyo anazidi kupoteza sifa za kuwa wife material.Elimu haina kipaumbele kwao!Kwa hiyo wife material lazima awe mjinga?
Kadiri mwanamke anavyopanda ngazi kieleimu ndivyo anazidi kupoteza sifa za kuwa wife material.
Karibu upate mwongozoNimetoka Dar nipo kasulu kikazi, naona uzi huu.
Naomba muongoza kutoka hapa kasulu na ngara kuna umbali gani? Na sehemu gani nifikie nijionee kwa macho haya yote ya WAHANGAZA
Karibu upate mwongozo
Fikia benaco ,kabanga au ngara mjiniNimeona kutoka hapa kasulu hadi Ngara ni kama 250km panaendeka.
Nipe muongozo nifike wapi ambao kutakuwa na nyumba za wageni na mapambo ya kihangaza ya kutosha. Weekend hii nataka niende