Ama kweli Mji Mgumu huu hivi sasa!!
Kumbe Mpwa warumi finally ume-reveal jinsia yako baada ya miaka kadhaa enzi za JK kutoiweka wazi?!
Na upwa wenyewe siutaki tena, na kuanzia sasa mimi na wewe ni mabinamu! Umesikia?
Manka unanisema mm au?Warumi nina binamu yangu hana mke ila nikikojozi japo si kila siku, je mnaweza vumiliana tu?
Sent using Jamii Forums mobile app
Haaa haaaa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Manka unanisema mm au?
Manka[emoji7][emoji7]
Mimi nimemletea {warumi } mchumba wewe unampeperusha [emoji23][emoji23][emoji23] au unapeperuka haaa haaaManka[emoji7][emoji7]
Sitak,me nakutaka ww manka wngMimi nimemletea {warumi } mchumba wewe unampeperusha [emoji23][emoji23][emoji23] au unapeperuka haaa haaa
Sent using Jamii Forums mobile app
ππππRoho inaniuma hapa nimevunja sana nazi njia panda usiku wa manane, nimepigwa chale mpka makalion warumi mie , hata ndoa ya mkeka sina mxiew..
Sent from my iPhone using JamiiForums
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] yamekuwa hayo tena usimkatili warumiSitak,me nakutaka ww manka wng
Mchawi huyo achana nae,anachale mpk kwenye 0713[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] yamekuwa hayo tena usimkatili warumi
Sent using Jamii Forums mobile app
Mimi nimemletea {warumi } mchumba wewe unampeperusha [emoji23][emoji23][emoji23] au unapeperuka haaa haaa
Sent using Jamii Forums mobile app
Njoo kwa Yesu mganga wa kweli atakutatulia shida zako huko kwengine utatapeliwa mpaka shilingi ya mwisho mamaMmh! Ila kuna watu wana bahati zao mjini, shostito kasota jela miaka 8 katoka Hata Mwaka hana watu washachukua jiko, khaa. Wenzangu na mie akina chakubimbi tutaishia kuroga na kuiba waume za watu kuolewa hatuolewi, mxieew
Na mie toka nianze ushirikina mwaka juzi natafuta ndoa sipati, naishia kua mpango wa kando. Huyu mganga wangu jaman looh , inabidi nimtafute mganga wa cheupe dawa sikubali na mimi .
Roho inaniuma hapa nimevunja sana nazi njia panda usiku wa manane, nimepigwa chale mpka makalion warumi mie , hata ndoa ya mkeka sina mxiew..
View attachment 1430602
Sent from my iPhone using JamiiForums