Ben Saanane
JF-Expert Member
- Jan 18, 2007
- 14,580
- 18,193
teh teh teh...
ROHO yake imemsuta...
kaamua kufuta post zake zote..!
Mwambie akuulize kulichokupata baada ya kushupalia mtandaoni uoneshwe alipo mwamunyangeHalafu anapewa kichwa sychophants wenzake.
Halafu unaweza ukakuta anafikiri kuwa US basi ana immune ya kisheria.Ignorance ni mbaya sana
Zinaweza kuwepo. Kumbuka yule dogo aliye publish kwamba Jenerali Mwamunyange sijui kafanywaje fanywaje na amepelekwa nje ya nchi, alidakwa na anaendelea na kesi pale Kisutu. Sheria zipo na zinafanya kazi kama kawaida.
Nilipatwa na nini zaidi ya muhuzika kujitokeza kabla ya siku 7 kuisha?Mwambie akuulize kulichokupata baada ya kushupalia mtandaoni uoneshwe alipo mwamunyange
Nilipatwa na nini Zaidi ya muhusika kujitokeza kabla siku 7 hazijaisha?Mwambie akuulize kulichokupata baada ya kushupalia mtandaoni uoneshwe alipo mwamunyange
Acheni upuuzi nyie...how comes mnamshabikia mtu mpuuzi kama huyo kichaa......I will deal with her ....she has to learn the hard wayMiss Tz mwambie mdogo wako aache kutukana watu mitandaoni, ilivyokuuma wewe ndivyo inavyowauma wenzio. Na kwa mange ukimchokoza jiandae kung'atwa, hata ukishtaki tayari ameshakuanika vibaya na sasa tunajua kuwa kumbe uliliwa tigo kha!!!
Hivi ulimwomba sorry richa adhia kwa kumbagua waziwazi kisa rangi yake???
Hatumshabikii lakin ukichokoza mzinga wa nyuki unategemea nini!! Mshtaki usimshtaki ashakuchafua, tell ur young sis to mind her own business for the sake of ur reputable family. SIMPLE!Acheni upuuzi nyie...how comes mnamshabikia mtu mpuuzi kama huyo kichaa......I will deal with her ....she has to learn the hard way
who is my young sisy wewe...unakurupukia tu watu kwenye social media bila kujuaHatumshabikii lakin ukichokoza mzinga wa nyuki unategemea nini!! Mshtaki usimshtaki ashakuchafua, tell ur young sis to mind her own business for the sake of ur reputable family. SIMPLE!
Hapa linakuja suala la jurisdiction kisheria, kama alichofanya uyo dada ni kosa ndani ya sheria za sehemu usika basi anaweza kushitakiwa uko uko alikofanya ilo kosa kwa maana ya Marekani anapoishi, ila kama sio kosa uko au ni kosa ila halina mlalamikaji uko aliko basi hataendelea kuwepo bila kushitakiwa mpaka apate mlalamikaji ndani ya marekani ikiwa ni kosa ndani ya nchi usika.
Hili la kuwa na mwisho mbaya halina shaka kwa huyu Mange.Huyu bidada mwisho wake utakuwa mbaya..Siku atatua tu kwenye mikono ya vichaa wamfanye kitu mbaya
Kama jambo lina uzito sana kwa upande wa serikali, na kama nchi aliyopo huyo Mtanzania ina "extradition treaty" (mkataba wa kurudishiana wahalifu/washtakiwa) na Tanzania, mtu huyo anaweza kurudishwa Tanzania kushtakiwa/kufungwa.
Tanzania ina extradition treaty na Marekani, hivyo Mtanzania akifanya uhalifu na kukimbilia Marekani (au akiwa Marekani na kufanya uhalifu Tanzania) na Mmarekani akifanya uhalifu na kukimbilia Tanzania (au akiwa Tanzania na kufanya uhalifu Marekani) extradition treaty inaruhusu mtu huyu kurudishwa Tanzania/Marekani kushtakiwa/kufungwa.
Nchi ambazo zina extradition treaty na Marekani hizi hapa
List of United States extradition treaties - Wikipedia, the free encyclopedia
Ajichanganye mara ngap?sidhan kama Ana guts za kuja bongo miaka hii hata kuondoka alifake mtoto anaumwa na alivyofika US akaanza nyodo upya watu waliishililia pass pale O bay Polisi ile tu ilimfanya ajue any time kuna wengine watamtegua kiuno na kuna mwingine alimchapa vibao pale Dar Free Market na Polis alipoenda wakampotezeaHili la kuwa na mwisho mbaya halina shaka kwa huyu Mange.
Ipo siku ataingia kwenye eneo la Penalty la watu, ndipo atapokumbushwa yote hayo.
Hana mwisho mzuri kwenye maisha yake.
Hata akimwambia mdogo wake vado yule ni mtu mzima ana utashi wake anaweza kukubali au kukataa...so unamfuataje mtu mwingine? Mi nafikiri siyo sawa.Hatumshabikii lakin ukichokoza mzinga wa nyuki unategemea nini!! Mshtaki usimshtaki ashakuchafua, tell ur young sis to mind her own business for the sake of ur reputable family. SIMPLE!
Kwa hiyo wewe ukitukanwa kwa kosa la Mdogo wako ni poa?kweli akili ni nywele nyinyi ndio mnampa kichwa mpo nyuma ya key board wakat mwenzenu anajulikana anaishi kama digidigi akija bongo nyinyi mnajiachiaHatumshabikii lakin ukichokoza mzinga wa nyuki unategemea nini!! Mshtaki usimshtaki ashakuchafua, tell ur young sis to mind her own business for the sake of ur reputable family. SIMPLE!
Hamna mtu anayempa kichwa, ushauri wa bure tu, kaa mbali na nyuki, mbona hatukani wasiomchokoza, mdogo wake hoyce alianza kumtukana mange na ukoo wake, kibao kimerudi wanalialia. Hoyce anza kumkanya mdogo wako, amtukane adui yake tu akihusisha ukoo basi na nyie tulieni wakat tukisoma siri zenu za ndani.Kwa hiyo wewe ukitukanwa kwa kosa la Mdogo wako ni poa?kweli akili ni nywele nyinyi ndio mnampa kichwa mpo nyuma ya key board wakat mwenzenu anajulikana anaishi kama digidigi akija bongo nyinyi mnajiachia
Mdogo wake hoyce alianza kumtukana mange na ukoo wake, inaelekea wewe unadakia mambo kwa juu juu tu, sasa kajibu kwa kutumia B52 wao wanalalamika. Namshaur hoyce aanze kumkanya mdogo wake kwanza sbb yeye na huyo mange ni mabingwa huko insta.who is my young sisy wewe...unakurupukia tu watu kwenye social media bila kujua
Ni ukichaa wa hali ya juu kushabikia upuuzi wa huyo mwanamke......of course ni retarded brains wanaoweza kufanya mambo kama hayo........why should you tukana mtu at first place....that's ujinga wa hali ya juu....ni sawa na vichaa wanaokimbizana uchi
Mdogo wake hoyce alianza kumtukana mange na ukoo wake, inaelekea wewe unadakia mambo kwa juu juu tu, sasa kajibu kwa kutumia B52 wao wanalalamika. Namshaur hoyce aanze kumkanya mdogo wake kwanza sbb yeye na huyo mange ni mabingwa huko insta.