Baada ya kuwaona Al Ahly FC dhidi ya Mamelodi Sundowns FC leo je, GENTAMYCINE niliposema kuwa Yanga SC itawafunga Dar na Cairo nilikosea?

Baada ya kuwaona Al Ahly FC dhidi ya Mamelodi Sundowns FC leo je, GENTAMYCINE niliposema kuwa Yanga SC itawafunga Dar na Cairo nilikosea?

Na kwa Kujiamini kabisa na leo tena narudia kusema ( najua wana Simba SC Wenzangu mtaumia ) kuwa kwa Al Ahly FC hii hii niliyoiona ikicheza hovyo dhidi ya Simba SC hapa Dar na Cairo na ilivyocheza leo na Mamelodi Sundown FC huku Kiwango chao Kikipungua itaenda Kufungwa na Yanga SC ambayo kwa sasa iko katika Fomu na inacheza Mpira wa Kiushindi, Uhakika na wa Malengo bila kusahau wa Kimkakati pia.

Huyu Kocha Mkuu wa Al Ahly FC akimaliza Wiki ijayo kama hajafukuzwa basi nitaogelea ( nitapiga Mbizi ) kutoka Magogoni Feri hadi Kigamboni.
Kiufupi labda nikwambie tu yanga watashinda na wanashinda mechi zao kwa mipango mathubuti ya kiufundi, kikosi Bora, benchi Bora la ufundi, na uongozi Bora chini ya Eng.Hersi, yanga aishindi mechi kwa utabiri wa mtu au ndoto za mtu, au mawazo ya mtu, yanga inaamini kwenye maandalizi Bora ndio uleta matokeo Bora awawezi kuingia mkenge wa kusema watamfunga Aly ahly nje ndani kwakuwa gentamycin kaliona Hilo ndotoni akiwa amelala na mke wake! Hapana soka aliko ivyo wanajipanga na watajipanga vizuri kuakikisha wanatimiza malengo yao ndani ya uwanja! Aly ahly ni wakubwa na watachezewa mpira wa kikubwa ili waje wawasimulie na wajukuu wao kwamba Kuna timu Tanzania ni habari nyingine kwenye soka la kiufundi kwa sasa!
 
Na kwa Kujiamini kabisa na leo tena narudia kusema (najua wana Simba SC Wenzangu mtaumia) kuwa kwa Al Ahly FC hii hii niliyoiona ikicheza hovyo dhidi ya Simba SC hapa Dar na Cairo na ilivyocheza leo na Mamelodi Sundown FC huku Kiwango chao Kikipungua itaenda Kufungwa na Yanga SC ambayo kwa sasa iko katika Fomu na inacheza Mpira wa Kiushindi, Uhakika na wa Malengo bila kusahau wa Kimkakati pia.

Huyu Kocha Mkuu wa Al Ahly FC akimaliza Wiki ijayo kama hajafukuzwa basi nitaogelea (nitapiga Mbizi) kutoka Magogoni Feri hadi Kigamboni.
Ulikuwa sahihi Mkuu, hawa jamaa wanatia Shaka kiwango Chao Kwa Sasa.
 
Na kwa Kujiamini kabisa na leo tena narudia kusema (najua wana Simba SC Wenzangu mtaumia) kuwa kwa Al Ahly FC hii hii niliyoiona ikicheza hovyo dhidi ya Simba SC hapa Dar na Cairo na ilivyocheza leo na Mamelodi Sundown FC huku Kiwango chao Kikipungua itaenda Kufungwa na Yanga SC ambayo kwa sasa iko katika Fomu na inacheza Mpira wa Kiushindi, Uhakika na wa Malengo bila kusahau wa Kimkakati pia.

Huyu Kocha Mkuu wa Al Ahly FC akimaliza Wiki ijayo kama hajafukuzwa basi nitaogelea (nitapiga Mbizi) kutoka Magogoni Feri hadi Kigamboni.
Mpira una dunda, nani kacheza na nani na kapata matokeo yepi,basi useme huyo akicheza na yule atayaoga,mpira hauko hivyo
 
Na kwa Kujiamini kabisa na leo tena narudia kusema (najua wana Simba SC Wenzangu mtaumia) kuwa kwa Al Ahly FC hii hii niliyoiona ikicheza hovyo dhidi ya Simba SC hapa Dar na Cairo na ilivyocheza leo na Mamelodi Sundown FC huku Kiwango chao Kikipungua itaenda Kufungwa na Yanga SC ambayo kwa sasa iko katika Fomu na inacheza Mpira wa Kiushindi, Uhakika na wa Malengo bila kusahau wa Kimkakati pia.

Huyu Kocha Mkuu wa Al Ahly FC akimaliza Wiki ijayo kama hajafukuzwa basi nitaogelea (nitapiga Mbizi) kutoka Magogoni Feri hadi Kigamboni.
😂😂😂🤣🤣🤣🤣

Nanukuu
"Huyu Kocha Mkuu wa Al Ahly FC akimaliza Wiki ijayo kama hajafukuzwa basi nitaogelea (nitapiga Mbizi) kutoka Magogoni Feri hadi Kigamboni"

Mimi nta hudhuria kama INTERNAL & EXTERNAL OBSERVER WA JF

Yanga wapo vizuri kuliko kipindi chochote tangia iundwe....

Simba Guvu Moja 🦁🦁
 
Na kwa Kujiamini kabisa na leo tena narudia kusema (najua wana Simba SC Wenzangu mtaumia) kuwa kwa Al Ahly FC hii hii niliyoiona ikicheza hovyo dhidi ya Simba SC hapa Dar na Cairo na ilivyocheza leo na Mamelodi Sundown FC huku Kiwango chao Kikipungua itaenda Kufungwa na Yanga SC ambayo kwa sasa iko katika Fomu na inacheza Mpira wa Kiushindi, Uhakika na wa Malengo bila kusahau wa Kimkakati pia.

Huyu Kocha Mkuu wa Al Ahly FC akimaliza Wiki ijayo kama hajafukuzwa basi nitaogelea (nitapiga Mbizi) kutoka Magogoni Feri hadi Kigamboni.
Kabisa mkuu

Yanga 4-1Al Ahly

Al Ahly 0-1 Yanga

Watapigwa nje ndani.

Chezea Yanga. Timu bora Africa.
 
Ahly huyuhuyu akubali kupoteza point 6 dhidi ya Yanga hii.? Hiyo ni sawa na kusema Ahly hatafuzu kuingia robo fainali, maana target ya kila team huwa ni kuhakikisha inashinda michezo yake ya nyumbani kwanza.


Sasa kama unadhani Yanga Sc inaweza kuleta kauzibe kwa Ahly, wewe ni mjinga wa mwisho kabisa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom