Iza
JF-Expert Member
- Jan 8, 2009
- 2,045
- 643
Na wanaoishi yeye akicheka..FAMILIA YAKE itampigia kura kwa KISHINDO maana hiyo ndiyo inayo msaport
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na wanaoishi yeye akicheka..FAMILIA YAKE itampigia kura kwa KISHINDO maana hiyo ndiyo inayo msaport
Kaimu Raisi Wa jamhuri ya serikali ya tanzania bara Mh RIZIWANI JAKAYA MRISHO KIKWETE
Amenusurika kupigwa kichapo pale alipoingizwa mkenge kutaka kutumia ukumbi wa shule kwa manufaa ya kampeni za ccm hali ikipingana na sheria za NEC
Hali hiyo iliotokea pale vidume wa chadema waliposikia hilo dili na kwenda moja kwa moja shulen huku wakishangaa magari yakiingia na bendera zikipeperuka kama kunguru wa zanziba ndipo ilipofika wakati mh sana riziwani alipowasili na hapo kkundi la vijana wakiwa kama 70 TU wakamfwata mkuu wa shule na kumuuliza RIZIWANI KIKWETE NI NANI kaja kama nani na anakuja kufanya nini shulen...na kwa nini umeamuru watoto wetu ikifika muda fulan waondoke mapema kisa upuuzi wa CCM
Sasa kama walikudanganya leo mkutano aufanyiki semina aipo...labda watafute jina lingine la kutufanya tuwaachie..ndipo akashuka mtu mmoja kutoka kwenye gari la mh KAIMU RAIS WETU RIZIWAN KIKWETE NA KWENDA KUELEZA awakuja kwenye kampen bali ni kikao cha kusuluisha ugomvi kati ya MWAKALEBELA NA MGOMBEA MBUNGE B MBEGA...lOH waliposikia mbega wakahisi kichefu chefu kama wamekunywa VALUE na kumuamuru mwalimu mkuu asiwardushe watoto kabla ya wakati na Hakuna kikao wala kampeni wala usuluhisho wowote utakaofanyika hapa wakasuluhishane makao makuu sio hapa...
Ilikuwa ni aibu ya ajabu ndipo kwa upole msafara ukiongozwa na mgombea ubunge bi mbega ukaanza kuondioka kwa masikitiko na kushukuru mungu huku akiangalia nyuma kweli wamesalimika ama macho yake
WAZO LA BURE
RIZIWAN HESHIMU MAMLAKA NA SHERIA YA NCHI..BABA MWENYEWE AYUKO JUU YA SHERIA ..HATA KAMA ANAFANYA KAMPEN MPAKA SAA MOJA USIKU KINYUME NA MAELEKEZO YA NEC..SO USIMWONE MZEE KACHEMSHA NA WEWE UNAAMUA KUMFWATA..LEO HII KA SIO CHULE HAYOYOTE USINGEYAJUAA..UNA MAMLKA GANI KUWAAMRISHA WATOTO WETU WAACHE SHULE MAPEM KUJA KUKUSIKILIZA NARUDIA ACHA KWA MSISITIZO KOMA...TUACHIE NCHI YETU MSITUARIBIE VIJANA WETU HATA KIDOGO
Kuzomewa kwake kume prove failure ya safari yake aliyoianza 2005. Utitiri wa ahadi hewa and all those vimechosha wananchi na sasa wameamua kufanya mapinduzi ya kisiasa. Say BIG NO to him on 31st October, 2010.
prepare your gun or spear cause the results will not be on your favor.
hiyo nadhani ilikuwa BUKOMBE, SHINYANGA[/QUOT
There will be a payback for embarassing JK.
Katika moja ya Mikutano yake kanda ya Ziwa, Rais anayeondoka madarakani Bwana Jakaya Kikwete alijikuta katika hali ngumu baada ya kuzomewa na wananchi pale alipotoa ahadi iliyotafsirika kama upupu kwa Watanzania.
Katika kulinda hadhi yake na pengine kutapatapa, Bwana JK alisikika akisema:
"Oktoba 31 kapigeni kura. Mchagueni yoyote munayemtaka. CCM itashinda kwa kishindo"
Wakati akiendelea kutetemeka jukwaani kwa kuaibishwa, baadhi ya Wananchi walikuwa wakiondoka kwenda kutafuta 'mkate' kwa ajili ya familia zao.
FAMILIA YAKE itampigia kura kwa KISHINDO maana hiyo ndiyo inayo msaport
Jinsi CCM wanavyoendesha mikutano yao ya kampeni wanastahili more than kuzomewa. Kukusanya watoto wa primary ambao hata hawana umri wa kupiga kura!!! Means wao hawajui umuhimu wa elimu. Lol!
Mikutano imejaa ubabe, ulaghai, ufedhuli, unafki, wizi wa fedha za Wtz (ufujaji) uongo, hila, point less na upupu mwingiiiii. Wamezomewa ila kwa mimi nikiwaona I am sure nitachemsha maji ya moto niwamwagie cause wanaboa sanaaaaaaaaa!!! Ole wao wapitie anga zangu..
Mungu Baba,mfufue Mwl.Nyerere aje leo atushauri nani tumnyime kura!
Katika moja ya Mikutano yake kanda ya Ziwa, Rais anayeondoka madarakani Bwana Jakaya Kikwete alijikuta katika hali ngumu baada ya kuzomewa na wananchi pale alipotoa ahadi iliyotafsirika kama upupu kwa Watanzania.
Katika kulinda hadhi yake na pengine kutapatapa, Bwana JK alisikika akisema:
"Oktoba 31 kapigeni kura. Mchagueni yoyote munayemtaka. CCM itashinda kwa kishindo"
Wakati akiendelea kutetemeka jukwaani kwa kuaibishwa, baadhi ya Wananchi walikuwa wakiondoka kwenda kutafuta 'mkate' kwa ajili ya familia zao.
chanzo cha habari yako ni nini? Kama huna source huna haki ya kuandika!!! Kama wewe ni msomi utanielewa lakini kama wewe ni mfurukutwa au vinginevyoo ruksa!!!