Baada ya kuzinduliwa na Mark Rutte Dutch PM yatua KIA for the first time.

Baada ya kuzinduliwa na Mark Rutte Dutch PM yatua KIA for the first time.

Jifunzeni kutochanganya mambo ya maendeleo na siasa za nchi, hii video mlikosea kuchomekea humo mambo ya siasa, mara mnamponda Membe, mara ununuzi wa urais Dodoma, yaani hata kitu kizuri kinaishia kupondwa. Mjifunze tunavyotoa taarifa za mazuri ya Kenya, humo hatuchanganyi siasa, tunaiweka kizalendo ambapo inaishia kusifiwa na Wakenya wote wenye mitazamo tofauti ya kisiasa.

Makada wa CCM kwenye mitandao mnaharibu nchi yenu mkiona kwa macho, mnafaa mpate darasa jinsi gani ya kuunganisha nchi, hebu ona hata mpira juzi kule Misri, nilishangaa sana nchi yote mligawanyika kati, yaani mechi baina ya mataifa hufahamika kama njia ya kuwaleta wananchi wote pamoja na kuwa kimoja, lakini MaCCm mliiteka timu na kusababisha baadhi ya Watanzania kushabikia kushindwa kwa timu ya taifa, hivi kweli mumepofushwa kiasi hamuoni mnakoipeleka nchi, hamna kizuri ambacho hamkitii uchafu.
Hili la ndege mngeitangaza yenyewe kama yenyewe na kusifia nchi yenu kuwa ya kwanza kuipokea, lakini video imejaa tambo za kisiasa.
Jubilee ndio mnaharibu nchi yenu, ccm inawafundisha jubilee.
 
wacha ujinga wamesema fourth route to KLM and not worldwide!

Mjinga ni yule alieleta hiyo "maada". It is clearly written in the post "duniani". Na attempt yako ya kumuokoa mlumumba mwenzio ndio imekoroga zaidi. Huwezi kuongeza idadi ya flights halafu ukadai kuwa umeongeza route.
Well; labda uniambie kuwa sasa KLM wanaanza safari za Chato direct kutoka Schiphol hiyo itakuwa route mpya (Ila sio kuongeza flights zao za Dar kupitia KIA na kisha kuelekea Amsterdam).
 
sema ilo li mkuu wa wilaya limechapia eti BOMBADIER 787-10 wakati ni B787-10 ambayo za chini chini ATCL pia wame order that kind of plane tunaisubiria YETU ....
 
hili dege naona hapa route zake sio za kipuuzi puuzi yaani dubenga to amster, amster to kia, kia to dsm, dsm to amster .....
1145238
 
😁😁😁😁 top 10 revenue-earning flights in the global ranking zina uhusiano gani na KLM as the company top scored global markets? Bro English ni tatizo kwako naona, then isolate yourself from this debate for dignity sake cause there is nosingle reference to strengthen your fact which is in Swahili, sasa hata nikikuletea proof of my point ni vipi tunaenda kuelewana?

Wewe kweli ni zuzu. Kuna biashara bila earnings? Hizo top earnings routes KLM wanakwenda. Sasa wewe utuambie Tanzania inakuaje ya 4 kwenye biashara za KLM.
 
Acheni hshabjki wa kijinga basi. Huu ni msimu wa utalii (high season) KLM inatuaga na watalii wengi miaka yote na msimu ukiisha haiendi tena KIA. Baada ya high season mtabaki na Qatar, Condor, ET, KQ, PW na lile janga let ATCL.
 
Wewe kweli ni zuzu. Kuna biashara bila earnings? Hizo top earnings routes KLM wanakwenda. Sasa wewe utuambie Tanzania inakuaje ya 4 kwenye biashara za KLM.
Kama hela ya bundle huna si uzungushe bakuli humu tukununulie hata ya mwaka? Sina muda na wewe ila ukweli ndio huo ikikuuma sana jilipue.
 
Jifunzeni kutochanganya mambo ya maendeleo na siasa za nchi, hii video mlikosea kuchomekea humo mambo ya siasa, mara mnamponda Membe, mara ununuzi wa urais Dodoma, yaani hata kitu kizuri kinaishia kupondwa. Mjifunze tunavyotoa taarifa za mazuri ya Kenya, humo hatuchanganyi siasa, tunaiweka kizalendo ambapo inaishia kusifiwa na Wakenya wote wenye mitazamo tofauti ya kisiasa.

