Mwamuzi wa Tanzania
JF-Expert Member
- Apr 7, 2020
- 15,486
- 45,256
- Thread starter
- #41
Wanayatoa deep waterMashehe uyatoa wapi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wanayatoa deep waterMashehe uyatoa wapi
Akipate nini na anaongea ukweli, tusiwe wadini kiasi hatuoni makosa, kisa tu aliyekosea ni dini yetu.. Mimi muislam na ninakiri hao waduwanzi wapo, sio hao, ndani ya dini yetu kuna waduwanzi wengi tu, kuna wale wanapigana jihad haram wapo, kuna hao wanatumia elimu vibaya n.kUnachotafuta utakipata
"Wilaya niliyotoka kila kijana aliye soma Quran akirudi nyumbani hugeuka mganga.
Acheni uhuni."
Ukijua ni mafuta gani au ni mchanganyiko wa mafuta yapi na yapi ndio utajua utayapata wapi.Mashehe uyatoa wapi
Yanatoka kuzimu nasikia.Ukijua ni mafuta gani au ni mchanganyiko wa mafuta yapi na yapi ndio utajua utayapata wapi.
Ni mafuta ya nini kwanza unapaswa ujue kabla ya kutaka kujua yanatoka wapi?Yanatoka kuzimu nasikia.
Ni Mafuta ya watoto wachanga yaliyonuiziwa mapepoNi mafuta ya nini kwanza unapaswa ujue kabla ya kutaka kujua yanatoka wapi?
Wewe huwa unapenda kuongea vitu usivyovielewa, hivi mafuta ya mtoto mchanga unayajua bei yake na kazi zake?Ni Mafuta ya watoto wachanga yaliyonuiziwa mapepo
Ndo hizo za giza wanauziwa tone tu kisha wanamix na mafuta ya kula,Wewe huwa unapenda kuongea vitu usivyovielewa, hivi mafuta ya mtoto mchanga unayajua bei yake na kazi zake?
Dah! We jamaa unajiongeleaga tu mwenyewe.Ndo hizo za giza wanauziwa tone tu kisha wanamix na mafuta ya kula,
Haya tupe uyajuayoDah! We jamaa unajiongeleaga tu mwenyewe.
Mafuta ya upako ni ushirikina, Yesu ni kamili anajitosheleza mwenyewe wala haitaji kukamilishwa na mafuta wala maji ya upako.
Kila siku kwenye vituo vya afya vya serikali unaambiwa kipimo kimeharibika na wanakuelekeza kwa kwenda kupata kipimo Bora hukooo mtaani. Ajabu Sana, serikali Haina vipimo lakini watu binafsi Wana vipimo vyote. Bima za afya watu wanakata madawa kwenye maduka ya binafsi, utafika wakati madaktari na manesi watafanya kazi serikalini, lakini mishahara watalipwa na watu binafsi. Hovyo Sana. Nisameheni bure jamani.Siku hiz wanasema mgonjwa ana damu chafu, Kuna kadudu kamoja kako Nkuhungu wenyewe wanakasifia kweli kila anayekwenda pale jibu ni damu chafu yaani, sielewi kwa Nini hawaendi kwenye hospitali na zahanati za serikali wao hawanashida ya kumdanganya mgonjwa maana mwisho wa mwezi wana mshahara kutoka serikali, sio hospitali binafsi ni lazima wadanganye ili walipe/walipwe mshahara kupitia mgonjwa.