Baada ya kwenda Dodoma kikazi ameanza dharau “kama zote”

Baada ya kwenda Dodoma kikazi ameanza dharau “kama zote”

Pole ebu mtumie msg za mpesa alafu muulize shida nn
Aisee wewe una akiri sana. Niliwahi kuwa na demu aliyenichunia wiki nzima. Kila nikipiga simu hapokei au nikiandika message hajibu. Sasa nikaamua kumtega kwa message kuwa "baby nimekutumia fedha kidogo kama laki moja hivi. Ikiingia nijulishe." Weeee alikuja fasta eti Oooh samahani baby mara nyingi simu yangu haioneshi kama inaita, kifupi ina matatizo. Kisha akasema baby ila hela haijaingia, nikamwambia subirisubiri labda itaingia. Basi alinisumbua wiki nzima na mimi nikawa namdanganya kwamba nawasiliana na watu wa mpesa nijue nini kimejiri. Baada ya wiki nilimpasulia tu kwamba hakuna cha hela wala nini, nilikuwa nakupima upendo wako tu, sasa nimegundua wewe ni money monger, hamna kitu na tusijuane tena. Yaani alitoa tusi hilo siwezi kulielezea hapa. Na huo ukawa mwisho wa uhusiano wetu.
 
Aisee wewe una akiri sana. Niliwahi kuwa na demu aliyenichunia wiki nzima. Kila nikipiga simu hapokei au nikiandika message hajibu. Sasa nikaamua kumtega kwa message kuwa "baby nimekutumia fedha kidogo kama laki moja hivi. Ikiingia nijulishe." Weeee alikuja fasta eti Oooh samahani baby mara nyingi simu yangu haioneshi kama inaita, kifupi ina matatizo. Kisha akasema baby ila hela haijaingia, nikamwambia subirisubiri labda itaingia. Basi alinisumbua wiki nzima na mimi nikawa namdanganya kwamba nawasiliana na watu wa mpesa nijue nini kimejiri. Baada ya wiki nilimpasulia tu kwamba hakuna cha hela wala nini, nilikuwa nakupima upendo wako tu, sasa nimegundua wewe ni money monger, hamna kitu na tusijuane tena. Yaani alitoa tusi hilo siwezi kulielezea hapa. Na huo ukawa mwisho wa uhusiano wetu.
😂😂 huo ndiyo uanaume sasa sio kulia lia, salute mkuu
 
Habari yote hii bila picha hainogi mkuu
Habari za majukumu wana jf..

Nimatumaini yangu mu wa zima wa afya njemaa..

Back to the point..

Ndugu zangu nimekuwa kwenye mahusiano na binti fulani kwa takribani miaka miwili na nusu sasa.

Kilicho nifanya nije jukwaani hapa muda huu ni kuhusu tabia za huyu mwenzangu ambazo ameanza kuzionesha takribani kwa miezi miwili sasa.

Mi kwasasa nipo Dodoma kikazi na mwenzangu nimemuacha Dar ila tabia yake ndo inaniacha hoi.

Naweza piga simu hata missed calls 8 na hapo nimepiga asubuhi ila cha ajabu akajibu saa 4 usiku tena kwa ufupi tu.

Natuma text ambazo ni za muhimu lakini hajibu wala nikimtafuta nikimuuliza kwanini hakujibu zile txt hunijibu kwa dharau na kwa ufupi tu.

Nimejaribu kujitafakari labda kuna kitu nimemkwaza lakini naona sina kosa. Nimemuuliza mara kwa mara kama kuna shida yoyote kati yetu aniambie asinifiche tuwekane wazi tu ila anadai kila ktu kipo poa tu wakati naona dharau zinazidi kuongezeka siku hadi siku.

Sijathibitisha kama kapata mwanaume wa kumfanya awe hivo au la. Japo ukweli nakapenda mnoo ila kwa dharau zake aisee nimekoma.

Kitu kingine ambacho nimegundua wanawake wembamba ni wana dharau sana na wanajiona wao ndio viumbe bora kabisa hapa duniani. Huyu ni demu wangu wa tatu tunashindwana wa sampuli hii.

Don't trust a woman aisee. Leo nimeamini kuwa mwanamke anapenda awe ananyanyasika tu hapo ndo atatulia.

Siamini wa sithamini tena mwanamke.. Nlijifanya mi ndo mwema na nina mapenzi ya dhati saivi najuta tu.

