Baada ya kutoka jela, Binti Kiziwi aolewa...

Baada ya kutoka jela, Binti Kiziwi aolewa...

Binamu unataka Ndoa au ndowano?


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Binamu unataka Ndoa au ndowano?


Sent from my iPhone using JamiiForums

Ukiwa singe ndo ndoano, mimi nataka ndoa ... mashoga zangu wote wameolewa wanapika futari, mie nipo nimezubaa kama Mamajusi wa mashariki


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Ama kweli Mji Mgumu huu hivi sasa!!

Kumbe Mpwa warumi finally ume-reveal jinsia yako baada ya miaka kadhaa enzi za JK kutoiweka wazi?!

Na upwa wenyewe siutaki tena, na kuanzia sasa mimi na wewe ni mabinamu! Umesikia?
Kuna siku alipost picha humu ya kivulana flani kisharobaro akasema ndiye yeye akasema wengi walihisi yeye mwanamke ile ni mwanaume. Sasa niliposoma hii ppost nikawa sielewi au naye ni delicious au aliongopa kwa ile picha. Ila sishangai dunia ina mambo hadi jogoo anaweza taga
 
Ukiwa singe ndo ndoano, mimi nataka ndoa ... mashoga zangu wote wameolewa wanapika futari, mie nipo nimezubaa kama Mamajusi wa mashariki


Sent from my iPhone using JamiiForums
utakuwa na pua kama mabanda ya uwani😄😄😄
 
Ama kweli Mji Mgumu huu hivi sasa!!

Kumbe Mpwa warumi finally ume-reveal jinsia yako baada ya miaka kadhaa enzi za JK kutoiweka wazi?!

Na upwa wenyewe siutaki tena, na kuanzia sasa mimi na wewe ni mabinamu! Umesikia?
Uskute huyu Warumi ndio Pdidy

Argggggg
 
Mmh! Ila kuna watu wana bahati zao mjini, shostito kasota jela miaka 8 katoka Hata Mwaka hana watu washachukua jiko, khaa. Wenzangu na mie akina chakubimbi tutaishia kuroga na kuiba waume za watu kuolewa hatuolewi, mxieew

Na mie toka nianze ushirikina mwaka juzi natafuta ndoa sipati, naishia kua mpango wa kando. Huyu mganga wangu jaman looh , inabidi nimtafute mganga wa cheupe dawa sikubali na mimi .

Roho inaniuma hapa nimevunja sana nazi njia panda usiku wa manane, nimepigwa chale mpka makalion warumi mie , hata ndoa ya mkeka sina mxiew..

View attachment 1430602


Sent from my iPhone using JamiiForums
Huyo hata MIMI naoa MKUU.. MWANAMKE hajaguswa miaka nane HILO GENYE LAKE SIO LA KITOTO...ukimgusa huyo anaruka kama NYOKA KAMWAGIWA MAFUTA YA TAA...raha tupu hizo...JAMAA KAPAGAWA

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Chale Hadi makalion[emoji23][emoji23][emoji23]
Warumi [emoji114][emoji114][emoji114][emoji114][emoji114]

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Back
Top Bottom