Baada ya magic FM na ABM sasa ni zamu ya...

medsebapol

JF-Expert Member
Joined
Jul 16, 2015
Posts
327
Reaction score
225
Kuna tangazo la Nyati Cement jamaa wanajaribu kuvunja UKUTA kwa mbinu zote wanashindwa. Ninahisi "very soon" hili tangazo litafungiwa kwauchochezi[emoji832][emoji779]
 
Kuna tangazo la Nyati Cement jamaa wanajaribu kuvunja UKUTA kwa mbinu zote wanashindwa. Ninahisi "very soon" hili tangazo litafungiwa kwauchochezi[emoji832][emoji779]
We mjamaa umenivunja mbavu aisee, nilikua na hasira siku nzima ya leo
 
hebu nipe namba zao niwashtue,,,,wasitishe tangazo mpaka opereshen ukuta ipite
 
Kuna tangazo la Nyati Cement jamaa wanajaribu kuvunja UKUTA kwa mbinu zote wanashindwa. Ninahisi "very soon" hili tangazo litafungiwa kwauchochezi[emoji832][emoji779]
[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2]
 
weee naye mbona hii sedition mnaiwazia ndivyo sivyo?!
 
we jamaaa sio mchezo... ni hatari. hata hii thread yako pia ni uchochezi sasa hivi itaondolewa humu.. nimefurahi sana....
 
hebu nipe namba zao niwashtue,,,,wasitishe tangazo mpaka opereshen ukuta ipite
Wameamua kesho mabango yote yataandikwa NYATI CEMENT ili ukuta wao usibomoke hata kwa mabomu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…