MINOCYCLINE
JF-Expert Member
- Apr 2, 2015
- 8,018
- 16,802
- Thread starter
-
- #21
Walikudanganya ni 100% Yanga SC Fan.Huyu dogo si mnazi wa Simba wanadai waliyesoma naye IFM
Huwa wanafikiria nini...Wewe na Bin Kazumari mtafikiri ni mtu na kaka yake. Akili zenu zimejaa majungu, roho ya kwa nini, wivu, na fitina dhidi ya wengine. Yaani kama wachawi vile.
1. Umaarufu Kukua maradufuHivi inakuaje mtu anaacha kazi Azam then anaenda Yanga au Simba ambako security ya Anita yake ni ndogo, kwanini hasa?
Au pale hawalipwi vizuri
Kama za manaraWewe na Bin Kazumari mtafikiri ni mtu na kaka yake. Akili zenu zimejaa majungu, roho ya kwa nini, wivu, na fitina dhidi ya wengine. Yaani kama wachawi vile.
Kuna kitenge yeye hata kambi ya simba watu wakivuta sigara kashapost kuna gef lea hao wote ni kuongelea mambo ya simba tu kwani simba haiwakeri Tatizo manara kashawakamata mmebakia kulalamika tu mara karia mara kazumari jufunzeni kunyamaza kama simba na viongozi wake kama mo dewji na babra licha ya kutukanwa na kudhalilishwa na manara hakuna anayemjibu wala kumfuatilia ila yanga au manara akiguswa tu kelele kibao .Straight hiyo ni kwa Yanga tu,na tena ni ya kichuki baada ya huko siku za nyuma kunyimwa nafasi ya ukatibu mkuu ambayo alikua anasubiri kutangazwa tu ila makolo wakamvurugia kwa kumsainisha mchezaji wake gadiel na mtu aliefanikisha usajili huo kwa 80% ni manara na makonda walimlaghai yule dogo kwenye michuano ya afcon alipokua na stars
Hakeri chochote misifa tu na uchawi.....ukiona JITU linatoswa na wachezaji kwenye issue ya umeneja ujue hilo ni TAKATAKAKazumari yupo straight mpaka anakera kwa wote waliojaa ushabiki uliopitiliza na mahaba.
AZAM hawalipi vizuri watu wanafuata brand tu ukiachana na kwenye mpira hata kwenye viwanda vyake vya production hamna maslahi wanaolipwa vizuri ni ngozi nyeupe wageni ila bongo lala utachezea laki 3 kama hutaki aacha kazi ukalime hzo ndo kauli zao za ujeuriHivi inakuaje mtu anaacha kazi Azam then anaenda Yanga au Simba ambako security ya Anita yake ni ndogo, kwanini hasa?
Au pale hawalipwi vizuri
We jamaa 😀,manara alipokua huko makolo nani pale Yanga alinusurika na matusi,ulishawahi kuona kuna alielalamika,manara alikua anaenda mpaka jangwani pale kuwadhihaki Yanga,yote watu walichukulia utani,sasa leo hii ajaribu mida ya jioni kukanyaga pale msimbazi kama hajapigwa,Kuna kitenge yeye hata kambi ya simba watu wakivuta sigara kashapost kuna gef lea hao wote ni kuongelea mambo ya simba tu kwani simba haiwakeri Tatizo manara kashawakamata mmebakia kulalamika tu mara karia mara kazumari jufunzeni kunyamaza kama simba na viongozi wake kama mo dewji na babra licha ya kutukanwa na kudhalilishwa na manara hakuna anayemjibu wala kumfuatilia ila yanga au manara akiguswa tu kelele kibao .
Sio kama vile ni mchawi huyoo.Wewe na Bin Kazumari mtafikiri ni mtu na kaka yake. Akili zenu zimejaa majungu, roho ya kwa nini, wivu, na fitina dhidi ya wengine. Yaani kama wachawi vile.
