Ukitaka kuupa wimbo ummaarufu enzi hizi wewe upige ban.Aisee!! Nasikia nyimbo imepigwa Ban
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ukitaka kuupa wimbo ummaarufu enzi hizi wewe upige ban.Aisee!! Nasikia nyimbo imepigwa Ban
Vyovyote utakavyosema ila hakika haujui undani wa maisha yangu!.. na nakuapia wengi wenu humu mnaendeshwa kisiasa na hii ni kufaulu kwao usipo nielewa leo utanielewa kesho.Uwoga wako = Umasikini wako
[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]Tunaoteseka ni sisi MATAGA aka team sifiasifia ambao pia ni mashabiki wa Roma.
Harmonize sawa ila Roma nongwa,tuna safari ndefu kufikia uchumi wa viwanda kama hata hawa tunashindwa kubalance.Inadaiwa Msanii Roma Mkatoliki na mke wake wanapokea meseji za vitisho baada ya Roma kuchia wimbo wake unaokwenda kwa jina la 'Anaitwa Roma'
View attachment 1265574
Kwako niupuuzi kwa wengine sio upuuzi kila mtu anahaki yakufungua uzi na ww fungua wako nakama unakukela au kukuuzi sio lazima ucomment we pita zako tu mbona sio tatizo.Kila mmoja wenu anatoa upuuzi huu, hii ni Theadi ya ngapi vile
Hapo kwenye KENZY toa K kisha weka MSH,Huyu Roma Kuna kitu anakitafuta na heri aache kwa usalama wa familia yake ataiangamiza familia! Moja Kati ya kitu mtesi wako akikushindwa anaamia kwa unaowapenda!! halafu kuna watu wanamsifia huku mitandaoni ila wenyewe wanakula maisha fresh tu hawatekwi wala nini hehehe! okay kila mtu afanye analoliweza.