Baada ya kuzamia shimoni tangu atenguliwe, Nape Nnauye atinga Bungeni

Baada ya kuzamia shimoni tangu atenguliwe, Nape Nnauye atinga Bungeni

Mindyou

JF-Expert Member
Joined
Sep 2, 2024
Posts
1,869
Reaction score
4,877
Wakuu,

Kama mnakumbuka Julai 21, 2024, Nape alivuliwa rasmi cheo cha Waziri wa Habari na tangu hapo ni kama alienda kujificha kwenye handaki.

Alijiondoka X(Twitter) na hakufanya interview hata moja kutoka wakati ule. Kwa mtu kama Nape ambaye ilikuwa kawaida kuropoka na kujibizana na raia mtandaoni, haikuwa kawaida. Ni kama vile alienda kujificha kwa aibu badala ya kupopolewa:pepeLaughing::pepeLaughing:.

Itakuwa alikuwa anaogopa kuulizwa kama CCM ndio wale aliwasema wapo nyuma ya mabox ya kura.

Leo kwa mara ya kwanza baada ya miezi kukata amejitokeza bungeni kuchangia, alimuuliza Majaliwa kuhusu uanzishwaji wa maeneo mapya ya utawala kutokana na ongezekeo la watu kwenye mitaa, vitongoji na vijiji.

Roporopo amerudi au ataendelea kuwa shimoni mpaka 2025?

View attachment 3139740
 
Kwamba alikuwa haingii Bungeni ? Hivi kuingia Bungeni ni Uamuzi au ni Wajibu, yaani ni Lazima uingie utake usitake so long as ni Kodi zetu ndio zinakulisha na haukulazimishwa kugombea....
 
Wakuu,

Kama mnakumbuka Julai 21, 2024, Nape alivuliwa rasmi cheo cha Waziri wa Habari na tangu hapo ni kama alienda kujificha kwenye handaki.

Alijiondoka X(Twitter) na hakufanya interview hata moja kutoka wakati ule. Kwa mtu kama Nape ambaye ilikuwa kawaida kuropoka na kujibizana na raia mtandaoni, haikuwa kawaida. Ni kama vile alienda kujificha kwa aibu badala ya kupopolewa:pepeLaughing::pepeLaughing:.

Itakuwa alikuwa anaogopa kuulizwa kama CCM ndio wale aliwasema wapo nyuma ya mabox ya kura.

Leo kwa mara ya kwanza baada ya miezi kukata amejitokeza bungeni kuchangia, alimuuliza Majaliwa kuhusu uanzishwaji wa maeneo mapya ya utawala kutokana na ongezekeo la watu kwenye mitaa, vitongoji na vijiji.

Roporopo amerudi au ataendelea kuwa shimoni mpaka 2025?

View attachment 3139740
Anaomba kuongezwa maeneo ya utawala!Mbona Chato walikataa kuwa mkoa wakati inastahili hivyo?huyo ni ndumila kuwili na maccm yake.
 
Back
Top Bottom