Baada ya kutoswa kama Msemaji wa Yanga FC hatimaye Jerry Muro kauwasha moto na kuikashifu mno Yanga

Baada ya kutoswa kama Msemaji wa Yanga FC hatimaye Jerry Muro kauwasha moto na kuikashifu mno Yanga

Na Wewe ulipokuwa Shule ulilielewa vizuri sana somo la Mwandiko? Hivi Mwalimu wako aliyekufundisha Mwandiko alikuambia kuwa neno ' ulipokuwa ' likiandikwa linaandikwa kama ulivyoandika Wewe ' ulipo kuwa ' kwa kuachanisha maneno? Usiwe mwepesi Kushabikia Choo cha jirani yako kimejaa wakati chako kipo hadi pomoni na Mifunza juu inatambaa huku wengine ukiwatumia kama Kitoweo katika Chakula chako unachokula.
Nakiri kosa la mwandiko! Ungekuwa muungwana, na wewe ungekubali udhaifu wa kushindwa "summarization", kisha uanze kujirekebisha!
 
Nimemsikiliza Kaongea points tupu, sio hayo ulioandika, ww ni kati ya wale wasiolitakia mema soka letu.
Kusikia neno zuri na kuligeuza ili liwe baya na lenye kuudhi na kusababisha, teuzi ,au sajili au chaguzi au wasimamizi wa timu wa hivyo kabisa yaani ww ni wa kuogopwa kama ukoma
 
Tangu lini Genta akawa yanga? Kumbe Yanga nao mbumbumbu! Ukitaka kujua mbinu za adui yako kuwa rafiki yake. Ndicho anachofanya Genta.
 
Nimemsikiliza Kaongea points tupu, sio hayo ulioandika, ww ni kati ya wale wasiolitakia mema soka letu.
Kusikia neno zuri na kuligeuza ili liwe baya na lenye kuudhi na kusababisha, teuzi ,au sajili au chaguzi au wasimamizi wa timu wa hivyo kabisa yaani ww ni wa kuogopwa kama ukoma
Huyo jamaa GENTA mnyama sana aka rufaa FC.
 
Back
Top Bottom