Tetesi: Baada ya kutishwa, Ruge Mutahaba muda mfupi ujao anaenda kupingana na ushahidi uliokuwepo

Tetesi: Baada ya kutishwa, Ruge Mutahaba muda mfupi ujao anaenda kupingana na ushahidi uliokuwepo

Status
Not open for further replies.
Kama hamtetei Makonda mbona kuna ukweli ulio wazi kuwa akina Soud Brown na Kwisa walipigwa na wale askari aliiongozana nae na hata wao wenyewe wamesema lakini Ruge hapa amehojiwa kuhusu hilo kasema kuwa Watangazaji hao hawakupigwa wala kuguswa kokote?
Kwan wewe na ruge nani anajua zaid?
 
Katika hali ya kushangaza kabisa baada ya tukio zima la kutia aibu kama siyo pia la kusikitisha ambalo lilifanywa na Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Paul Christian Makonda ( siyo jina lake halisi ) juzi usiku katika Kituo cha tv cha Clouds muda mfupi ujao Bosi na Mkurugenzi wa Vipindi na Utafiti Bwana Ruge Mutahaba anaenda kumtetea Makonda.

Kwa habari za Kiuchunguzi kabisa zinasema kwamba ni kweli tukio lilifanyika na hata Mabosi Wakuu wa Clouds Media Group Kusaga na Mutahaba walikasirishwa mno na Kiktendo kilichofanywa na Makonda lakini baada ya mmoja wao kuitwa na KUTISHWA na wenye Mamlaka na hii nchi hatimaye Ndugu Ruge Mutahaba amekubali KUUPINDISHA ukweli wote ambao kimsingi Watanzania wengi tumeuona.

Katika Interview ambayo Ruge Mutahaba anaenda kuifanya muda mfupi ujao tegemeeni haya yafuatayo:

  1. Anaenda kumtetea kwa nguvu zote Makonda huku akitumia muda mwingi kumsifia.
  2. Anaenda kusema tukio halikutokea Clouds bali lilitengenezwa tu.
  3. Anaenda kusema Makonda hana Uadui na Clouds Media Group.
  4. Anaenda kusema Makonda anafanya Kazi nzuri kwa Tanzania.
  5. Anaenda kumgeuka Mchungaji Gwajima kwa nguvu zake zote.
Ili kuonyesha kuwa Clouds Media Group WAMETISHWA kinyume na hali ambayo ilikuwepo jana asubuhi Ofisini Kwao ambapo karibia Wafanyakazi wote walihamaki na kumlaumu sana Makonda asubuhi hii hii katika Kipindi cha Clouds tv 360 Watangazaji Sam Sasali, Babie Kabae na Hassan Ngoma wametumia muda mwingi kuweza kupinga tukio zima huku wakitucheka sisi Watanzania ambao kiukweli tukio zima tumelipata ile ile juzi usiku na wakimtetea sana Mkuu wa Mkoa Makonda.

Pole sana Ruge Mutahaba najua umetishwa mno jana huku pia ukiogopa kupoteza MASLAHI yako na kibaya zaidi najua umekubali yaishe ILI tu Makonda asiliibue lile sakata lako ambalo nafahamu unalijua mno ambalo linakusaidia pia kukuweka hapa mjini.

Kwa kukusaidia tu tuna Watu wetu hapo hapo Mjengoni Kwako Clouds Media Group ambao wametupa UKWELI wote. Tunasubiri ufanye hiyo propaganda yako ili na sisi tusiopenda UNAFIKI wako / wenu TUFUNGUKE zaidi.
Nazani ushapata majibu ya matango pori uliyotulisha.
 
