Baada ya kwenda Dodoma kikazi ameanza dharau “kama zote”

Baada ya kwenda Dodoma kikazi ameanza dharau “kama zote”

Bwana wee tunafundisha kweli kweli Hawa wanaume wenzetu hawaelewi...

Embu mfundishe wewe mwanamke labda atakuelewa...
Na mambo ya kuwa na mpenzi mmoja ndio chagamoto zake hizi akiamua kuuponda ponda moyo wako yani unakua kama tikiti bovu....sijui nimshauri sijui niache tu
 
Habari za majukumu wana jf..

Nimatumaini yangu mu wa zima wa afya njemaa..

Back to the point..

Ndugu zangu nimekuwa kwenye mahusiano na binti fulani kwa takribani miaka miwili na nusu sasa.

Kilicho nifanya nije jukwaani hapa muda huu ni kuhusu tabia za huyu mwenzangu ambazo ameanza kuzionesha takribani kwa miezi miwili sasa.

Mi kwasasa nipo Dodoma kikazi na mwenzangu nimemuacha Dar ila tabia yake ndo inaniacha hoi.

Naweza piga simu hata missed calls 8 na hapo nimepiga asubuhi ila cha ajabu akajibu saa 4 usiku tena kwa ufupi tu.

Natuma text ambazo ni za muhimu lakini hajibu wala nikimtafuta nikimuuliza kwanini hakujibu zile txt hunijibu kwa dharau na kwa ufupi tu.

Nimejaribu kujitafakari labda kuna kitu nimemkwaza lakini naona sina kosa. Nimemuuliza mara kwa mara kama kuna shida yoyote kati yetu aniambie asinifiche tuwekane wazi tu ila anadai kila ktu kipo poa tu wakati naona dharau zinazidi kuongezeka siku hadi siku.

Sijathibitisha kama kapata mwanaume wa kumfanya awe hivo au la. Japo ukweli nakapenda mnoo ila kwa dharau zake aisee nimekoma.

Kitu kingine ambacho nimegundua wanawake wembamba ni wana dharau sana na wanajiona wao ndio viumbe bora kabisa hapa duniani. Huyu ni demu wangu wa tatu tunashindwana wa sampuli hii.

Don't trust a woman aisee. Leo nimeamini kuwa mwanamke anapenda awe ananyanyasika tu hapo ndo atatulia.

Siamini wa sithamini tena mwanamke.. Nlijifanya mi ndo mwema na nina mapenzi ya dhati saivi najuta tu.

Nawasilisha
Kaka huyo mpenzi wako ni kabila gani, maana kuna aina ya makabila wanawake wanakuwa hawaheshimu mahusiano yao , wanakuwa hawajali lolote zaidi wanakuwa kimaslahi, au ni tabia yao tu kuwa na mwanaume zaidi ya mmoja.
 
Mshkaji anashindwa kujiongeza. Kama mtu hapokei simu usimpigie tena. Kwan sh.ngapi bwana
Yan kwenye kupiga cm kaenda mbali sana.Mm hata message tu nikshaona natuma meseji halaf unzijib ile kidizain flan aisee hata uwe dume nakupotezea hata kuwe na mchongo wa maana ndio ushaukosa hivyo.
Kwa hawa viumbe kwakwel mm nisingefika huko alikofika jamaa
 
amepata mwenzio anayeweza kazi. sasa kama wewe unampwelepweta tu unategemea nini?
 
Kuna Baharia mwingine katia nanga kwenye meli yako,
 
Habari za majukumu wana jf..

Nimatumaini yangu mu wa zima wa afya njemaa..

Back to the point..

Ndugu zangu nimekuwa kwenye mahusiano na binti fulani kwa takribani miaka miwili na nusu sasa.

Kilicho nifanya nije jukwaani hapa muda huu ni kuhusu tabia za huyu mwenzangu ambazo ameanza kuzionesha takribani kwa miezi miwili sasa.

Mi kwasasa nipo Dodoma kikazi na mwenzangu nimemuacha Dar ila tabia yake ndo inaniacha hoi.

