Nakiri kosa la mwandiko! Ungekuwa muungwana, na wewe ungekubali udhaifu wa kushindwa "summarization", kisha uanze kujirekebisha!Na Wewe ulipokuwa Shule ulilielewa vizuri sana somo la Mwandiko? Hivi Mwalimu wako aliyekufundisha Mwandiko alikuambia kuwa neno ' ulipokuwa ' likiandikwa linaandikwa kama ulivyoandika Wewe ' ulipo kuwa ' kwa kuachanisha maneno? Usiwe mwepesi Kushabikia Choo cha jirani yako kimejaa wakati chako kipo hadi pomoni na Mifunza juu inatambaa huku wengine ukiwatumia kama Kitoweo katika Chakula chako unachokula.
Mkuu huyu jamaa anatumia sanaa ya lugha kufikisha ujumbe,nimeamini GENTA ni mdau sekta ya habariHivi Simba SC tutawahi tena kuja kuwa na Kikosi imara na cha kukumbukwa kama hiki?
MAISHA YANAENDA KASI KWELI..JUZI ULIKUWA UNAISIFIA SANA SIMBA....Leo ghafla kwa unafiki uliotukuka unasema wewe ni Shabiki nguli wa Yanga..Interesting
aisee kumbeMkuu huyu jamaa anatumia sanaa ya lugha kufikisha ujumbe,nimeamini GENTA ni mdau sekta ya habari
Huyu jamaa ni mnafiki sana, zaidi ya Mchawi.Hivi Simba SC tutawahi tena kuja kuwa na Kikosi imara na cha kukumbukwa kama hiki?
MAISHA YANAENDA KASI KWELI..JUZI ULIKUWA UNAISIFIA SANA SIMBA....Leo ghafla kwa unafiki uliotukuka unasema wewe ni Shabiki nguli wa Yanga..Interesting
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] nimeshindwa kumuelewaHuyu jamaa ni mnafiki sana, zaidi ya Mchawi.
Huyo jamaa GENTA mnyama sana aka rufaa FC.Nimemsikiliza Kaongea points tupu, sio hayo ulioandika, ww ni kati ya wale wasiolitakia mema soka letu.
Kusikia neno zuri na kuligeuza ili liwe baya na lenye kuudhi na kusababisha, teuzi ,au sajili au chaguzi au wasimamizi wa timu wa hivyo kabisa yaani ww ni wa kuogopwa kama ukoma