Baada ya kutoka jela, Binti Kiziwi aolewa...

Roho inaniuma hapa nimevunja sana nazi njia panda usiku wa manane, nimepigwa chale mpka makalion warumi mie , hata ndoa ya mkeka sina mxiew..
Sent from my iPhone using JamiiForums
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Njoo kwa Yesu mganga wa kweli atakutatulia shida zako huko kwengine utatapeliwa mpaka shilingi ya mwisho mama
 
Ibilisi anavuruga sana maisha ya hawa mabinti, kama huyu bora alivyokwenda jela, sababu zile kampani zake za kuzunguka ma mashoga hakuna mwanamme angethubutu kufikiria kumuoa,

yaani unamtongaza, alafu kesho yake linakugia dume linasema uachane na harakati zako na huyo binti uwe nalo lenyewe. shenzi kabisa.
 
Huyu binti hata mimi mwenyewe mimi tukikutana simwachi. Yaani hii ni honestly talking
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…