Naweza piga simu hata missed calls 8 na hapo nimepiga asubuhi ila cha ajabu akajibu saa 4 usiku tena kwa ufupi tu.

Natuma text ambazo ni za muhimu lakini hajibu wala nikimtafuta nikimuuliza kwanini hakujibu zile txt hunijibu kwa dharau na kwa ufupi tu.

Nimejaribu kujitafakari labda kuna kitu nimemkwaza lakini naona sina kosa. Nimemuuliza mara kwa mara kama kuna shida yoyote kati yetu aniambie asinifiche tuwekane wazi tu ila anadai kila ktu kipo poa tu wakati naona dharau zinazidi kuongezeka siku hadi siku.

Sijathibitisha kama kapata mwanaume wa kumfanya awe hivo au la. Japo ukweli nakapenda mnoo ila kwa dharau zake aisee nimekoma.

Kitu kingine ambacho nimegundua wanawake wembamba ni wana dharau sana na wanajiona wao ndio viumbe bora kabisa hapa duniani. Huyu ni demu wangu wa tatu tunashindwana wa sampuli hii.

Don't trust a woman aisee. Leo nimeamini kuwa mwanamke anapenda awe ananyanyasika tu hapo ndo atatulia.

Siamini wa sithamini tena mwanamke.. Nlijifanya mi ndo mwema na nina mapenzi ya dhati saivi najuta tu.

Nawasilisha
Haya ndo yale "Kupigwa matukio paka unaondoka mwenyewe" aliyokuwa anafanya Diamond kwa zari.. Jiongeze baba kwani dodoma hamna wanawake
 
Habari za majukumu wana jf..

Nimatumaini yangu mu wa zima wa afya njemaa..

Back to the point..

Ndugu zangu nimekuwa kwenye mahusiano na binti fulani kwa takribani miaka miwili na nusu sasa.

Kilicho nifanya nije jukwaani hapa muda huu ni kuhusu tabia za huyu mwenzangu ambazo ameanza kuzionesha takribani kwa miezi miwili sasa.

Mi kwasasa nipo Dodoma kikazi na mwenzangu nimemuacha Dar ila tabia yake ndo inaniacha hoi.

Naweza piga simu hata missed calls 8 na hapo nimepiga asubuhi ila cha ajabu akajibu saa 4 usiku tena kwa ufupi tu.

Natuma text ambazo ni za muhimu lakini hajibu wala nikimtafuta nikimuuliza kwanini hakujibu zile txt hunijibu kwa dharau na kwa ufupi tu.

Nimejaribu kujitafakari labda kuna kitu nimemkwaza lakini naona sina kosa. Nimemuuliza mara kwa mara kama kuna shida yoyote kati yetu aniambie asinifiche tuwekane wazi tu ila anadai kila ktu kipo poa tu wakati naona dharau zinazidi kuongezeka siku hadi siku.

Sijathibitisha kama kapata mwanaume wa kumfanya awe hivo au la. Japo ukweli nakapenda mnoo ila kwa dharau zake aisee nimekoma.

Kitu kingine ambacho nimegundua wanawake wembamba ni wana dharau sana na wanajiona wao ndio viumbe bora kabisa hapa duniani. Huyu ni demu wangu wa tatu tunashindwana wa sampuli hii.

Don't trust a woman aisee. Leo nimeamini kuwa mwanamke anapenda awe ananyanyasika tu hapo ndo atatulia.

Siamini wa sithamini tena mwanamke.. Nlijifanya mi ndo mwema na nina mapenzi ya dhati saivi najuta tu.

Nawasilisha
Miaka miwili hujapiga mimba? Umeyataka! Ukimpa mwanamke mimba yeye ndio anakutafuta!
Mimba ni kama unamuwekea password na alama moyoni mwake!
 
Habari za majukumu wana jf..

Nimatumaini yangu mu wa zima wa afya njemaa..

Back to the point..

Ndugu zangu nimekuwa kwenye mahusiano na binti fulani kwa takribani miaka miwili na nusu sasa.

