joto la jiwe
JF-Expert Member
- Sep 4, 2017
- 26,117
- 46,617
Mbona wakulima wenu kila siku wanalia na kulalamika kwamba serikali yenu haiwajali inawapa bei ndogo ya mazao yao?. Magufuli effect ndiyo inayofanya makampuni ya Kenya kutoa bei nzuri huku Tanzania, lakini huko Kenya yanawaumiza wakulima kwasababu Kenya ni " man eat man society".Tulieni, wakulima wenu watafaidi sana wakifanya ukulima biashara, unaoeleweka. Acheni kupenda kiki, visasi, ubabe wa peni mbili na siasa kwenye masuala simpo ya nipe nikupe.
Sent using Jamii Forums mobile app