Nashukuru leo Uzi wangu kuweza kutembelewa na Watu wengi kama Wewe na najua mpaka siku ikiishia huu uzi wangu unaweza hata kutembelewa na Watu wote waliopo duniani. Karibuni sana katika uzi wa GENTAMYCINE na nafurahi kuona uzi ukitiririka.
SAWA TU... Kinachofuatia watu watakusifia kwa ujinga ulioumwaga humu
 
watanzania uongo si kitu si mali. Jamii forum imevamiwa na watototo kila ujinga anaoufikiri mtu anaandika kama habari. Mtake radhi mwanamume mwenzio mr Mtahaba
 
kwani wewe ni muongo??????/ mbona hajamtetea RC kwa nguvu na kumkandamiza gwajima?? Inamaana ulilotoa hapa ni povu tuu

Mwandishi wa Habari Mbobezi ana mbinu nyingi za kufanikisha kile akitakacho au kufikisha ujumbe fulani kwa maslahi mapana ya nchi. Bado nasisitiza kuwa najiona Mshindi juu ya huu UZI kwani ama hakika lengo langu kwa 100% limetimia na leo nina furaha kubwa hasa nikiamini kuwa muda wowote Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam ATATUMBULIWA kitu ambacho ndicho nakitaka na nimekuwa nikikipigania humu JF kwa takribani mwezi sasa.
 
HAYA TUAMBIE LUGE KAMSIFIA BASHITE AU KAMPONDA?

KAMPONDA na ndicho kitu ambacho nilikuwa nakitaka akifanye hivyo GENTAMYCINE najiona Mshindi leo na nina furaha kubwa na ya ajabu sana. Akhsante Ruge Mutahaba.
 
Katika hali ya kushangaza kabisa baada ya tukio zima la kutia aibu kama siyo pia la kusikitisha ambalo lilifanywa na Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Paul Christian Makonda ( siyo jina lake halisi ) juzi usiku katika Kituo cha tv cha Clouds muda mfupi ujao Bosi na Mkurugenzi wa Vipindi na Utafiti Bwana Ruge Mutahaba anaenda kumtetea Makonda.

Kwa habari za Kiuchunguzi kabisa zinasema kwamba ni kweli tukio lilifanyika na hata Mabosi Wakuu wa Clouds Media Group Kusaga na Mutahaba walikasirishwa mno na Kiktendo kilichofanywa na Makonda lakini baada ya mmoja wao kuitwa na KUTISHWA na wenye Mamlaka na hii nchi hatimaye Ndugu Ruge Mutahaba amekubali KUUPINDISHA ukweli wote ambao kimsingi Watanzania wengi tumeuona.

Katika Interview ambayo Ruge Mutahaba anaenda kuifanya muda mfupi ujao tegemeeni haya yafuatayo:

  1. Anaenda kumtetea kwa nguvu zote Makonda huku akitumia muda mwingi kumsifia.
  2. Anaenda kusema tukio halikutokea Clouds bali lilitengenezwa tu.
  3. Anaenda kusema Makonda hana Uadui na Clouds Media Group.
  4. Anaenda kusema Makonda anafanya Kazi nzuri kwa Tanzania.
  5. Anaenda kumgeuka Mchungaji Gwajima kwa nguvu zake zote.
Ili kuonyesha kuwa Clouds Media Group WAMETISHWA kinyume na hali ambayo ilikuwepo jana asubuhi Ofisini Kwao ambapo karibia Wafanyakazi wote walihamaki na kumlaumu sana Makonda asubuhi hii hii katika Kipindi cha Clouds tv 360 Watangazaji Sam Sasali, Babie Kabae na Hassan Ngoma wametumia muda mwingi kuweza kupinga tukio zima huku wakitucheka sisi Watanzania ambao kiukweli tukio zima tumelipata ile ile juzi usiku na wakimtetea sana Mkuu wa Mkoa Makonda.

Pole sana Ruge Mutahaba najua umetishwa mno jana huku pia ukiogopa kupoteza MASLAHI yako na kibaya zaidi najua umekubali yaishe ILI tu Makonda asiliibue lile sakata lako ambalo nafahamu unalijua mno ambalo linakusaidia pia kukuweka hapa mjini.