Unadhani akili za mashabiki wa simba ni kama yanga waliopiga shabiki wa coastal union pale arusha na kupelekea umauti na siku yanga wanakabidhiwa ubingwa mlifanya fujo kwa maksudi kwenye jengo la simba pale nani aliwafukuza mlijua mtafanyiwa fujo ila watu waliwapotezea maana akili hamna.We jamaa [emoji3],manara alipokua huko makolo nani pale Yanga alinusurika na matusi,ulishawahi kuona kuna alielalamika,manara alikua anaenda mpaka jangwani pale kuwadhihaki Yanga,yote watu walichukulia utani,sasa leo hii ajaribu mida ya jioni kukanyaga pale msimbazi kama hajapigwa,
Rage akukosea kuwaita mbu3Unadhani akili za mashabiki wa simba ni kama yanga waliopiga shabiki wa coastal union pale arusha na kupelekea umauti na siku yanga wanakabidhiwa ubingwa mlifanya fujo kwa maksudi kwenye jengo la simba pale nani aliwafukuza mlijua mtafanyiwa fujo ila watu waliwapotezea maana akili hamna.
Hata aliyewahi kuwa Kocha Mkuu wenu Yanga SC Luc Eymael Raia wa Ubelgiji hakukosea alipowaita Yanga SC wote ( ipo YouTube ) kuwa ni Nyani, Mbwa na Sokwe.Rage akukosea kuwaita mbu3
Sawa nyani mwenzetuHata aliyewahi kuwa Kocha Mkuu wenu Yanga SC Luc Eymael Raia wa Ubelgiji hakukosea alipowaita Yanga SC wote ( ipo YouTube ) kuwa ni Nyani, Mbwa na Sokwe.
Msemaji wa yanga ni taji liundi sio huyo mpuuziHongera mno Ally Shabaan Kamwe kwani ni Suala la muda tu unaenda Kutangazwa kuwa Msemaji Mpya ( Afisa Habari Mpya ) wa Yanga SC.
Pongezi nyingi Kwako pia kwa kwenda Kumlamba Miguu ( Kumpigia Magoti ) Mhamasishaji Mkuu wa Yanga SC Haji Manara ambaye Ulimdhalilisha sana Redioni na Mitandaoni Kwako Ili akusamehe na akupigie Chapuo kwa GSM Mwenyewe na Rais wa Yanga SC Injinia Hersi Said na Kufanikiwa nalo.
Kongole zaidi Kwako kwa kutumia Nguvu Kubwa ( hadi ile ya Kiutamaduni ) achilia mbali ya Kutoa Pesa na Kuwaahidi Watu wa karibu na Uongozi wa Yanga SC kuwa ukiwa Afisa Habari wa Yanga SC utawalipa Fadhila na hata Kuwafanikishia Watu wengine Mambo yao ndani ya Yanga SC.
Ni matumaini yangu utakuwa Afisa Habari Mpya Mstaarabu na Makini ndani ya Yanga SC mwenye Uweledi zaidi kama Ahmed Ally wa Simba SC.
Huna Akili waliobakia hadi Juzi ni Wawili tu Privaldinho na Ally Kamwe. Kama hujui Kitu au huna taarifa ya Kutosha ni kheri ukakaa tu Kimya ili wanaojua ya ndani Wakuhabarishe sawa?Msemaji wa yanga ni taji liundi sio huyo mpuuzi
Na ni uneducatedHata aliyewahi kuwa Kocha Mkuu wenu Yanga SC Luc Eymael Raia wa Ubelgiji hakukosea alipowaita Yanga SC wote ( ipo YouTube ) kuwa ni Nyani, Mbwa na Sokwe.
Siku zingine ukiiona hii ID iheshimu na iogope sawa? Kwa Kujiamini kabisa ( Kama Kawaida yangu MINOCYCLINE ) Nilisema Ally Kamwe atakuwa Msemaji ( Afisa Habari ) Mpya wa Yanga SC na ukasema Mimi ni Muongo je, mpaka sasa Mimi ni Muongo na FISFÈHuu ni uongo banaa ,uongooo