Makada wa CCM kwenye mitandao mnaharibu nchi yenu mkiona kwa macho, mnafaa mpate darasa jinsi gani ya kuunganisha nchi, hebu ona hata mpira juzi kule Misri, nilishangaa sana nchi yote mligawanyika kati, yaani mechi baina ya mataifa hufahamika kama njia ya kuwaleta wananchi wote pamoja na kuwa kimoja, lakini MaCCm mliiteka timu na kusababisha baadhi ya Watanzania kushabikia kushindwa kwa timu ya taifa, hivi kweli mumepofushwa kiasi hamuoni mnakoipeleka nchi, hamna kizuri ambacho hamkitii uchafu.
Hili la ndege mngeitangaza yenyewe kama yenyewe na kusifia nchi yenu kuwa ya kwanza kuipokea, lakini video imejaa tambo za kisiasa.
90% ya Tanzania ni CCM, sasa huo mgawanyiko unatoka wapi? Hawa wapiga mayowe wa mitandaoni hata kumuingiza Mwenyekiti wa mtaa madarakani hawatoshi.
 
Jifunzeni kutochanganya mambo ya maendeleo na siasa za nchi, hii video mlikosea kuchomekea humo mambo ya siasa, mara mnamponda Membe, mara ununuzi wa urais Dodoma, yaani hata kitu kizuri kinaishia kupondwa. Mjifunze tunavyotoa taarifa za mazuri ya Kenya, humo hatuchanganyi siasa, tunaiweka kizalendo ambapo inaishia kusifiwa na Wakenya wote wenye mitazamo tofauti ya kisiasa.

Makada wa CCM kwenye mitandao mnaharibu nchi yenu mkiona kwa macho, mnafaa mpate darasa jinsi gani ya kuunganisha nchi, hebu ona hata mpira juzi kule Misri, nilishangaa sana nchi yote mligawanyika kati, yaani mechi baina ya mataifa hufahamika kama njia ya kuwaleta wananchi wote pamoja na kuwa kimoja, lakini MaCCm mliiteka timu na kusababisha baadhi ya Watanzania kushabikia kushindwa kwa timu ya taifa, hivi kweli mumepofushwa kiasi hamuoni mnakoipeleka nchi, hamna kizuri ambacho hamkitii uchafu.
Hili la ndege mngeitangaza yenyewe kama yenyewe na kusifia nchi yenu kuwa ya kwanza kuipokea, lakini video imejaa tambo za kisiasa.

MK254,
Umeongea ukweli kabisa, wahusika lazima watakuwa wamekusoma.

2 Jul 2019
KLM 787-10 DREAMLINER to Kilimanjaro
This is the first comercial flight of the brandnew KLM Boeing 787-10 KL 571 Amsterdam Schiphol airport Netherlands to Kilimanjaro international airport Tanzania
 
KLM 100 years
30 Jun 2019
First Arrival of the KLM Boeing 787-10 with the KLM 100 years sticker. The registration is PH-BKA and the plane is named 'Oranje Bloesem'. The delivery was delayed by one day. KLM has ordered 9 787-10. There was a watersalute too, but the wind was to strong for the watersalute on the rightside of the plane. Filmed on: 30-6-2019.
 
Sihitaji kupoteza muda kuangalia video hiyo (ulichokiandika kinatosha kwa mtu yeyote mwenye akili ya kawaida kujua kuwa ni upumbavu mtupu). Unafahamu KLM ni shirika la wapi? Routes zao muhimu duniani ni zipi? Tanzania imo kwenye hizo route?
Au unadhani mameneja wao ni sawa na Magufuli hadi watoe priority kwenye route isiyokuwa the most profitable kupeleka ndege yao kubwa kabisa?

Kujisifia upumbavu unadai "Tanzania ni nchi ya 4 katika masoko Makubwa duniani ya biashara ya KLM, itakua ikileta watalii zaidi ya 350 kila siku kwenye uwanja wa Kilimanjaro". What are you drinking?

Tanzania iwe ya 8 kwa idadi ya watalii Africa halafu iwe ya 4 soko la biashara ya KLM duniani?
Haha hapo kweli kabisa hilo soko Tzed haliwezi fikia masoko ya KLM kwenda India, South Africa ,Arabia ,Uturuki ,Australia ,Indonesia na kadhalika . Hapo ni kabla niweke soko za bara zima la Uropa ,Marekani ,Canada ,Japan na America kusini.
 
Hapa mmejaribu
Ni ndege kubwa kuliko zote kumilikiwa na KLM katika Fleet yake na baada tu ya juzi kuzinduliwa na kiongozi wa Netherlands Mark Rutte, Tanzania imekua ni Nchi ya kwanza ndege hii kubwa kutua na itakua ikifanya safari za kila siku kutua Kilimanjaro

Tanzania ni nchi ya 4 katika masoko Makubwa duniani ya biashara ya KLM, itakua ikileta watalii zaidi ya 350 kila siku kwenye uwanja wa Kilimanjaro




VivaTanzania
Viva JPM
 
Kama hela ya bundle huna si uzungushe bakuli humu tukununulie hata ya mwaka? Sina muda na wewe ila ukweli ndio huo ikikuuma sana jilipue.

Wewe unaishi kwa kumsifia jiwe. Mimi nalipa watu mishahara, na 90% ya kazi zetu ni online. SIHITAJI kupoteza muda wangu kuangalia video zilizotengenezwa na mburula.
Hata kuongopa (japo kwa kutunga uongo unaoweza kukaribiana na ukweli) hamuwezi. Hivi nyie ccm hamuoni aibu kuongopa? Karne hii utamdanganya nani zaidi ya bibi yako alie Ishinabulandi? Hapa kuna watu waelewa na wenye exposure kuliko nyie waimba mapambio.

Endeleeni kujidanganya eti nyie ni wa 4 kwa KLM kibiashara. KLM my foot! Labda KLM ya Chato ya kuruka kwa ungo mkiwa uchi.
 
Wewe unaishi kwa kumsifia jiwe. Mimi nalipa watu mishahara, na 90% ya kazi zetu ni online. SIHITAJI kupoteza muda wangu kuangalia video zilizotengenezwa na mburula.
Hata kuongopa (japo kwa kutunga uongo unaoweza kukaribiana na ukweli) hamuwezi. Hivi nyie ccm hamuoni aibu kuongopa? Karne hii utamdanganya nani zaidi ya bibi yako alie Ishinabulandi? Hapa kuna watu waelewa na wenye exposure kuliko nyie waimba mapambio.

Endeleeni kujidanganya eti nyie ni wa 4 kwa KLM kibiashara. KLM my foot! Labda KLM ya Chato ya kuruka kwa ungo mkiwa uchi.
Ongeza volume kaka Ongezaa….haya majibwa ya CCM wanaomaliza nchi watoke jukwaani
 
Jifunzeni kutochanganya mambo ya maendeleo na siasa za nchi, hii video mlikosea kuchomekea humo mambo ya siasa, mara mnamponda Membe, mara ununuzi wa urais Dodoma, yaani hata kitu kizuri kinaishia kupondwa. Mjifunze tunavyotoa taarifa za mazuri ya Kenya, humo hatuchanganyi siasa, tunaiweka kizalendo ambapo inaishia kusifiwa na Wakenya wote wenye mitazamo tofauti ya kisiasa.

Makada wa CCM kwenye mitandao mnaharibu nchi yenu mkiona kwa macho, mnafaa mpate darasa jinsi gani ya kuunganisha nchi, hebu ona hata mpira juzi kule Misri, nilishangaa sana nchi yote mligawanyika kati, yaani mechi baina ya mataifa hufahamika kama njia ya kuwaleta wananchi wote pamoja na kuwa kimoja, lakini MaCCm mliiteka timu na kusababisha baadhi ya Watanzania kushabikia kushindwa kwa timu ya taifa, hivi kweli mumepofushwa kiasi hamuoni mnakoipeleka nchi, hamna kizuri ambacho hamkitii uchafu.
Hili la ndege mngeitangaza yenyewe kama yenyewe na kusifia nchi yenu kuwa ya kwanza kuipokea, lakini video imejaa tambo za kisiasa.
Mkuu una uchungu sana na Tanzania zaidi ya kenge kibao wa humu Tanzania!

Nakukubali san mkuu!
 
Back
Top Bottom