Elections 2010 Baada ya Kuzomewa Kikwete apanda Hasira; Atamka Atashinda kwa Kishindo

Kila mahali anapata somo ...............ameipata amechezea watz amewalinda mafisadi.;...........alafu anataka ushindi wa lazima,,,thubutuuuuuu
 
Nasikia uchungu mkubwa once i see matukio haya, hukumu ya wananchi ni kubwa kushinda everything, nani PIGA KURA YA MABADILIKO, vote for CHANNGE not for
CHENGE and alike. kwisha 31 OCT DR new President





 
Duh, hiyo sijaiona hiyo, kwamba mchagueni yeyote mnayemtaka.......halafu? Natamani nipate hiyo video...duh...maana hiyo ni sawa na kusema nitawabaka tu.

Chagueni yeyote mnayemtaka.....tutachakachua tutashinda...Huku ndio kutoa ahadi ya kubaka haki ya mtanzania kuchagua kiongozi anayempenda.
 
 
si ndo imekuwa ivyo! kweli tunahitaji mbinu mpya ya kuiondoa ccm...
 
chanzo cha habari yako ni nini? Kama huna source huna haki ya kuandika!!! Kama wewe ni msomi utanielewa lakini kama wewe ni mfurukutwa au vinginevyoo ruksa!!!

Sasa ndio umechangia nini hapo? si bora ungekaa kimya tu! crap!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…