Kwa kukusaidia tu tuna Watu wetu hapo hapo Mjengoni Kwako Clouds Media Group ambao wametupa UKWELI wote. Tunasubiri ufanye hiyo propaganda yako ili na sisi tusiopenda UNAFIKI wako / wenu TUFUNGUKE zaidi.
Ruge keshafanya yake.
Kanyoosha rula.
Clouds hawatishiwi nyau.
Ruge kajenga heshima sana kwa fani yake (na ya tasnia nzima ya habari) siku ya leo.
Angetishika na kutetereka ingekuwa balaa.

Ruge amekuwa kama wale wanasheria wa TLS waliovipuuza vitisho vya Mwakyembe na wakapiga kura kidemokrasia, kwa amani na kwa vigezo vyao wakivyojiwekea wenyewe.
 
Mwandishi wa Habari Mbobezi ana mbinu nyingi za kufanikisha kile akitakacho au kufikisha ujumbe fulani kwa maslahi mapana ya nchi. Bado nasisitiza kuwa najiona Mshindi juu ya huu UZI kwani ama hakika lengo langu kwa 100% limetimia na leo nina furaha kubwa hasa nikiamini kuwa muda wowote Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam ATATUMBULIWA kitu ambacho ndicho nakitaka na nimekuwa nikikipigania humu JF kwa takribani mwezi sasa.
usitake sifa katika yote yaliyosemwa hakukuwa na ushawishi wako hata kidogo. wewe ni MUONGO ni tabia ya kukera na kujidharirisha
 
Na nia yangu nataka aseme ukweli na asilete unafiki. Hata Mimi namtizama pia. Na kama Ruge anasema ukweli sasa imekuwaje Watangazaji Sam Sasali, Hassan Ngoma na Babie Kabae wanamtetea wazi wazi Makonda tena bila aibu?
Watu kama nyinyi ndio watungaji na wasambaza fake news kwenye mitandao.
 
Hamkumuelewa rafiki yangu uyu nia yake ilikua ni kumtisha ruge ili leo anyooshe maelezo na ndivyo ilivyokua
 
Hongera kwa Clouds kama nao hawatasikiliza ya mtandaoni. Clouds ni tishio kwa kazi nzuri wanayofanya ilivyo juu kupita kampuni zingine.

Na kupendwa kwa kipindi hicho na Rais pia ukaribu wa Rac nae kupenda kutumia.

Ndio imeleta haya ya kukuzwa. Inaonekana clouds kuna wafanyakazi wamechoka kazi, wachakachuliwe kwa kula hongo kuchafua kampuni hiyo.

Clip ya video inaonyesha utulivu, namba moja aliye kaa reception amekaa ametulia na Mh. Makonda kaingia kama walivyomzoea. Na ni kiongozi ulini muhimu sanaaaa kwake.

Nyie mnaokuza mambo ndio mjitafakari.

Ooh na vyeti feki navyo mlitengeneza bila kutumia akili,halafu eti nyie wasomi ha ha haaaaa

Makonda oyeeeeeee


Update: naona uzi umepewa u breaking news

Kwa lipi? Ili mtibue ya 360 au hamjui ya Malaika yamekuwepo tangu?

Update:

Ooh now tetesi...bora iwe hivyo as ni uongo mtupu huyu tunamjua zake ha ha haaaa

We mwanamke kweli kiboko dah..!
 
...waambie,WASITUZOEE KABISA!!
...hatutaki MAZOEA,kuzoeana!!
.shubaamit!
 
Nimefurahi LENGO LANGU KUU LIMETIMIA. Akhsante sana Ruge Mutahaba kwani umenirahishia Kazi yangu ya upigaji Kampeni Makonda AFUKUZWE KAZI rasmi.
Naona Sasa wamekuwa kidogo pia wapunguze vipindi vya kijinga jinga..
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom