Elections 2010 Baada ya Kuzomewa Kikwete apanda Hasira; Atamka Atashinda kwa Kishindo

Elections 2010 Baada ya Kuzomewa Kikwete apanda Hasira; Atamka Atashinda kwa Kishindo

Kaimu Raisi Wa jamhuri ya serikali ya tanzania bara Mh RIZIWANI JAKAYA MRISHO KIKWETE
Amenusurika kupigwa kichapo pale alipoingizwa mkenge kutaka kutumia ukumbi wa shule kwa manufaa ya kampeni za ccm hali ikipingana na sheria za NEC

Hali hiyo iliotokea pale vidume wa chadema waliposikia hilo dili na kwenda moja kwa moja shulen huku wakishangaa magari yakiingia na bendera zikipeperuka kama kunguru wa zanziba ndipo ilipofika wakati mh sana riziwani alipowasili na hapo kkundi la vijana wakiwa kama 70 TU wakamfwata mkuu wa shule na kumuuliza RIZIWANI KIKWETE NI NANI kaja kama nani na anakuja kufanya nini shulen...na kwa nini umeamuru watoto wetu ikifika muda fulan waondoke mapema kisa upuuzi wa CCM

Sasa kama walikudanganya leo mkutano aufanyiki semina aipo...labda watafute jina lingine la kutufanya tuwaachie..ndipo akashuka mtu mmoja kutoka kwenye gari la mh KAIMU RAIS WETU RIZIWAN KIKWETE NA KWENDA KUELEZA awakuja kwenye kampen bali ni kikao cha kusuluisha ugomvi kati ya MWAKALEBELA NA MGOMBEA MBUNGE B MBEGA...lOH waliposikia mbega wakahisi kichefu chefu kama wamekunywa VALUE na kumuamuru mwalimu mkuu asiwardushe watoto kabla ya wakati na Hakuna kikao wala kampeni wala usuluhisho wowote utakaofanyika hapa wakasuluhishane makao makuu sio hapa...

Ilikuwa ni aibu ya ajabu ndipo kwa upole msafara ukiongozwa na mgombea ubunge bi mbega ukaanza kuondioka kwa masikitiko na kushukuru mungu huku akiangalia nyuma kweli wamesalimika ama macho yake

WAZO LA BURE

RIZIWAN HESHIMU MAMLAKA NA SHERIA YA NCHI..BABA MWENYEWE AYUKO JUU YA SHERIA ..HATA KAMA ANAFANYA KAMPEN MPAKA SAA MOJA USIKU KINYUME NA MAELEKEZO YA NEC..SO USIMWONE MZEE KACHEMSHA NA WEWE UNAAMUA KUMFWATA..LEO HII KA SIO CHULE HAYOYOTE USINGEYAJUAA..UNA MAMLKA GANI KUWAAMRISHA WATOTO WETU WAACHE SHULE MAPEM KUJA KUKUSIKILIZA NARUDIA ACHA KWA MSISITIZO KOMA...TUACHIE NCHI YETU MSITUARIBIE VIJANA WETU HATA KIDOGO

Hivi wengine mna Pihechidi za matani watu..!?? :becky::becky::becky:
 
Kuzomewa kwake kume prove failure ya safari yake aliyoianza 2005. Utitiri wa ahadi hewa and all those vimechosha wananchi na sasa wameamua kufanya mapinduzi ya kisiasa. Say BIG NO to him on 31st October, 2010.

And you think Tanzanians are that stupid! toa hoja siyo kudandia hoja ambazo hatahujui ni za kweli au zimechakachuliwa.
 
:tonguez::llama::llama::llama::llama::llama::tonguez:
 
prepare your gun or spear cause the results will not be on your favor.

Sijakuelewa hapo juu hicho kidhungu kinamaanisha Kapotolo aweke silaha tayari maana oct 31, 2010 ushindi hautoenda kwa chama chake bali CCM. Yaani unamuamasisha ajiandae na mapambano au? ina maana yeye na wenzake wakishindwa wapigane? Ujue siamini kama maneno hayo yametoka kwako? pliz futa kauli /maneno yako pliz makuomba. Ujue katika watetezi wachache wa kikwete na CCM humu JF ni wachache sana wanaotoa utetezi wenye ujazo miongoni mwao ni wewe. lakini kwa kauli hiyo hapo juu umenichanganya.Au umejibu kimzaa zaidi? ujue vita na vurugu kwa ajili ya uchaguzi ni hatari ndugu yangu
 
anajua kuwa wao CCM ni kiboko kwa kuiba kura, na watazichakachua mbya maana hali yao mbaya mwaka huu :A S 13:
 
Katika moja ya Mikutano yake kanda ya Ziwa, Rais anayeondoka madarakani Bwana Jakaya Kikwete alijikuta katika hali ngumu baada ya kuzomewa na wananchi pale alipotoa ahadi iliyotafsirika kama upupu kwa Watanzania.

