Baada ya Lundenga kukemea Matusi ya Mange, Wizara ya mambo ya ndani na Jeshi la Polisi latoa onyo

Hoyce is doing a great job yenye impact positive kwa jamii yetu

Yeye all he can do is to kumshauri that hoe septum jinsi ya kubadili wanaume

Typical hoer behavior

Afu kuna watu wanamuongezea kichwa kuwa she is bright hahahaaaaaaa
Wonders shall never end...AF mwanamke ambae anawashauri wenzie kupata mabwana wa maana huwa namuona kama anatamani kuwa changudoa ila ujasiri wa kujipanga kwenye macasino hana
 
Anaweza kuchukuliwa hatua za kisheria.

Vilevile jalada likifunguliwa polisi na TCRA hatua za kisheria zitachukuliwa

Hapo sheria ya Marekeni Lazima ihusike sio rahisi hivyo Maana yeye anaandika akiwa huko, au la mpaka kumsubiri akirudi
 
Mmmmh
Mdogo wake ana matusiiiiiiiiiiiiiiiii mange haoni ndani
 
kwa hiyo mnahalalisha mahakama za matusi. mtu akikutukania ndugu yako na wewe mtukanie ndugu zake. huu ni upungufu wa uwezo wa kufikiri na akili za namna hii ni tatizo ktk ulimwengu wa leo wa watu wastaarabu. tujiongeze.
 
Kwi kwi kwi...sikujua kuwa JF members wengi ni followers wa binti wa Kimambi....
Kumbe mnasoma vizuuuuri
 
Afu kuna watu wanamuongezea kichwa kuwa she is bright hahahaaaaaaa
Wonders shall never end...AF mwanamke ambae anawashauri wenzie kupata mabwana wa maana huwa namuona kama anatamani kuwa changudoa ila ujasiri wa kujipanga kwenye macasino hana
hata akijipanga kwenye macasino hata pata wateja,,bibi amekongoroka hata nyama hana
 
Hatumshabikii lakin ukichokoza mzinga wa nyuki unategemea nini!! Mshtaki usimshtaki ashakuchafua, tell ur young sis to mind her own business for the sake of ur reputable family. SIMPLE!
Au niww mbona unatetea mambo ya kipuuzi
 
Huyu Mange ni hii hii serikali imemlea hadi akafikia kilele cha matusi,
ni kwanini wanamfuga na bila soni wanamchukua kupiga kampeni.
Mange hafai katika jamii ya wastaarabu labda akaishi na wanyama huko msituni.
Sakata la Kuchafua watu kupitia mitandao lililofanywa na blogger Mamnge Kimambi linazidi kuingia katika hatua nyingine baada ya mtoto wa mfanyabiashara wa Zambia Lawrance Sikutwa kudai kuwa hana Account Instar-gram na familia yake kudhamiria kuchukua hatua za kisheria kwa kuchafuliwa na blogger huyo kwenye mitandao ya kijamii bila sababu yoyote ya msingi

Blogger huyo aliweka katika akaunti yake mawasiliano fake kwa jina la Salima-sikutwa akijidai kwamba ni mawasiliano yake kumbe alitengeneza akaunti fake na kujifanya kuwa ni mtoto wa Lawrance Sikutwa.

Tabia hii amekuwa nayo sana akifanya hivyo kwa watu wengi.Alishawahi ku-fake akaunti na kujifanya ni ya hoyce na anafanya hivyo kwa watu wengi. Yote haya ni ya nini?
 
Hivi mange anakuwaga mdudu gn huyo?
 
Mtu ambaye ana uwezo wa kukaa chini na kuandika kurasa 3 zimejaa matusi mwanzo mwisho lazima medula oblangata yake haijakaa sawa au dishi limebadili uelekeo linashika channel tofauti... Sio mzima ajuza yule!
 
Hana nywele zake za asili mpaka ana vaa katani kichwani?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…