Baada ya kutoka jela, Binti Kiziwi aolewa...

Baada ya kutoka jela, Binti Kiziwi aolewa...

Roho inaniuma hapa nimevunja sana nazi njia panda usiku wa manane, nimepigwa chale mpka makalion warumi mie , hata ndoa ya mkeka sina mxiew..
Sent from my iPhone using JamiiForums
😂😂😂😂
 
Mmh! Ila kuna watu wana bahati zao mjini, shostito kasota jela miaka 8 katoka Hata Mwaka hana watu washachukua jiko, khaa. Wenzangu na mie akina chakubimbi tutaishia kuroga na kuiba waume za watu kuolewa hatuolewi, mxieew

Na mie toka nianze ushirikina mwaka juzi natafuta ndoa sipati, naishia kua mpango wa kando. Huyu mganga wangu jaman looh , inabidi nimtafute mganga wa cheupe dawa sikubali na mimi .

Roho inaniuma hapa nimevunja sana nazi njia panda usiku wa manane, nimepigwa chale mpka makalion warumi mie , hata ndoa ya mkeka sina mxiew..

View attachment 1430602


Sent from my iPhone using JamiiForums
Njoo kwa Yesu mganga wa kweli atakutatulia shida zako huko kwengine utatapeliwa mpaka shilingi ya mwisho mama
 
Ibilisi anavuruga sana maisha ya hawa mabinti, kama huyu bora alivyokwenda jela, sababu zile kampani zake za kuzunguka ma mashoga hakuna mwanamme angethubutu kufikiria kumuoa,

yaani unamtongaza, alafu kesho yake linakugia dume linasema uachane na harakati zako na huyo binti uwe nalo lenyewe. shenzi kabisa.
 
Huyu binti hata mimi mwenyewe mimi tukikutana simwachi. Yaani hii ni honestly talking
 
Back
Top Bottom