Baada ya kutoka jela, Binti Kiziwi aolewa...

Binamu unataka Ndoa au ndowano?


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Binamu unataka Ndoa au ndowano?


Sent from my iPhone using JamiiForums

Ukiwa singe ndo ndoano, mimi nataka ndoa ... mashoga zangu wote wameolewa wanapika futari, mie nipo nimezubaa kama Mamajusi wa mashariki


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Chale Hadi makalionπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Warumi πŸ‘πŸ‘πŸ‘πŸ‘πŸ‘
 
Ama kweli Mji Mgumu huu hivi sasa!!

Kumbe Mpwa warumi finally ume-reveal jinsia yako baada ya miaka kadhaa enzi za JK kutoiweka wazi?!

Na upwa wenyewe siutaki tena, na kuanzia sasa mimi na wewe ni mabinamu! Umesikia?
Kuna siku alipost picha humu ya kivulana flani kisharobaro akasema ndiye yeye akasema wengi walihisi yeye mwanamke ile ni mwanaume. Sasa niliposoma hii ppost nikawa sielewi au naye ni delicious au aliongopa kwa ile picha. Ila sishangai dunia ina mambo hadi jogoo anaweza taga
 
Ukiwa singe ndo ndoano, mimi nataka ndoa ... mashoga zangu wote wameolewa wanapika futari, mie nipo nimezubaa kama Mamajusi wa mashariki


Sent from my iPhone using JamiiForums
utakuwa na pua kama mabanda ya uwaniπŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„
 
Ama kweli Mji Mgumu huu hivi sasa!!

Kumbe Mpwa warumi finally ume-reveal jinsia yako baada ya miaka kadhaa enzi za JK kutoiweka wazi?!

Na upwa wenyewe siutaki tena, na kuanzia sasa mimi na wewe ni mabinamu! Umesikia?
Uskute huyu Warumi ndio Pdidy

Argggggg
 
Huyo hata MIMI naoa MKUU.. MWANAMKE hajaguswa miaka nane HILO GENYE LAKE SIO LA KITOTO...ukimgusa huyo anaruka kama NYOKA KAMWAGIWA MAFUTA YA TAA...raha tupu hizo...JAMAA KAPAGAWA

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Chale Hadi makalion[emoji23][emoji23][emoji23]
Warumi [emoji114][emoji114][emoji114][emoji114][emoji114]

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…