Hivi akili zenu mmepeleka wapi Utopolo? Wanaume wazima mnatokwa mishipa ya shingo kusubiri ushindi wa Mezani? Mnadhani Simba ni wajinga wamchezeshe Benard hadi Fainal ya FA? Nendeni mkapambane uwanjani mpate ushindi wa kuvuja jasho na siyo kutuletea blah blah za ndoto zenu za mchana.Subirni CAS watoe hukumu safari hii mtakimbilia kushtaki UN kabisa,maana hata FIFA mtawaona ni Simba