kinje ketile
JF-Expert Member
- Dec 12, 2015
- 5,089
- 9,664
Wahenga Wana msemo Wao... 'Mwenzio Akinyolewa Wewe chako Tia Maji'.
Tamko la Kuondolewa Machinga Likiendelea kwa Kasi huku Mabanda Sehemu Mbalimbali Yakiendelea Kuvunjwa Jijini Dar Kwa Mzee Amos Makalla.
Ni Vema Bodaboda wa mjini Kati Wajiandae Kisaikolojia maana Chochote Kinaweza Kutokea..!
Mambo yanaweza kurudi Kama Zamani Yaani boda mwisho ni huko nje Ya mji. ..! Ukikatiza tu basi mgambo Wa Jiji unao ..!!
Ila Yote kwa Yote kutesa Kwa Zamu , mkisikia uchaguzi unakuja fasta huwa Mnapanda Cheo mnakuwa nyinyi ndo Mabosi na msishangae Watoa Matamko wanawapigia Magoti.
...Kazi na Iendelee....!
Tamko la Kuondolewa Machinga Likiendelea kwa Kasi huku Mabanda Sehemu Mbalimbali Yakiendelea Kuvunjwa Jijini Dar Kwa Mzee Amos Makalla.
Ni Vema Bodaboda wa mjini Kati Wajiandae Kisaikolojia maana Chochote Kinaweza Kutokea..!
Mambo yanaweza kurudi Kama Zamani Yaani boda mwisho ni huko nje Ya mji. ..! Ukikatiza tu basi mgambo Wa Jiji unao ..!!
Ila Yote kwa Yote kutesa Kwa Zamu , mkisikia uchaguzi unakuja fasta huwa Mnapanda Cheo mnakuwa nyinyi ndo Mabosi na msishangae Watoa Matamko wanawapigia Magoti.
...Kazi na Iendelee....!