Baada ya kuthibitika kutumika kisiasa kuikandamiza CHADEMA ni vema Mkurugenzi wa TAKUKURU akajiuzulu

Kwani huwezi kuwa umetoka kuoga na kujisugua vizuri lakini akaja mtu na kipaza sauti akasema wewe ni mchafu na watu Wakamwamin?
 
Unajua majukumu ya TAKUKURU?
 
Wanaoenda kukagua chadema ni binadamu, na pengine ni washabiki wa chadema,
Hivyo basi wanaweza kutoa taarifa zisizo sahihi aidha kwa vipande vya fedha au kwa ushabiki.
Lipumba kwa kushirikiana na Mutungi waligawana hela ya CUF kwa kutumia akaunti binafsi kinyume kabisa cha Katiba ya Tanzania ulisikia lini wameitwa Takukuru?
 
Rais aliwasamehe kina kangi bila uchunguzi wa Takukuru kutolewa maamuzi ( report) halafu huku inakomaa kuchunguza duh double standard kweli kweli.

Rais ana haki ya kutoa msamaha kwa aliyepatikana na hatia tena kwa mujibu wa sheria kama inavyoelezwa kwenye ibara 45(1) na vipengelw vyake katika katiba ya JMT 1997
 
Takukuru sio wameweka kambi kuwa wanachunguza, bali wanajenga vitisho vya kishamba ili kuzipa siasa chafu airtime.
Tulieni dawa iwaingie. Viongozi wenu wakikutwa na hatia, ushahidi utawekwa mezani kila mtu ataona na kusikia. Baada ya hapo ndo mtajua kwamba ni Siasa chafu au ni nini? Sasa hizi kelele mnazoanza kupiga kabla ya matokeo ya uchunguzi lengo lake ni nini?
 
Kwani TAKUKURU wameshatoa taarifa yao uchunguzi? Kwanni unaingilia kazi ambayo huna utaalamu wala mamlaka nayo? Eti hakuna tatizo, wewe ndo uliekua unachunguza? Kuhoji watu wwe kwako unaona kazi imeisha.

Halafu wasiwasi mnapata wa nini? Kama mlizoea kulamba watu matako, Serikali hailambi mtu matako subirini matokeo ya uchunguzi mtaenda kujibia mahakamani kama kuna hatia au hakuna hatia.
 
Umejuaje kama wamekuta hakuna tatizo wakati hawajatoa taarifa(report) yao ya uchunguzi?
Je makosa ya jinai yana mwisho wa uchunguzi?...
Upo sahihi asilimia 100. Hawa kazi yao ni kulinda viongozi wao mpaka kwenye upumbavu.
 
Mkuu hawawezi kutoa nyaraka yoyote public. Pesa zimepigwa.
 
Wanaoenda kukagua chadema ni binadamu, na pengine ni washabiki wa chadema,
Hivyo basi wanaweza kutoa taarifa zisizo sahihi aidha kwa vipande vya fedha au kwa ushabiki.
Zipo taarifa kwamba Maafisa wa CAG huwa wanahongwa pia kutoa hati safi.
 
Huo uthibitisho kautoa Mukya?

Tatizo mmeshajua kuwa wewe na Mbowe mtaingia matatizoni kwa matumizi mabaya ya fedha za chama kwenye mapenzi yenu. Umeamua kuja huku kuwaandaa nyumbu wenu kuwaelewa pindi matokeo yakitoka
 
Barua ya kujiuzuru anamuandikia mwenyekiti wa chadema au wa ccm?
 

Utaalamu? Hivi unajua maana ya utaalamu boss? Takukuru nao unawaita ni wataalamu? Acha tu wazungu watuite manyani. Wasisitizeni waendelee kucheza siasa za kihanithi.
 
Tutaendelea kuwaumbua bila woga
Taasis zote zinatumika na sababu kuu ni sheria inayompa mamlaka anaye wateuwa na kuwafukuza, hivyo wote huwajibika kwake na kwa umma.

Angalia uhamiaji wanavyo hoji uraia wa watu waliotofautiana na uongozi, tuoneshe kaburi la rafiki yake wifi wa mama wa bibi yako. Polisi hao ndo usiseme, TRA wanaweza kukuletea bill ya kodi hata za kabla ya uhuru regardless ulikuwa umezaliwa au la, ...
 
Hakuna taasisi ya kuzuia Rushwa hizi nchi maskin zinajidanganya na ndiko wanasiasa wanakofichia madudu
Haiwezekan TISS hawaend front lkn PCCB wanakwenda
Futa PCCB unda taasisi imara tatu kupambana na uhalifu wa kijamii...
Hoja yako ni kuntu.
 
Lipumba kwa kushirikiana na Mutungi waligawana hela ya CUF kwa kutumia akaunti binafsi kinyume kabisa cha Katiba ya Tanzania ulisikia lini wameitwa Takukuru ?

Nenda kawashitaki kwa kuwa ushahidi unao basi utautoa mahakamani au takukuru.
Ni haki yako kama walivyofanya kina lijualikari.
 
Tatizo kila mteule sasa ni kufanya hata ya aibu lengo kumfurahisha aliyewateua. mnatakiwa kukumbuka kuwa kuna Mungu na uovu mnaofanya mtatembea nao na kizazi chenu hadi cha nne.
 

Wanangoja nini kuweka huo ushahidi mezani? Wanaume wazima kabisa wanatumwa kwenda kushinda kwenye ofisi za wanaume wengine, kuchunguza mambo ya siasa za kimbea, kisha wanajikuta hawana lolote la maana, wanabaki kujibebisha ili watangeneze taarifa za kubeba siasa chafu. Kama sio uh@nithi ni nini?
 
Nenda kawashitaki kwa kuwa ushahidi unao basi utautoa mahakamani au takukuru.
Ni haki yako kama walivyofanya kina lijualikari.
😆😆 Huna hoja mjomba.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…