Sole Proprietor
JF-Expert Member
- May 25, 2018
- 223
- 254
Sasa Chadema kama wao ni wasafi wanalia nini si wasubiri tu. Takukuru hii ni mfano sipata kuona inafanya kazi nzuri sana bila ya kujali elimu ya mtu sijui aliyesema ana elimu gani sababu kila mtu ana kiwango chake hata huko jeshini pia wasomi wapo sio jeshi la kikoloni hili
asa
Unajua majukumu ya TAKUKURU?Tusipenda kuutumia ujinga na uwendawazimu. Hivi TAKUKURU wana utaalam wa juu ya mahesabu ya fedha kuizidi ofisi ya TAKUKURU? CAG alikwishasema hakuna ubadhirifu wa fedha, hii taasisi ya TAKUKURU ambayo watumishi wake wanaongoza kwa kupokea rushwa, wanasema wanaenda kuichunguza CHADEMA.
Hivi CHADEMA kulikuwa na tuhuma za kupokea au kutoa rushwa? Au walisikia vibaya - walipoambiwa kuwa CCM inatoa rushwa kurubuni wabunge na madiwani wa CHADEMA?
Sent using Jamii Forums mobile app
Lipumba kwa kushirikiana na Mutungi waligawana hela ya CUF kwa kutumia akaunti binafsi kinyume kabisa cha Katiba ya Tanzania ulisikia lini wameitwa Takukuru?Wanaoenda kukagua chadema ni binadamu, na pengine ni washabiki wa chadema,
Hivyo basi wanaweza kutoa taarifa zisizo sahihi aidha kwa vipande vya fedha au kwa ushabiki.
Tulieni dawa iwaingie. Viongozi wenu wakikutwa na hatia, ushahidi utawekwa mezani kila mtu ataona na kusikia. Baada ya hapo ndo mtajua kwamba ni Siasa chafu au ni nini? Sasa hizi kelele mnazoanza kupiga kabla ya matokeo ya uchunguzi lengo lake ni nini?Takukuru sio wameweka kambi kuwa wanachunguza, bali wanajenga vitisho vya kishamba ili kuzipa siasa chafu airtime.
Kwani TAKUKURU wameshatoa taarifa yao uchunguzi? Kwanni unaingilia kazi ambayo huna utaalamu wala mamlaka nayo? Eti hakuna tatizo, wewe ndo uliekua unachunguza? Kuhoji watu wwe kwako unaona kazi imeisha.Si kweli kabisa ukisemacho , hawa walichokitaka wamepewa na wamehoji zaidi ya watu 60 , wakiwemo hata wanaccm, wamejua kwamba hakuna tatizo lakini bado hawaamini, kilichoshitukiwa ni kwamba wanatafuta mambo mengine nje ya tuhuma zilizoletwa, kwa hali hii unataka tuwe mabwege na tukae kimya ? hebu jaribu kumsikiliza Mnyika labda utaelewa .
Upo sahihi asilimia 100. Hawa kazi yao ni kulinda viongozi wao mpaka kwenye upumbavu.Umejuaje kama wamekuta hakuna tatizo wakati hawajatoa taarifa(report) yao ya uchunguzi?
Je makosa ya jinai yana mwisho wa uchunguzi?...
Mkuu hawawezi kutoa nyaraka yoyote public. Pesa zimepigwa.Hizi ni fursa mnazopewa CHADEMA.
Kazi yenu ambayo sijaona mkiifanya kwa ustadi ni kuzitumia fursa hizi ziwaletee manufaa.
Mngekuwa na watu wawili watatu hivi, wenye uwezo wa kuyafanyia matukio yote haya na kuya'package' kwa njia nzuri inayoeleweka kirahisi na mwananchi wa kawaida, haya yote yangekuwa mtaji mkubwa sana kwenu...
Zipo taarifa kwamba Maafisa wa CAG huwa wanahongwa pia kutoa hati safi.Wanaoenda kukagua chadema ni binadamu, na pengine ni washabiki wa chadema,
Hivyo basi wanaweza kutoa taarifa zisizo sahihi aidha kwa vipande vya fedha au kwa ushabiki.
Bila shaka wakati unaandika hii hoja yako ulikua chooni unakata gogo.Kwani huwezi kuwa umetoka kuoga na kujisugua vizuri lakini akaja mtu na kipaza sauti akasema wewe ni mchafu na watu Wakamwamin?
Huo uthibitisho kautoa Mukya?Ni wazi TAKUKURU baada ya kushindwa kubaini makosa kwenye michango ya wabunge wa Chadema , kutokana na kudanganywa na Peter Lijuakali, Mbunge aliyeanza vituko Chadema kutokana na chuki ya kukataliwa kwenye kinyang'anyiro cha uongozi wa Chadema Mkoani Morogoro, ikaanza njama zingine nje ya tuhuma za awali...
Kwani TAKUKURU wameshatoa taarifa yao uchunguzi? Kwanni unaingilia kazi ambayo huna utaalamu wala mamlaka nayo? Eti hakuna tatizo, wewe ndo uliekua unachunguza? Kuhoji watu wwe kwako unaona kazi imeisha. Halafu wasiwasi mnapata wa nini? Kama mlizoea kulamba watu matako, Serikali hailambi mtu matako subirini matokeo ya uchunguzi mtaenda kujibia mahakamani kama kuna hatia au hakuna hatia.
Taasis zote zinatumika na sababu kuu ni sheria inayompa mamlaka anaye wateuwa na kuwafukuza, hivyo wote huwajibika kwake na kwa umma.Tutaendelea kuwaumbua bila woga
Hoja yako ni kuntu.Hakuna taasisi ya kuzuia Rushwa hizi nchi maskin zinajidanganya na ndiko wanasiasa wanakofichia madudu
Haiwezekan TISS hawaend front lkn PCCB wanakwenda
Futa PCCB unda taasisi imara tatu kupambana na uhalifu wa kijamii...
Lipumba kwa kushirikiana na Mutungi waligawana hela ya CUF kwa kutumia akaunti binafsi kinyume kabisa cha Katiba ya Tanzania ulisikia lini wameitwa Takukuru ?
Tulieni dawa iwaingie. Viongozi wenu wakikutwa na hatia, ushahidi utawekwa mezani kila mtu ataona na kusikia. Baada ya hapo ndo mtajua kwamba ni Siasa chafu au ni nini? Sasa hizi kelele mnazoanza kupiga kabla ya matokeo ya uchunguzi lengo lake ni nini?
😆😆 Huna hoja mjomba.Nenda kawashitaki kwa kuwa ushahidi unao basi utautoa mahakamani au takukuru.
Ni haki yako kama walivyofanya kina lijualikari.