Baada ya kutoa Anaitwa Roma, Roma na mkewe wanapata ujumbe wa vitisho mfululizo

Uwoga wako = Umasikini wako
Vyovyote utakavyosema ila hakika haujui undani wa maisha yangu!.. na nakuapia wengi wenu humu mnaendeshwa kisiasa na hii ni kufaulu kwao usipo nielewa leo utanielewa kesho.
 
Kama Idris alitoa tuu kichwa akawekwa rumande kwa shinikizo la yule kilaza wa kimataifa yaani Bashite squared yaani FFFFFF huu wimbo si sasa hivi tako linacheza kwa kumsaka?
 
Kila mmoja wenu anatoa upuuzi huu, hii ni Theadi ya ngapi vile
Kwako niupuuzi kwa wengine sio upuuzi kila mtu anahaki yakufungua uzi na ww fungua wako nakama unakukela au kukuuzi sio lazima ucomment we pita zako tu mbona sio tatizo.
 
Hapo kwenye KENZY toa K kisha weka MSH,
 
Yaaani tuache kujenga Reli ya kisasa na kununua madege ya mabilioni. Eti serikali iangaike na mtu mmoja anayetafuta kiki. Kama wimbo haufai Basata iufungie kama unafaa kwa nini mtu aogope kivuli chake. Tulimlazimisha kutunga?.

Unajua wakati mwingine watanzania tunachekesha na kuji wasiwasi wenyewe.
 
Sijawahi ona msanii mpumbavu kama huyu..

Anatafuta huruma kwa kuinanga serikali kujitafutia umaarufu..

Mchuma janga hula na wakwao..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…