Hoyce is doing a great job yenye impact positive kwa jamii yetu
Yeye all he can do is to kumshauri that hoe septum jinsi ya kubadili wanaume
Typical hoer behavior
Anaweza kuchukuliwa hatua za kisheria.
Vilevile jalada likifunguliwa polisi na TCRA hatua za kisheria zitachukuliwa
mtu kama Huyu ni street justice tu imnyoosheHapo sheria ya Marekeni Lazima ihusike sio rahisi hivyo Maana yeye anaandika akiwa huko, au la mpaka kumsubiri akirudi
MmmmhMiss Tz mwambie mdogo wako aache kutukana watu mitandaoni, ilivyokuuma wewe ndivyo inavyowauma wenzio. Na kwa mange ukimchokoza jiandae kung'atwa, hata ukishtaki tayari ameshakuanika vibaya na sasa tunajua kuwa kumbe uliliwa tigo kha!!!
Hivi ulimwomba sorry richa adhia kwa kumbagua waziwazi kisa rangi yake???
kwa hiyo mnahalalisha mahakama za matusi. mtu akikutukania ndugu yako na wewe mtukanie ndugu zake. huu ni upungufu wa uwezo wa kufikiri na akili za namna hii ni tatizo ktk ulimwengu wa leo wa watu wastaarabu. tujiongeze.Hamna mtu anayempa kichwa, ushauri wa bure tu, kaa mbali na nyuki, mbona hatukani wasiomchokoza, mdogo wake hoyce alianza kumtukana mange na ukoo wake, kibao kimerudi wanalialia. Hoyce anza kumkanya mdogo wako, amtukane adui yake tu akihusisha ukoo basi na nyie tulieni wakat tukisoma siri zenu za ndani.
hata akijipanga kwenye macasino hata pata wateja,,bibi amekongoroka hata nyama hanaAfu kuna watu wanamuongezea kichwa kuwa she is bright hahahaaaaaaa
Wonders shall never end...AF mwanamke ambae anawashauri wenzie kupata mabwana wa maana huwa namuona kama anatamani kuwa changudoa ila ujasiri wa kujipanga kwenye macasino hana
Au niww mbona unatetea mambo ya kipuuziHatumshabikii lakin ukichokoza mzinga wa nyuki unategemea nini!! Mshtaki usimshtaki ashakuchafua, tell ur young sis to mind her own business for the sake of ur reputable family. SIMPLE!
Sakata la Kuchafua watu kupitia mitandao lililofanywa na blogger Mamnge Kimambi linazidi kuingia katika hatua nyingine baada ya mtoto wa mfanyabiashara wa Zambia Lawrance Sikutwa kudai kuwa hana Account Instar-gram na familia yake kudhamiria kuchukua hatua za kisheria kwa kuchafuliwa na blogger huyo kwenye mitandao ya kijamii bila sababu yoyote ya msingiHuyu Mange ni hii hii serikali imemlea hadi akafikia kilele cha matusi,
ni kwanini wanamfuga na bila soni wanamchukua kupiga kampeni.
Mange hafai katika jamii ya wastaarabu labda akaishi na wanyama huko msituni.
mbona hajamtukanaKuna mtu kamtukana mange insta anaitwa Kichwa cha panzi....
Hivi mange anakuwaga mdudu gn huyo?Wiki iliyopita kupitia mtandao wa Instagram,Blogger Mange Kimambi alimshambulia kwa matusi Aliyekuwa Miss Tanzania Hoyce Temu kwa kisa ambacho hata hakihusiani nae.Vilevile katika kashfa na tuhuma hizo walihusishwa hata watu wasiohusika katika ugomvi wa Mange na Ndugu yake Hoyce kinyume na sheria.
Hoyce Temu alieleza kusikitishwa kwake na maneno ya kashfa yasiyokuwa na chembe ya ukweli yaliyoelekezwa kwake na blogger huyo
Wadau mbalimbali walitoa maoni yao akiwepo Mratibu wa Miss Tanzania Hashim Lundenga aliyelaani vikali tabia hiyo iliyofanywa na Blogger huyo kuchafua majina ya watu kwa kashfa na tuhuma za uongo kwa malengo yasiyoeleweka.
Alisema inasikitisha kuona mtu ambaye anaisaidia jamii kwa hali na mali akitungiwa kashfa za uongo na kuchafuliwa jina pasipo sababu yoyote ya msingi.
Vilevile waziri wa mambo ya ndani ameonya kuwa Jeshi la polisi litachukua hatua kali bila huruma na bila kujali mhusika alipo kwa wale wote wanaotumia mitandao ya kijamii vibaya huku msemaji wa jeshi hilo akitoa msimamo mkali dhidi ya wale wote wanaotumia mitandao vibaya.
Amewataka wote ambao wanachafuliwa kwa njia ya mitandao waripoti TCRA au jeshi la polisi kwa hatua kali bila kujali jiografia ya makazi ya wahusika au mipaka.
una uhakika?mbona hajamtukana
ndio Mkuu nimeangalia kichwa cha panziuna uhakika?
pole ngoja nikupatie maarifa ya kupata matusi yaani aliweka hadi nyumba ya kina mange ya upareni instandio Mkuu nimeangalia kichwa cha panzi
..dah hawa wanawake wana dhalilishana sana kwa kutaka wanaume tu ...Allah awaongoze.pole ngoja nikupatie maarifa ya kupata matusi yaani aliweka hadi nyumba ya kina mange ya upareni insta
Hivi mange anakuwaga mdudu gn huyo?
hata akijipanga kwenye macasino hata pata wateja,,bibi amekongoroka hata nyama hana