Kilicho nifanya nije jukwaani hapa muda huu ni kuhusu tabia za huyu mwenzangu ambazo ameanza kuzionesha takribani kwa miezi miwili sasa.

Mi kwasasa nipo Dodoma kikazi na mwenzangu nimemuacha Dar ila tabia yake ndo inaniacha hoi.

Naweza piga simu hata missed calls 8 na hapo nimepiga asubuhi ila cha ajabu akajibu saa 4 usiku tena kwa ufupi tu.

Natuma text ambazo ni za muhimu lakini hajibu wala nikimtafuta nikimuuliza kwanini hakujibu zile txt hunijibu kwa dharau na kwa ufupi tu.

Nimejaribu kujitafakari labda kuna kitu nimemkwaza lakini naona sina kosa. Nimemuuliza mara kwa mara kama kuna shida yoyote kati yetu aniambie asinifiche tuwekane wazi tu ila anadai kila ktu kipo poa tu wakati naona dharau zinazidi kuongezeka siku hadi siku.

Sijathibitisha kama kapata mwanaume wa kumfanya awe hivo au la. Japo ukweli nakapenda mnoo ila kwa dharau zake aisee nimekoma.

Kitu kingine ambacho nimegundua wanawake wembamba ni wana dharau sana na wanajiona wao ndio viumbe bora kabisa hapa duniani. Huyu ni demu wangu wa tatu tunashindwana wa sampuli hii.

Don't trust a woman aisee. Leo nimeamini kuwa mwanamke anapenda awe ananyanyasika tu hapo ndo atatulia.

Siamini wa sithamini tena mwanamke.. Nlijifanya mi ndo mwema na nina mapenzi ya dhati saivi najuta tu.

Nawasilisha
Tafuta hela mzee.. Malalamiko hayasaidii! Ukiwa na hela hizo simu wala hutopiga wewe
 
Ukiona mwanamke ana majibu ya kishujaa..... Anakujibu anavyotaka yeye haijalishi itakukera ama lah ujuwe huna chako kwake mwache tu aende
 
Nimenikuta naimba hyo song ya Khalid chokoraa KUACHWA
kuachwa kuachwa kuachwa ni shughuli pevu .yeye ananenepa wewe unakonda,we wapiga simu yeye hopekei,unabaki n.a. mawazoo.....pole mkuu jipe moyo huyo sio wako.kuna jamaa anamchakaza sasa hivi basi hapo n.a. wewe kuna dada anakupenda ila sababu ni mjinga unampotezea ..tulia dawa ikuingie....chi chi chi chibonge
 
Mapenzi ya hivi mwisho Kuwa nayo ni when I was 20/21 yrs, uko chuo,when you don't know better
Ila since then nawakulaga tu bila stress, na dem nileyemuacha au aliniacha wote huwa wa narudi kugegedwa tu at the end of the day hata waliolewa,she is not even your wife, she is not even the mother of your child...una stress na kipi

We ushakuwa mwanaume wa mkoa , tupe namba ya huyo dada wanaume wa dar... "Tumpige matukio"
#marejesho nitakuletea
Habari za majukumu wana jf..

Nimatumaini yangu mu wa zima wa afya njemaa..

Back to the point..

Ndugu zangu nimekuwa kwenye mahusiano na binti fulani kwa takribani miaka miwili na nusu sasa.

Kilicho nifanya nije jukwaani hapa muda huu ni kuhusu tabia za huyu mwenzangu ambazo ameanza kuzionesha takribani kwa miezi miwili sasa.

Mi kwasasa nipo Dodoma kikazi na mwenzangu nimemuacha Dar ila tabia yake ndo inaniacha hoi.

Naweza piga simu hata missed calls 8 na hapo nimepiga asubuhi ila cha ajabu akajibu saa 4 usiku tena kwa ufupi tu.

Natuma text ambazo ni za muhimu lakini hajibu wala nikimtafuta nikimuuliza kwanini hakujibu zile txt hunijibu kwa dharau na kwa ufupi tu.

