Baada ya mabeberu kufanikisha kupata sababu za kuiwekea vikwazo Urusi, mbinu kama hiyo itatumika kuiwekea vikwazo CHINA kwa kuitumia TAIWAN

Baada ya mabeberu kufanikisha kupata sababu za kuiwekea vikwazo Urusi, mbinu kama hiyo itatumika kuiwekea vikwazo CHINA kwa kuitumia TAIWAN

mbingunikwetu

JF-Expert Member
Joined
Feb 17, 2015
Posts
13,897
Reaction score
18,477
Kinachoendelea kati ya URUSI na UKRAINE, kitatokea tena kati ya CHINA na TAIWAN. Mabeberu wataichokonoa sana CHINA kwa kuitumia TAIWAN kama walivyoitumia UKRAINE. Japo kwa TAIWAN kuona jinsi mabeberu walivyoitosa UKRAINE labda wanaweza kushtuka wasiingizwe choo cha kike kama alivyoingizwa UKRAINE!

Hakuna kitu kinachoikera CHINA kama kuona mabeberu wanavyoivimbisha kichwa TAIWAN kwa kuiuzia silaha kali kali!! Marekani wanajifanya wako bega kwa bega na TAIWAN dhidi ya kitisho cha China. Lakini siku China akisema "enough is enough" akaamua kuichukua TAIWAN kwa nguvu za kijeshi, Marekani hatainua pua yake hapo!! Ila watafurahi sana kuwa wamepata kisingizio cha kuiwekea vikwazo vya kiuchumi ili kuiporomosha kiuchumi CHINA.
 
Kinachoendelea kati ya URUSI na UKRAINE, kitatokea tena kati ya CHINA na TAIWAN. Mabeberu wataichokonoa sana CHINA kwa kuitumia TAIWAN kama walivyoitumia UKRAINE. Japo kwa TAIWAN kuona jinsi mabeberu walivyoitosa UKRAINE labda wanaweza kushtuka wasiingizwe choo cha kike kama alivyoingizwa UKRAINE! Hakuna kitu kinachoikera CHINA kama kuona mabeberu wanavyoivimbisha kichwa TAIWAN kwa kuiuzia silaha kali kali!! Marekani wanajifanya wako bega kwa bega na TAIWAN dhidi ya kitisho cha China. Lakini siku China akisema "enough is enough" akaamua kuichukua TAIWAN kwa nguvu za kijeshi, Marekani hatainua pua yake hapo!! Ila watafurahi sana kuwa wamepata kisingizio cha kuiwekea vikwazo vya kiuchumi ili kuiporomosha kiuchumi CHINA.
Tawire
 
Tanzania na Zanzibar...
Ha haha,wamuwekee tanganyika vikwazo kwa kuitwaa zenji kwa mabavu.ss hata wakiweka vikwazo itakuwa ni kazi bule,maisha ya tz ni Kama tulizaliwa kwenye vikwazo Hadi Leo tunaishi kweye vikwazo,b oz there is no better than yesterday or tomorrow !!
 
Kinachoendelea kati ya URUSI na UKRAINE, kitatokea tena kati ya CHINA na TAIWAN. Mabeberu wataichokonoa sana CHINA kwa kuitumia TAIWAN kama walivyoitumia UKRAINE. Japo kwa TAIWAN kuona jinsi mabeberu walivyoitosa UKRAINE labda wanaweza kushtuka wasiingizwe choo cha kike kama alivyoingizwa UKRAINE!

Hakuna kitu kinachoikera CHINA kama kuona mabeberu wanavyoivimbisha kichwa TAIWAN kwa kuiuzia silaha kali kali!! Marekani wanajifanya wako bega kwa bega na TAIWAN dhidi ya kitisho cha China. Lakini siku China akisema "enough is enough" akaamua kuichukua TAIWAN kwa nguvu za kijeshi, Marekani hatainua pua yake hapo!! Ila watafurahi sana kuwa wamepata kisingizio cha kuiwekea vikwazo vya kiuchumi ili kuiporomosha kiuchumi CHINA.
Ndugu China na Russia kiuchumi ni mbingu na ardhi.
China km kiuchumi ilishakuwa challenged toka kipindi Cha Trump na USA ikaomba poo.
Kiuchumi China ina ubavu unaoshabihiana na hao USA na allies wake.
Kuiweka China vikwazo vya kiuchumi USA ilishachelewa.
 
Back
Top Bottom