Nawasilisha
 
kisaikolojia iyo tunaita loop and hook technique..kadri unavomuomba msamaha na kujitahidi kueka mambo sawa na ku make excuses ili uweke mapenzi sawa ndivo unavozidi kumkimbiza..na nature ya mwanadamu huwa anapigania kile ambacho hana..anakuchukulia poa sababu anajua utamlamba nyayo..utapiga simu kwa sana..utatuma texy nyingi..nae atajibu call moja ai text moja..au akipokea sm atakwambia kata kidoogo ntakutafta..af hakutafti....sasa nakwambia dem awe mwembamba au vyovyote..ukitaka asikusumbue na aende kama unavotaka just find my mentor guru davy or
 
Siamini wa sithamini tena mwanamke.. Nlijifanya mi ndo mwema na nina mapenzi ya dhati saivi najuta tu.

Ukishalijua hilo, utakuwa na maisha mazuri milele..
Wanawake ni Unaishi nao kisungura then wakizingua unageuka chui, that's principle

Nikutakie furaha njema kwenye siku za maisha yako zilizobaki.
 
h
Habari za majukumu wana jf..

Nimatumaini yangu mu wa zima wa afya njemaa..

Back to the point..

Ndugu zangu nimekuwa kwenye mahusiano na binti fulani kwa takribani miaka miwili na nusu sasa.

Kilicho nifanya nije jukwaani hapa muda huu ni kuhusu tabia za huyu mwenzangu ambazo ameanza kuzionesha takribani kwa miezi miwili sasa.

Mi kwasasa nipo Dodoma kikazi na mwenzangu nimemuacha Dar ila tabia yake ndo inaniacha hoi.

Naweza piga simu hata missed calls 8 na hapo nimepiga asubuhi ila cha ajabu akajibu saa 4 usiku tena kwa ufupi tu.

Natuma text ambazo ni za muhimu lakini hajibu wala nikimtafuta nikimuuliza kwanini hakujibu zile txt hunijibu kwa dharau na kwa ufupi tu.

Nimejaribu kujitafakari labda kuna kitu nimemkwaza lakini naona sina kosa. Nimemuuliza mara kwa mara kama kuna shida yoyote kati yetu aniambie asinifiche tuwekane wazi tu ila anadai kila ktu kipo poa tu wakati naona dharau zinazidi kuongezeka siku hadi siku.

Sijathibitisha kama kapata mwanaume wa kumfanya awe hivo au la. Japo ukweli nakapenda mnoo ila kwa dharau zake aisee nimekoma.

Kitu kingine ambacho nimegundua wanawake wembamba ni wana dharau sana na wanajiona wao ndio viumbe bora kabisa hapa duniani. Huyu ni demu wangu wa tatu tunashindwana wa sampuli hii.

Don't trust a woman aisee. Leo nimeamini kuwa mwanamke anapenda awe ananyanyasika tu hapo ndo atatulia.

Siamini wa sithamini tena mwanamke.. Nlijifanya mi ndo mwema na nina mapenzi ya dhati saivi najuta tu.

Nawasilisha
Hyo ya mwanamke mwembamba wanadharau nakubaliana na ww kwan mtaan nnapoishi kuna kabint baada ya kujua mienendo yake nikapiga pause ss naona kanajipitisha na wanaume ili kunikomoa kumbe cc ndo wazee wa hit and run
 
Habari za majukumu wana jf..

Nimatumaini yangu mu wa zima wa afya njemaa..

Back to the point..

Ndugu zangu nimekuwa kwenye mahusiano na binti fulani kwa takribani miaka miwili na nusu sasa.

Kilicho nifanya nije jukwaani hapa muda huu ni kuhusu tabia za huyu mwenzangu ambazo ameanza kuzionesha takribani kwa miezi miwili sasa.

Mi kwasasa nipo Dodoma kikazi na mwenzangu nimemuacha Dar ila tabia yake ndo inaniacha hoi.

Naweza piga simu hata missed calls 8 na hapo nimepiga asubuhi ila cha ajabu akajibu saa 4 usiku tena kwa ufupi tu.

Natuma text ambazo ni za muhimu lakini hajibu wala nikimtafuta nikimuuliza kwanini hakujibu zile txt hunijibu kwa dharau na kwa ufupi tu.