Katika kulinda hadhi yake na pengine kutapatapa, Bwana JK alisikika akisema:
"Oktoba 31 kapigeni kura. Mchagueni yoyote munayemtaka. CCM itashinda kwa kishindo"

Wakati akiendelea kutetemeka jukwaani kwa kuaibishwa, baadhi ya Wananchi walikuwa wakiondoka kwenda kutafuta 'mkate' kwa ajili ya familia zao.

Ndio maana akamwomba mshikaji wake Lt. Gen. Shimbo atishie wananchi!
 
FAMILIA YAKE itampigia kura kwa KISHINDO maana hiyo ndiyo inayo msaport

Hali ni ngumu CCM hata kampeini imekuwa ni suala la Familia,hawataki kusema lakini inaonekana Vikongwe wa chama wamemsusia Muungwana. Wapo wapi akina Mwinyi,Mkapa,Salim,Msuya,Warioba,Sumaye,Butiku,Mangula,Kingunge,Lowassa na hata Pinda ili wamsaidie huyu Muungwana?Naona Kampeini inaendeshwa Kifamilia zaidi huku rafiki wa Ridhiwani nao wakiwa mbio mbio Wilayani na Mikoani kumsaidia Baba......CCM hii sio ile aliyoiacha Mwalimu.Haya ndio malipo ya siasa za makundi na baadaye kusahau fadhila!.....Zimebaki siku 25 ukweli utajulikana!
 
Niliiona iyo kwenye TV mzee mzima jazba imempanda.
Najua atakuwa amejifunza mengi mwaka huu na alivyo na visirani kazi tunayo hasa akipita kwa kuchakachua
 
Jamani jamani jamani, acheni propaganda, hii itafanya wafirigiswa wa slaa muonekane mnazua mambo kumdhihaki mheshimiwa jk, mbona mnaongea vitu ambavyo hamna source navyo?
 
Jinsi CCM wanavyoendesha mikutano yao ya kampeni wanastahili more than kuzomewa. Kukusanya watoto wa primary ambao hata hawana umri wa kupiga kura!!! Means wao hawajui umuhimu wa elimu. Lol!

Mikutano imejaa ubabe, ulaghai, ufedhuli, unafki, wizi wa fedha za Wtz (ufujaji) uongo, hila, point less na upupu mwingiiiii. Wamezomewa ila kwa mimi nikiwaona I am sure nitachemsha maji ya moto niwamwagie cause wanaboa sanaaaaaaaaa!!! Ole wao wapitie anga zangu..


:nono: utatimiza yaleyale aliyosema mnajimu mkuu wa jeshi.
 
Mungu Baba,mfufue Mwl.Nyerere aje leo atushauri nani tumnyime kura!

Are you undicided? hadi Nyerere afufuke akushauri usimpe Kikwete kura kwa sababu ni hopeless presida of our time? You must be jocking .
 
Katika moja ya Mikutano yake kanda ya Ziwa, Rais anayeondoka madarakani Bwana Jakaya Kikwete alijikuta katika hali ngumu baada ya kuzomewa na wananchi pale alipotoa ahadi iliyotafsirika kama upupu kwa Watanzania.

Katika kulinda hadhi yake na pengine kutapatapa, Bwana JK alisikika akisema:
"Oktoba 31 kapigeni kura. Mchagueni yoyote munayemtaka. CCM itashinda kwa kishindo"

Wakati akiendelea kutetemeka jukwaani kwa kuaibishwa, baadhi ya Wananchi walikuwa wakiondoka kwenda kutafuta 'mkate' kwa ajili ya familia zao.

Leta source tupambane naye!!
 
Tuombee ashindwe maana akishinda tutakula nyasi. Kama miaka yake mitano yeye anaona amelete maendeleo makubwa wakati sisi wananchi tunaona maisha ni magumu kupindukia itakuwaje kama akipata kipindi cha pili?
 
Sheet!!!!! hata mimi nimeona jana kwenye taarifa ya habari namna JK alivyokuwa anazungumza kwa Jazba huku akitetemeka, jamani kuna mtu ana hicho kipande akitundike hapa kwenye youtube ili watu wote waone huyu ndugu alivyo na hamu ya kurudi tena ikuru.

Mwenye 'post' hii ni mfurukutwa. unaliona neno hilo kwenye 'bold' sijui lina maana gani. lakini naelewa alikuwa anataka kumananisha nini. Kazi tunayo kweli kweli.
 
chanzo cha habari yako ni nini? Kama huna source huna haki ya kuandika!!! Kama wewe ni msomi utanielewa lakini kama wewe ni mfurukutwa au vinginevyoo ruksa!!!

Jamani, msijifanye wasomi sana, si kila kitu kinahitaji source....hayo yalipitwa na wakati na kwa taarifa yako yaliyumiwa na wakoloni ili kukufanya wewe uwaamini kwa kuwa wao walikuwa na maandishi na sisi hatukuwa na maandishi, hiyo tunaiita colinial slavery, ndo inayoukusumbua mpwa, kama huamini angalia na soma baadhi ya historical books utakuta kitu kinachoitwa nguvu ya maandishi.

Usiniulize ni wapi, nenda katafute
 
Back
Top Bottom