Nimejaribu kujitafakari labda kuna kitu nimemkwaza lakini naona sina kosa. Nimemuuliza mara kwa mara kama kuna shida yoyote kati yetu aniambie asinifiche tuwekane wazi tu ila anadai kila ktu kipo poa tu wakati naona dharau zinazidi kuongezeka siku hadi siku.

Sijathibitisha kama kapata mwanaume wa kumfanya awe hivo au la. Japo ukweli nakapenda mnoo ila kwa dharau zake aisee nimekoma.

Kitu kingine ambacho nimegundua wanawake wembamba ni wana dharau sana na wanajiona wao ndio viumbe bora kabisa hapa duniani. Huyu ni demu wangu wa tatu tunashindwana wa sampuli hii.

Don't trust a woman aisee. Leo nimeamini kuwa mwanamke anapenda awe ananyanyasika tu hapo ndo atatulia.

Siamini wa sithamini tena mwanamke.. Nlijifanya mi ndo mwema na nina mapenzi ya dhati saivi najuta tu.

Nawasilisha
 
Habari za majukumu wana jf..

Nimatumaini yangu mu wa zima wa afya njemaa..

Back to the point..

Ndugu zangu nimekuwa kwenye mahusiano na binti fulani kwa takribani miaka miwili na nusu sasa.

Kilicho nifanya nije jukwaani hapa muda huu ni kuhusu tabia za huyu mwenzangu ambazo ameanza kuzionesha takribani kwa miezi miwili sasa.

Mi kwasasa nipo Dodoma kikazi na mwenzangu nimemuacha Dar ila tabia yake ndo inaniacha hoi.

Naweza piga simu hata missed calls 8 na hapo nimepiga asubuhi ila cha ajabu akajibu saa 4 usiku tena kwa ufupi tu.

Natuma text ambazo ni za muhimu lakini hajibu wala nikimtafuta nikimuuliza kwanini hakujibu zile txt hunijibu kwa dharau na kwa ufupi tu.

Nimejaribu kujitafakari labda kuna kitu nimemkwaza lakini naona sina kosa. Nimemuuliza mara kwa mara kama kuna shida yoyote kati yetu aniambie asinifiche tuwekane wazi tu ila anadai kila ktu kipo poa tu wakati naona dharau zinazidi kuongezeka siku hadi siku.

Sijathibitisha kama kapata mwanaume wa kumfanya awe hivo au la. Japo ukweli nakapenda mnoo ila kwa dharau zake aisee nimekoma.

Kitu kingine ambacho nimegundua wanawake wembamba ni wana dharau sana na wanajiona wao ndio viumbe bora kabisa hapa duniani. Huyu ni demu wangu wa tatu tunashindwana wa sampuli hii.

Don't trust a woman aisee. Leo nimeamini kuwa mwanamke anapenda awe ananyanyasika tu hapo ndo atatulia.

Siamini wa sithamini tena mwanamke.. Nlijifanya mi ndo mwema na nina mapenzi ya dhati saivi najuta tu.

Nawasilisha
Na we mkuu miaka miwili na nusu hujamuoa binti wa watu...!
Hapo tayari ashapata mwingine. Me imewahi nitokea hiyo...unapiga simu haipokelewi....akipokea anajibu short?nilijikata mapema...baadae nikagundua ashazalishwa na hapo akawa anaongea na mimi kwa uchangamfu. Akidhani naweza rudisha jeshi...alikuja kujua ninaoa soon...akawa mdogo kama punje ya haradali
 
Pole.
Mbona siku hizi wanaume tunalalamika sana, ina maana tumekuwa dhaifu kuliko wanawake duh
Mimi pia nimegundua hili.
Kwamba hawa viumbe wametuzidi nguvu miaka hii.?
Hata zile mambo za wadada kupigana kisa man hazipo miaka hii.
Leo saa 4 usiku tufanye kikao mana hali ishakuwa mbaya.hahaha
 
Ungesema shida vizuri sana, sasa kusema watu wenye maumbile fulani dharau, hiyo ni unyanyasaji....
Uwe na adabu
 
Back
Top Bottom