Nimejaribu kujitafakari labda kuna kitu nimemkwaza lakini naona sina kosa. Nimemuuliza mara kwa mara kama kuna shida yoyote kati yetu aniambie asinifiche tuwekane wazi tu ila anadai kila ktu kipo poa tu wakati naona dharau zinazidi kuongezeka siku hadi siku.

Sijathibitisha kama kapata mwanaume wa kumfanya awe hivo au la. Japo ukweli nakapenda mnoo ila kwa dharau zake aisee nimekoma.

Kitu kingine ambacho nimegundua wanawake wembamba ni wana dharau sana na wanajiona wao ndio viumbe bora kabisa hapa duniani. Huyu ni demu wangu wa tatu tunashindwana wa sampuli hii.

Don't trust a woman aisee. Leo nimeamini kuwa mwanamke anapenda awe ananyanyasika tu hapo ndo atatulia.

Siamini wa sithamini tena mwanamke.. Nlijifanya mi ndo mwema na nina mapenzi ya dhati saivi najuta tu.

Nawasilisha
Kama huna kiwanja TV la chogo linapiga bunduki huna mradi hela ya akiba huna utabaki kulalamika tu tafuta hela dar hapafai kwako
 
Jiongeze Mkuu! Out of sight out of mind. Kuna jamaa anamkuna vizuri tu.

Habari za majukumu wana jf..

Nimatumaini yangu mu wa zima wa afya njemaa..

Back to the point..

Ndugu zangu nimekuwa kwenye mahusiano na binti fulani kwa takribani miaka miwili na nusu sasa.

Kilicho nifanya nije jukwaani hapa muda huu ni kuhusu tabia za huyu mwenzangu ambazo ameanza kuzionesha takribani kwa miezi miwili sasa.

Mi kwasasa nipo Dodoma kikazi na mwenzangu nimemuacha Dar ila tabia yake ndo inaniacha hoi.

Naweza piga simu hata missed calls 8 na hapo nimepiga asubuhi ila cha ajabu akajibu saa 4 usiku tena kwa ufupi tu.

Natuma text ambazo ni za muhimu lakini hajibu wala nikimtafuta nikimuuliza kwanini hakujibu zile txt hunijibu kwa dharau na kwa ufupi tu.

Nimejaribu kujitafakari labda kuna kitu nimemkwaza lakini naona sina kosa. Nimemuuliza mara kwa mara kama kuna shida yoyote kati yetu aniambie asinifiche tuwekane wazi tu ila anadai kila ktu kipo poa tu wakati naona dharau zinazidi kuongezeka siku hadi siku.

Sijathibitisha kama kapata mwanaume wa kumfanya awe hivo au la. Japo ukweli nakapenda mnoo ila kwa dharau zake aisee nimekoma.

Kitu kingine ambacho nimegundua wanawake wembamba ni wana dharau sana na wanajiona wao ndio viumbe bora kabisa hapa duniani. Huyu ni demu wangu wa tatu tunashindwana wa sampuli hii.

Don't trust a woman aisee. Leo nimeamini kuwa mwanamke anapenda awe ananyanyasika tu hapo ndo atatulia.

Siamini wa sithamini tena mwanamke.. Nlijifanya mi ndo mwema na nina mapenzi ya dhati saivi najuta tu.

Nawasilisha
 
Aisee wewe una akiri sana. Niliwahi kuwa na demu aliyenichunia wiki nzima. Kila nikipiga simu hapokei au nikiandika message hajibu. Sasa nikaamua kumtega kwa message kuwa "baby nimekutumia fedha kidogo kama laki moja hivi. Ikiingia nijulishe." Weeee alikuja fasta eti Oooh samahani baby mara nyingi simu yangu haioneshi kama inaita, kifupi ina matatizo. Kisha akasema baby ila hela haijaingia, nikamwambia subirisubiri labda itaingia. Basi alinisumbua wiki nzima na mimi nikawa namdanganya kwamba nawasiliana na watu wa mpesa nijue nini kimejiri. Baada ya wiki nilimpasulia tu kwamba hakuna cha hela wala nini, nilikuwa nakupima upendo wako tu, sasa nimegundua wewe ni money monger, hamna kitu na tusijuane tena. Yaani alitoa tusi hilo siwezi kulielezea hapa. Na huo ukawa mwisho wa uhusiano wetu.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]aiseeeh
 
