Baada ya kutoka jela Mwamba Freeman Mbowe kuongea na vyombo vya habari vya ndani na nje ya nchi Jumamosi hii

Baada ya kutoka jela Mwamba Freeman Mbowe kuongea na vyombo vya habari vya ndani na nje ya nchi Jumamosi hii

Erythrocyte

JF-Expert Member
Joined
Nov 6, 2012
Posts
128,308
Reaction score
245,426
Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe akipokewa  makao makuu ya chama hicho jijin ( 640 X 640 ).jpg

Hatulegei.. ( 425 X 640 ).jpg


Ataongea kuanzia saa 8 mchana Makao Makuu ya Chadema , Kinondoni Mtaa wa Ufipa .

Wote Mnakaribishwa
 

Attachments

  • Freeman Mbowe alivyopokelewa baada ya kutoka gerezani Segerea - MwananchiUpdates ( 480 X 480 ).mp4
    5 MB
Kwamba,bado uko imara, tunamshukuru Mungu kwa hadhina hii ya viongozi wa upinzani ambao pamoja navitisho Vya kimahakama, dola na hats vifo bado wapi imara kututetea na kuitetea demokrasia yetu. We Mungu wabariki viongozi wetu
Wangejichanganya kwa Mwambe saa hii chama mingekua kinaelea mto rufiji

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kila anaetoka Segerea anatangaza kufa press conference! Wameanza wakina mdee hatujui ata waliongea nn mwisho wa siku
 
Back
Top Bottom