Baada ya kwenda Dodoma kikazi ameanza dharau “kama zote”

Baada ya kwenda Dodoma kikazi ameanza dharau “kama zote”

Mbona wanawake wako wengi tu... Yani missed calls 8 bado unateseka nae??? Utawaza saa ngap mambo ya msingi?? mteme huyo..
 
Kijana kunywa pombe uchaji akili zako, unataka mpaka demu akukalie uchi ndipo ujuwe kuwa hana mpango na wewe? Yeye hakutaki tena, anza maisha yako upya.
 
Habari za majukumu wana jf..

Nimatumaini yangu mu wa zima wa afya njemaa..

Back to the point..

Ndugu zangu nimekuwa kwenye mahusiano na binti fulani kwa takribani miaka miwili na nusu sasa.

Kilicho nifanya nije jukwaani hapa muda huu ni kuhusu tabia za huyu mwenzangu ambazo ameanza kuzionesha takribani kwa miezi miwili sasa.

Mi kwasasa nipo Dodoma kikazi na mwenzangu nimemuacha Dar ila tabia yake ndo inaniacha hoi.

Naweza piga simu hata missed calls 8 na hapo nimepiga asubuhi ila cha ajabu akajibu saa 4 usiku tena kwa ufupi tu.

Natuma text ambazo ni za muhimu lakini hajibu wala nikimtafuta nikimuuliza kwanini hakujibu zile txt hunijibu kwa dharau na kwa ufupi tu.

Nimejaribu kujitafakari labda kuna kitu nimemkwaza lakini naona sina kosa. Nimemuuliza mara kwa mara kama kuna shida yoyote kati yetu aniambie asinifiche tuwekane wazi tu ila anadai kila ktu kipo poa tu wakati naona dharau zinazidi kuongezeka siku hadi siku.

Sijathibitisha kama kapata mwanaume wa kumfanya awe hivo au la. Japo ukweli nakapenda mnoo ila kwa dharau zake aisee nimekoma.

Kitu kingine ambacho nimegundua wanawake wembamba ni wana dharau sana na wanajiona wao ndio viumbe bora kabisa hapa duniani. Huyu ni demu wangu wa tatu tunashindwana wa sampuli hii.

Don't trust a woman aisee. Leo nimeamini kuwa mwanamke anapenda awe ananyanyasika tu hapo ndo atatulia.

Siamini wa sithamini tena mwanamke.. Nlijifanya mi ndo mwema na nina mapenzi ya dhati saivi najuta tu.

Nawasilisha
Kaa kijanja unapoteza muda hapo chapa lapa tafuta mwingine mbona Dodoma kuna watoto wazuri tu
 
Mi nna kanuni zangu nikikaa mbali na demu natafuta mwingine na sita umiza kichwa kudili na aliye mbali
 
Kwa huo wema wako na mapenzi yako ya dhati, tangu uende Dodoma umeshamtumia sh ngapi? Nawashangaa wanaume wanaosema wana mapenzi ya dhati wakati hawawahudumii wapenzi wao kwa chochote mpaka wanakuja kutusumbua sie huku wa pembeni.
Sasa mwenzako keshapata bwana, ukute hapo keshamuhonga simu, ana mtoa outing za maana nk. Unaweza ukasema una mapenzi ya dhati, kwa SI unit yako ila kwa standards za kimataifa ukawa unaburuta mkia. Jitafakari. Kama umepwaya acha nafasi.
Mapenzi ya dhati sio kupiga piga simu ovyo na kumuuliza mwenzako amekula na wakati hujui hata hiyo ela ya kula ameitoa wapi. Wenye mapenzi ya dhati wako wanacheza na M pesa tu.
😂😂😂😂😂😂 we jamaa fala kweli huu ukweli utamchoma mwamba kama pasi. Hawa simbilisi bila kuwapa hela hasa hawa specie ya Dar kila weekend wanataka kwenda K.Koo kununua viatu na skin jeans hahaha mapenzi lazma yawe magumu
 
Back
Top Bottom