Mzito Kabwela
JF-Expert Member
- Nov 28, 2009
- 18,887
- 7,673
Hivi Ile ripoti ya Bashiru kabla hajawa KM ilivyonyesha namna watu walivyojimilikisha Mali za CCM ilitua TAKUKURU?Shida ni kwamba hata mwizi huenda kuiba palipo na cha kuiba!
Kwa hiyo chadema wangekuwa wasafi usingeona takukuru wakiweka kambi kwa muda wote huo hapo chadema!