kisaikolojia iyo tunaita loop and hook technique..kadri unavomuomba msamaha na kujitahidi kueka mambo sawa na ku make excuses ili uweke mapenzi sawa ndivo unavozidi kumkimbiza..na nature ya mwanadamu huwa anapigania kile ambacho hana..anakuchukulia poa sababu anajua utamlamba nyayo..utapiga simu kwa sana..utatuma texy nyingi..nae atajibu call moja ai text moja..au akipokea sm atakwambia kata kidoogo ntakutafta..af hakutafti....sasa nakwambia dem awe mwembamba au vyovyote..ukitaka asikusumbue na aende kama unavotaka just find my mentor guru davy or
Guru davy ndo nani mkuu.. ushauri wako ni mzurii sana
 
Wengine sio wa kujibu kaa kimya fanya hivi usimpigie simu siku nzima wa kumtext nae akikaa kimya bila kukutext na siku ya pili hivyo hivyo jiongeze hapo huna chako wenda atakuwa kampata huyo wa kumtoa outing za maana kama ulivyoambiwa ila huwa wanarudi wenyewe utasikia wanasema ni shetani tu ndo kasababisha kuwa makini na kingine usipende kumpa mwanamke pesa nyingi wakti bado yuko kwao akikuacha ndo chanzo cha kujiua bila kukusudia be care acha aende kwa hao wenye hela utampata tu mwingine maumivu na mawazo ni ya muda tu focus kufanya na kutenda shughuli zako utaongeza kipato na kumpata sitahiki yako
Thanks so much for this great advice.. yaani najihisi kupoa kabisa
 
Habari za majukumu wana jf..

Nimatumaini yangu mu wa zima wa afya njemaa..

Back to the point..

Ndugu zangu nimekuwa kwenye mahusiano na binti fulani kwa takribani miaka miwili na nusu sasa.

Kilicho nifanya nije jukwaani hapa muda huu ni kuhusu tabia za huyu mwenzangu ambazo ameanza kuzionesha takribani kwa miezi miwili sasa.

Mi kwasasa nipo Dodoma kikazi na mwenzangu nimemuacha Dar ila tabia yake ndo inaniacha hoi.

Naweza piga simu hata missed calls 8 na hapo nimepiga asubuhi ila cha ajabu akajibu saa 4 usiku tena kwa ufupi tu.

Natuma text ambazo ni za muhimu lakini hajibu wala nikimtafuta nikimuuliza kwanini hakujibu zile txt hunijibu kwa dharau na kwa ufupi tu.

Nimejaribu kujitafakari labda kuna kitu nimemkwaza lakini naona sina kosa. Nimemuuliza mara kwa mara kama kuna shida yoyote kati yetu aniambie asinifiche tuwekane wazi tu ila anadai kila ktu kipo poa tu wakati naona dharau zinazidi kuongezeka siku hadi siku.

Sijathibitisha kama kapata mwanaume wa kumfanya awe hivo au la. Japo ukweli nakapenda mnoo ila kwa dharau zake aisee nimekoma.

Kitu kingine ambacho nimegundua wanawake wembamba ni wana dharau sana na wanajiona wao ndio viumbe bora kabisa hapa duniani. Huyu ni demu wangu wa tatu tunashindwana wa sampuli hii.

Don't trust a woman aisee. Leo nimeamini kuwa mwanamke anapenda awe ananyanyasika tu hapo ndo atatulia.

Siamini wa sithamini tena mwanamke.. Nlijifanya mi ndo mwema na nina mapenzi ya dhati saivi najuta tu.

Nawasilisha
Ushasema ni mwembaba maana yake hana chura.

Sasa hana chura alafu anakuumiza kichwa?
 
wanaume inabidi tukumbuke ajenda za kikao chetu hasa ile ya kua na mioyo migumu ya chuma km babu zetu,huku kujifanya tunajua mapenzi kulala nao shuka moja na kubadilisha maushuzi ndo akili zinaondoka tunabaki kulialia km wehu.
me toka nimepata kujielewa cjawai kumwona babu akilala 1 room na bibi kila mmoja kwake na adabu ni full,babu akiwa na genye anaivizia anaipunyua inarudi kwake sasa ss wa kujambiana shuka moja wacha tulie tu ila mwanamke hatabiriki wala usimchukulie dhamana utalia kilio cha mbwa pua na mdomo juu!cheza kwa step!.
 
Back
Top Bottom