Baada ya kwenda Dodoma kikazi ameanza dharau “kama zote”

Baada ya kwenda Dodoma kikazi ameanza dharau “kama zote”

Wengine sio wa kujibu kaa kimya fanya hivi usimpigie simu siku nzima wa kumtext nae akikaa kimya bila kukutext na siku ya pili hivyo hivyo jiongeze hapo huna chako wenda atakuwa kampata huyo wa kumtoa outing za maana kama ulivyoambiwa ila huwa wanarudi wenyewe utasikia wanasema ni shetani tu ndo kasababisha kuwa makini na kingine usipende kumpa mwanamke pesa nyingi wakti bado yuko kwao akikuacha ndo chanzo cha kujiua bila kukusudia be care acha aende kwa hao wenye hela utampata tu mwingine maumivu na mawazo ni ya muda tu focus kufanya na kutenda shughuli zako utaongeza kipato na kumpata sitahiki yako
Hahahha, mwanamke kama halali na kuamka kwangu pesa ataziskia kwenye vyombo vya habari na mawasiliano tu.
 
Aisee wewe una akiri sana. Niliwahi kuwa na demu aliyenichunia wiki nzima. Kila nikipiga simu hapokei au nikiandika message hajibu. Sasa nikaamua kumtega kwa message kuwa "baby nimekutumia fedha kidogo kama laki moja hivi. Ikiingia nijulishe." Weeee alikuja fasta eti Oooh samahani baby mara nyingi simu yangu haioneshi kama inaita, kifupi ina matatizo. Kisha akasema baby ila hela haijaingia, nikamwambia subirisubiri labda itaingia. Basi alinisumbua wiki nzima na mimi nikawa namdanganya kwamba nawasiliana na watu wa mpesa nijue nini kimejiri. Baada ya wiki nilimpasulia tu kwamba hakuna cha hela wala nini, nilikuwa nakupima upendo wako tu, sasa nimegundua wewe ni money monger, hamna kitu na tusijuane tena. Yaani alitoa tusi hilo siwezi kulielezea hapa. Na huo ukawa mwisho wa uhusiano wetu.
Hahahahah we msenge umetisha,,, hii trick ntaitumia siku nikipata pasua kichwa
 
Ni kweli hatuwezi kuficha...zinaanzaga dharau hadi mwanaume anajitoa,mwingine anakwambia kabisa muachane

Ila si uliachana nae au ulibembeleza akatulia kwako?
Nilianza kujitoa taratiibu bila kumwambia.Tukionana namla,na namchukulia wa kawaida na Ile thamani kubwa nikaitoa.Nikawa nakula papuchi huku akilini nikijua naiaga.Hatimaye ilikuja kuwa over nikaridhika na wakati huo na yeye akaanza pata tabu sn.Kwao hawamwelewi kunipoteza.Ilimsumbua sn sn,na bado mpaka ss ananitafuta.Muda huu sitaki hata papuchi yake kabisa
 
wanaume tunaweza kumiliki nyumva ndogo hata tatu na tusionyeshe dalili yoyote ya kushuka kwa upendo wala dharau
Mwanamke hajui kugawa upendo equally, lazma ataegemea upande mmoja tu na hapo ndipo tunapowafuma mapema tu. Yani akiwa na Robert na Niko lazma aegemee kwa Niko zaidi na kwa Robert penzi litashuka kwa 90%
 
Nilianza kujitoa taratiibu bila kumwambia.Tukionana namla,na namchukulia wa kawaida na Ile thamani kubwa nikaitoa.Nikawa nakula papuchi huku akilini nikijua naiaga.Hatimaye ilikuja kuwa over nikaridhika na wakati huo na yeye akaanza pata tabu sn.Kwao hawamwelewi kunipoteza.Ilimsumbua sn sn,na bado mpaka ss ananitafuta.Muda huu sitaki hata papuchi yake kabisa

Yaaaas!

That's what we do! (In Lingard's voice)

Ndio ilikuwa dawa yake...kuna muda wanawake tunapata watu wanaopenda kweli ila ndio hivyo hatutulii na vice versa
Huyo mdada unaweza kukuta somewhere anaelezea wanaume walivyo wabaya wakati yeye ndiye alianza kuharibu
 
pole mkuu....mm nimeachika kisa ule wakati wote ni wazee watungi na nilimtongoza nikiwa nimelewa
 
Yaaaas!

That's what we do! (In Lingard's voice)

Ndio ilikuwa dawa yake...kuna muda wanawake tunapata watu wanaopenda kweli ila ndio hivyo hatutulii na vice versa
Huyo mdada unaweza kukuta somewhere anaelezea wanaume walivyo wabaya wakati yeye ndiye alianza kuharibu
Anapata tabu sn ss.Juzi kanipigia simu et naomba nizalishe basi!!!nikasema NO THANK YOU.
 
Missed call 8, zote hizo za nini utadhani ana figo yako? Missed call 1 inatosha....

Kuna kidume kimejiweka hapo, mwanamke hawezi kukudharau bure bure.
hahaa,dah! unaua ndungu yangu, mbavu sina hapa. eti ana figo yako, sikutegemea hii statement kiukweli!!
 
Yule mwanamke aliniachia kichanga cha miezi miwili tokea hapo nawachukia wanawake mpaka kaburini
Kwa sababu humu hatujuani tunaomba kwa niaba ya wanaMMU tuwekee stori kamili tujifunze...unaweza kumsaidia mtu asiingie kwenye mtego
 
Missed call 8, zote hizo za nini utadhani ana figo yako? Missed call 1 inatosha....

Kuna kidume kimejiweka hapo, mwanamke hawezi kukudharau bure bure.
Bwana wee tunafundisha kweli kweli Hawa wanaume wenzetu hawaelewi...

Embu mfundishe wewe mwanamke labda atakuelewa...
 
Haha mkuu aliekua hayupo karibu na chake hakipo

Wacha jamaa ambaye alikua anatamaniwa na huyo manzi wake ajilie vitu kiulainii mida hii
 
Back
Top Bottom