Baada ya Kutuaminisha kuwa Hukumu ya Bernard Morrison ni leo, hatimaye mambo yawa Magumu kwa Yanga SC mpaka 14 Agosti, 2021

Baada ya Kutuaminisha kuwa Hukumu ya Bernard Morrison ni leo, hatimaye mambo yawa Magumu kwa Yanga SC mpaka 14 Agosti, 2021

Usipanic Bro tulia basi, Unapaparika nini sasa
Hivi akili zenu mmepeleka wapi Utopolo? Wanaume wazima mnatokwa mishipa ya shingo kusubiri ushindi wa Mezani? Mnadhani Simba ni wajinga wamchezeshe Benard hadi Fainal ya FA? Nendeni mkapambane uwanjani mpate ushindi wa kuvuja jasho na siyo kutuletea blah blah za ndoto zenu za mchana.Subirni CAS watoe hukumu safari hii mtakimbilia kushtaki UN kabisa,maana hata FIFA mtawaona ni Simba
 
Back
Top Bottom