Baada ya kwenda Dodoma kikazi ameanza dharau “kama zote”

Baada ya kwenda Dodoma kikazi ameanza dharau “kama zote”

kuachwa kuachwa kuachwa ni shughuli pevu .yeye ananenepa wewe unakonda,we wapiga simu yeye hopekei,unabaki n.a. mawazoo.....pole mkuu jipe moyo huyo sio wako.kuna jamaa anamchakaza sasa hivi basi hapo n.a. wewe kuna dada anakupenda ila sababu ni mjinga unampotezea ..tulia dawa ikuingie....chi chi chi chibonge
 
Pole.
Kaa kimya hata miezi kadhaa. Akipigwa chini huko atakutafuta nakuanza kuomba msamaha. Japo haitasaidia.
 
Nlijifanya mi ndo mwema na nina mapenzi ya dhati saivi najuta tu
Kwa huo wema wako na mapenzi yako ya dhati, tangu uende Dodoma umeshamtumia sh ngapi? Nawashangaa wanaume wanaosema wana mapenzi ya dhati wakati hawawahudumii wapenzi wao kwa chochote mpaka wanakuja kutusumbua sie huku wa pembeni.
Sasa mwenzako keshapata bwana, ukute hapo keshamuhonga simu, ana mtoa outing za maana nk. Unaweza ukasema una mapenzi ya dhati, kwa SI unit yako ila kwa standards za kimataifa ukawa unaburuta mkia. Jitafakari. Kama umepwaya acha nafasi.
Mapenzi ya dhati sio kupiga piga simu ovyo na kumuuliza mwenzako amekula na wakati hujui hata hiyo ela ya kula ameitoa wapi. Wenye mapenzi ya dhati wako wanacheza na M pesa tu.
 
Back
Top Bottom